Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa amsimamisha kazi Afisa Manunuzi Wilaya ya Karagwe kwa kutoridhishwa na ujenzi wa Hospitali

Uko sahihi sana mkuu, ila tatizo ni kuwa watu wanaangalia ni nani alienunua (Alie-place Orde), na sio ni nani alie-request. Nina uhakika kwa utaratibu wa serikali, lazima hapo wilayani kuna "Procurement committee", ambayo ilihusika. Kuna pia Engineer alietoa specifications; kuna pia "Receiceving committee" ambo waiopokea na ku-confirm kuwa hivyo vigae vinaendana na "request" na "Purchase Order". Ila sasa "likipinda" kila mtu anatafuta jinsi ya kujitoa na kumsukumia mwenzake.
Mnawajua vizuri hawa maafisa ununuzi jamani au mwaongea tuuu!??
 
Maafisa manunuzi ni watumishi matajiri mno kuliko watu wanavyofikiria!! Tembelea taasisi hata vyuo vya ualimu vinavyotoa mafunzo ya ualimu vilivyo chini ya serikali ukutane na hiyo miamba "maafisa ununuzi" uone kama kuna naeendesha gari za kijapani!! Ni mwedo wa Discovery na ford ranger !!! Achana na lodge na petrol station wanavomiliki !!!
Sijui kwanini sikusomea uafisa manunuzi aisee!!
 
Back
Top Bottom