Jidu La Mabambasi
JF-Expert Member
- Oct 20, 2014
- 15,295
- 24,131
Yaani ninyi vichwa vya panzi ndio mnamkubali?Ngoja waje bavicha!
Siyo siri, Majaliwa is very uninspiring!
Yaani ninyi vichwa vya panzi ndio mnamkubali?Ngoja waje bavicha!
Majaliwa kwa sasa ana credibility crisis!Tangu alipotupiga kamba kuwa Magufuli yuko vyema na anaendelea na majukumu yake ya kiofisi (ikulu) kumbe mzee wetu anapigania maisha yake ..kwanzia hapo huyu Ca-phone sijawahi mkubali.
Katiba gani imesema ni zamu ya Muislamu!!Ameanza Kampeni za Uraisi mapema sana,au kwasababu ni zamu ya muisilamu?
Ccm mpo?
Exactly. Hili watu hawalijui kwa nini na lipo wazi!!???Ukimtoa Nyerere hakuna waziri mkuu alikuwa/atakuwa Rais
Aliwahi kusema mazishi ya Magu yanafuatiliwa na watu billion ngapi sijui huko YouTube.Kwa saundi tu hua Yuko vzr.Ha ha ha aliipokea kwa mbwembwe halafu kaificha.
Unapokuwa na viongozi wa aina hiyo huko juu kabisa serikalini, urategemea vipi hawa wa chini wafanye kazi kwa ufanisi?Jana wakati unakataa kuzindua barabara pale Liwale ulimuuliza Injinia kwanini taa hazijawekwa. Injinia alipoanza kufunguka ukamkatiza maana ulijua atasema ukweli na wadanganyika wakakushangilia.
Pia kipindi kile unakagua mradi wa DART ulimuuliza swali Mkurugenzi akaanza kufunguka ukamkatiza ukaongea wewe tu na mwisho akatumbuliwa wakati mlikuwa mmezuia mabasi 70 bandarini kisa kodi.
Ndugu yangu Majaliwa siasa za kimagufuli hazitakusaidia, watanzania sio wajinga.
Kaka Kassim anayo vita pevu na Kaka Kakoko aliyekuwa Bandarini. Tatizo ni kwamba Kassim kashika mpini na walalamikaji wengine wameshika makali.Jana wakati unakataa kuzindua barabara pale Liwale ulimuuliza Injinia kwanini taa hazijawekwa. Injinia alipoanza kufunguka ukamkatiza maana ulijua atasema ukweli na wadanganyika wakakushangilia.
Pia kipindi kile unakagua mradi wa DART ulimuuliza swali Mkurugenzi akaanza kufunguka ukamkatiza ukaongea wewe tu na mwisho akatumbuliwa wakati mlikuwa mmezuia mabasi 70 bandarini kisa kodi.
Ndugu yangu Majaliwa siasa za kimagufuli hazitakusaidia, watanzania sio wajinga.
Kumekucha , Majaliwa Kuna ujumbe wako huku , chunguli kidogoJana wakati unakataa kuzindua barabara pale Liwale ulimuuliza Injinia kwanini taa hazijawekwa. Injinia alipoanza kufunguka ukamkatiza maana ulijua atasema ukweli na wadanganyika wakakushangilia.
Pia kipindi kile unakagua mradi wa DART ulimuuliza swali Mkurugenzi akaanza kufunguka ukamkatiza ukaongea wewe tu na mwisho akatumbuliwa wakati mlikuwa mmezuia mabasi 70 bandarini kisa kodi.
Ndugu yangu Majaliwa siasa za kimagufuli hazitakusaidia, watanzania sio wajinga.
Jana wakati unakataa kuzindua barabara pale Liwale ulimuuliza Injinia kwanini taa hazijawekwa. Injinia alipoanza kufunguka ukamkatiza maana ulijua atasema ukweli na wadanganyika wakakushangilia.
Pia kipindi kile unakagua mradi wa DART ulimuuliza swali Mkurugenzi akaanza kufunguka ukamkatiza ukaongea wewe tu na mwisho akatumbuliwa wakati mlikuwa mmezuia mabasi 70 bandarini kisa kodi.
Ndugu yangu Majaliwa siasa za kimagufuli hazitakusaidia, watanzania sio wajinga.
Ni kweli? Sasa kwanini wanaruhusu akili ndogo kuwatawala?Watanzania sio wajinga
Mwaka mmoja wakati wazir wa TAMISEMI ni naibu wazir wizara fulani. Alitembelea nilipokuwa nafanyia kazi. Wananchi walikuwa wanalalamikia . Nikaanza kutiririka kadir nilivyolijua. Ile naanza tu akanikatisha na kusema ccm oyeeeeeeeee!Ngoja waje bavicha!
Jana wakati unakataa kuzindua barabara pale Liwale ulimuuliza Injinia kwanini taa hazijawekwa. Injinia alipoanza kufunguka ukamkatiza maana ulijua atasema ukweli na wadanganyika wakakushangilia.
Pia kipindi kile unakagua mradi wa DART ulimuuliza swali Mkurugenzi akaanza kufunguka ukamkatiza ukaongea wewe tu na mwisho akatumbuliwa wakati mlikuwa mmezuia mabasi 70 bandarini kisa kodi.
Ndugu yangu Majaliwa siasa za kimagufuli hazitakusaidia, watanzania sio wajinga.
Jana wakati unakataa kuzindua barabara pale Liwale ulimuuliza Injinia kwanini taa hazijawekwa. Injinia alipoanza kufunguka ukamkatiza maana ulijua atasema ukweli na wadanganyika wakakushangilia.
Pia kipindi kile unakagua mradi wa DART ulimuuliza swali Mkurugenzi akaanza kufunguka ukamkatiza ukaongea wewe tu na mwisho akatumbuliwa wakati mlikuwa mmezuia mabasi 70 bandarini kisa kodi.
Ndugu yangu Majaliwa siasa za kimagufuli hazitakusaidia, watanzania sio wajinga.
Mbona hakumpa nafasi ajieleze? Kilichomfanya amkatishe ni nini? Hizo ni siasa za kise.nge sana. Unamshusha mwenzio ili wewe upande kisiasa. Udhalilishaji usiwe ngazi ya kupanda kisiasa.Boka ww ni mmoja wao nini, inawezekana vipi umkabidhi mtu akujengee nyumba hajakamilisha vipengele vya ujenzi kama mlivyokubaliana, aje akukabidhi upoke… simpo logic tu… acha ubabaishaji wananchi wanahitaji huduma bora zenye viwango… tusiwafanye viongozi wetu wawe chanzo kupokea miradi isiyo na viwango… halafu kwa waliofuatilia TBC waliona Naibu Waziri alikiri mapungufu na kuahidi kufanyia kazi. Tuwaacheni viongozi wetu wafanye kazi jamani tunaongea sana kama vichaa