Waziri Mkuu Kassim Majaliwa acha siasa za ujanja ujanja

Mbona hakumpa nafasi ajieleze? Kilichomfanya amkatishe ni nini? Hizo ni siasa za kise.nge sana. Unamshusha mwenzio ili wewe upande kisiasa. Udhalilishaji usiwe ngazi ya kupanda kisiasa.

kaka nina hakika ww hata kusimamia familia huwezi… kila siku itakuwa ni shida tupu, acheni watu wasimamie kodi za watanzania, walipa kodi wakiona fedha zao hazitekelezi yale yaliyojusudiwa inaumiza tena ninyi ndio wapiga kelele kwamba vitu havisimamiwi, punguza chuki kaka acha watu wasimamie fedha za umma
 


acha kudanganya watu Boka, mwenye dhamana na sekta ya ujenzi hapa alikiri mapungufu na aliahidi kufanyia kazi,
 
kaka nina hakika ww hata kusimamia familia huwezi… kila siku itakuwa ni shida tupu, acheni watu wasimamie kodi za watanzania, walipa kodi wakiona fedha zao hazitekelezi yale yaliyojusudiwa inaumiza tena ninyi ndio wapiga kelele kwamba vitu havisimamiwi, punguza chuki kaka acha watu wasimamie fedha za umma
😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂
Anapambana kutaka Waziri Mkuu aondolewe ili awe yeye
 
Back
Top Bottom