SMART GHOST
JF-Expert Member
- Feb 3, 2020
- 2,640
- 10,252
Mimi naadhani Kiduku anaweza kumpiga Mwakinyo. Lakini suala la mpambano kati ya kiduku na Mwakinyo, hata mimi siliafiki.
Mwakinyo ni bondia namba moja kwa uzito wake Africa. Hajafika hapo kirahisi. Amepambana sana kufikia hiyo rank. He's simply holding on to his professional discipline.
Kiduku apambane na yeye apande ranks, ndio aombe pambano na Mwakinyo. Na liwe pambano la kugombea mkanda, sio kugombea magari ya akina babu Tale.
Lakini pia, watanzania ni watu wa ajabu. Kwani ni lazima tumpate mbabe kati ya kiduku na Mwakinyo? Hatuwezi kuwasupport ili tupate mabondia wawili wenye ranks za juu duniani kwa uzito tofauti?
Mwakinyo ni bondia namba moja kwa uzito wake Africa. Hajafika hapo kirahisi. Amepambana sana kufikia hiyo rank. He's simply holding on to his professional discipline.
Kiduku apambane na yeye apande ranks, ndio aombe pambano na Mwakinyo. Na liwe pambano la kugombea mkanda, sio kugombea magari ya akina babu Tale.
Lakini pia, watanzania ni watu wa ajabu. Kwani ni lazima tumpate mbabe kati ya kiduku na Mwakinyo? Hatuwezi kuwasupport ili tupate mabondia wawili wenye ranks za juu duniani kwa uzito tofauti?