Waziri Mkuu: Dodoma kufumuka msongamano wa magari

Nashukuru kwa majibu kuhusiana na master plans. Je tumeshawahi kufanya tathmini ya kweli (Serikali) kujua kwa nini mipango miji imeendelea kukwama?

Mfano, je kulikuwa na Ulazima gani kuongeza Maghorofa katikati ya Jiji la Dar badala ya kupanua mji viungani na kujenga new Dar Es Salaam?

Swala ni pesa? kwamba hatuna uwezo? je kuweka foundation ya planya mji mpya na kuruhusu ujenzi wake kuendelea kutumia sekta binafsi hauko?

Sikonge an Nguruvi3 mmeongelea Dom kuwa na multiple districts ambazo ziko designated kwa mambo maalum, can Dar adopt the same? How about Mwanza, Mbeya, Iringa, Kigoma, Arusha na Morogoro?

Just curious..
 
"Rev. Kishoka, post: 22904175, member: 18"]Nashukuru kwa majibu kuhusiana na master plans. Je tumeshawahi kufanya tathmini ya kweli (Serikali) kujua kwa nini mipango miji imeendelea kukwama?
Mkuu Tanzania hatuna upungufu wa sera, plan au wataalam.Tuna upungufu wa management na mfumo (system).

Upungufu wa management si knowledge bali kuna 'mdudu' corruption
Mipango miji inakwama kwasababu ya corruption na system isiyoweza kuzuia hilo
Mfano, je kulikuwa na Ulazima gani kuongeza Maghorofa katikati ya Jiji la Dar badala ya kupanua mji viungani na kujenga new Dar Es Salaam?
Tunarudi hapo juu, kwamba master plan ya Jiji inaeleza, lakini master plan haina nguvu kuliko vi-memo.

Kama kuna ujinga ni huu wa Dar kuwa na maghorofa katika mji wa zamani.
Infrastructure hazikuruhusu ujenzi wa maghorofa kwani zilikuwa designed 100 yrs ago
Vimemo vinasema wapewe vibali na vina nguvu kuliko plan yoyote

Tembea majiji makubwa duniani, kuna new city na old city.
Hakuna sababu kuwa na maghorofa makubwa kati kati ya Jiji tukiwa na ardhi bwerere
Swala ni pesa? kwamba hatuna uwezo? je kuweka foundation ya planya mji mpya na kuruhusu ujenzi wake kuendelea kutumia sekta binafsi hauko?
Suala si pesa wala uwezo. Ni failure ya system inayotokana na corruption tu.
Sikonge an Nguruvi3 mmeongelea Dom kuwa na multiple districts ambazo ziko designated kwa mambo maalum, can Dar adopt the same? How about Mwanza, Mbeya, Iringa, Kigoma, Arusha na Morogoro?Just curious..
Dar haiwezi kurudi katika hali ya multiple districts, ni beyond repair na gharama sana

Mbeya haipangiki kutokana na ujenzi wa hovyo. Mbeya ni ''big village''

Mwanza, yes inawezekana at least infrastructure zake haziharibika sana
Tena Mwanza wangekuwa makini ingelikuwa Jiji la nchi nne. Wanaweza

Arusha, kuna fursa. Wana eneo. Kosa ni ku centralize kila kitu karibu na AICC kama Dar
Siasa zinachangia, niliposikia EAC imeomba eneo na ikawa shida kuwapa kwa upuuzi tu

Morogoro, Wana infrastructure nzuri. Wanachotakiwa ni kuendeleza districts zilizopo Morogoro si mji wa kazi au biashara, ni ''Hub''kiunganishi cha kanda ya kati , nyanda za juu na mashariki. Moro wazingatie huduma za jamii kuliko utawala au biashara

Eneo la stendi mpya hadi Kingolowira linatakiwa kuendelezwa kukidhi haja ya 'Hub'
Tayari SUA kupitia Mzinga-Mzumbe ni academic district
Eneo la kati la mji liwe shughuli za utawala na starehe

Tanga. Ni mji uliopangwa vizuri sana na Wajerumani. Wanachohitaji ni ring roads kwasababu sasa hivi ni kama square kukiwa hakuna kiunganishi cha maeneo.
Wana eneo wafikirie kuhamishia shughuli maeneo Pongwe na Pangani Road n.k

Mkuu inawezekana , kinachokwamisha ni management tu ya ku organize haya mambo
Ili kufanikiwa mambo yafanywe kitaalam na system si mtu au watu kwa idea zao
 
Can someone here....share the masterplan ya Dar es salaam au Dodoma?...
 
Can someone here....share the masterplan ya Dar es salaam au Dodoma?...
Masterplan ya DSM utaipata kwenye website ya wizara husika. Hii niliyoiweka hapa ni synopsis yake tu. DAR Masterplan 2010-2030.

Masterplan ya DODOMA ndio inashughulikiwa sasa.
 

Attachments

  • Dar-Es-Salaam-Masterplan.pdf
    902.3 KB · Views: 21
TUNASHAUHUDIA SABABU ZA KUSHINDWA KUPANGA MIJI
HAKUNA MWENYE MAMLAKA, KILA MMOJA NA TAMKO

SIASA NA KUTUNISHIANA MISULI TU, VURUGU TUPU

Katika uzi huu tumejadili kwanini tuna miji isiyopangika na matatizo yanayotokana na hilo
Ni aibu kwa jiji kama la Dar kuna maeneo huduma za zimamoto au ambulance haziwezi kufika

Maeneo yamejengwa kiholela kwamba ni ngumu hata kubaini kituo cha polisi kiko wapi
Ukitamza Majiji yetu na miji mingine duniani utapata taabu kujua Jiji na kijiji vinatofautianaje

Ujenzi holela ni matokeo ya mipango mibovu. Hakuna wasimamizi wa kuzuia tatizo kabla ya kutokea.
Kuna rushwa katika kutoa hati za viwanja hata kufikia hati chini ya Transformer ya umeme

Yanapotokea majanga kama ya moto au mafuriko ujenzi holela unakuwa tatizo
kukosekana miundo mbinu n.k. vinachangia kukukuza tatizo kama si kuwa tatizo lenyewe

Tulizungumzia uvunjwaji wa CDA kwamba kama chombo hakina tatizo na kilikuwepo kisheria
Tatizo ni watendaji kuanzia ngazi za serikali hadi wahudumu wa chombo hicho

Tunaweza kuona mfano halisi leo hii. NEMC yenye mamlaka ya kuangalia mazingira ilitangaza kuvunjwa kwa makazi ya wananchi 17,000. Kwamba, iliridhia maeneo husika kutokidhi viwango, yabomolewe

Mkuu wa mkoa wa Dar kaja na tamko kutoka kwa Rais akizuia ubomoaji huo kwasababu tu hana taarifa
Hakuna sababu za kisayansi kupinga bomoa hiyo, bali kutokuwa na taarifa na kwamba si sera ya CCM

Suala zima limechukua sura ya kisiasa badala ya utaalam. Ingelikuwa vema mkuu wa mkoa akakutana na NEMC kujadiliana namna gani ya kufanikikisha zoezi au kusitisha na si kupitia mikutano ya hadhara

NEMC ipo chini ya serikali ikiwa na waziri husika. Hakuna shaka tangazo lao lilipata baraka za wizara husika
Katika mazingira ya 'Rais amesema' ni wazi kuna nguvu kubwa kuliko ya mamlaka husika

Nguvu ya Rais ipo kisheria na ina uhalali, tatizo, hakuna utaratibu wa kujadiliana miongoni mwa vyombo vyake. Rais anaongea na Mkuu wa mkoa pengine bila kumshirikisha waziri au uongozi wa NEMC

Suala hili ni la kitaifa na lilipaswa liangaliwe kwa mtazamo wa kitaifa chini ya wizara husika

Kwa lugha rahisi vyombo vingine kwasasa vina 'ufyata' kwasababu suala zima la kujadiliana kwa faida ya nchi linachukua sura ya 'ubinafsi', likidhalilisha wataalam na viongozi wa maeneo mengine

NEMC nayo kama CDA itashindwa, swali ni je itavunjwa?
Na iliyoshindwa ni NEMC kama chombo au ni mwingiliano wa majukumu usiozingatia taratibu !

Hatuwezi kupanga miji ikiwa kila mmoja 'ana sharub' na kwamba mipango miji si suala la kisiasa na kura

Kwa haya yanayotokea , tutaweza lolote katika mipango miji?

Tusemezane
 
TUNASHAUHUDIA SABABU ZA KUSHINDWA KUPANGA MIJI
HAKUNA MWENYE MAMLAKA, KILA MMOJA NA TAMKO

SIASA NA KUTUNISHIANA MISULI TU, VURUGU TUPU


Tunaweza kuona mfano halisi leo hii. NEMC yenye mamlaka ya kuangalia mazingira ilitangaza kuvunjwa kwa makazi ya wananchi 17,000. Kwamba, iliridhia maeneo husika kutokidhi viwango, yabomolewe

Mkuu wa mkoa wa Dar kaja na tamko kutoka kwa Rais akizuia ubomoaji huo kwasababu tu hana taarifa
Hakuna sababu za kisayansi kupinga bomoa hiyo, bali kutokuwa na taarifa na kwamba si sera ya CCM

Suala zima limechukua sura ya kisiasa badala ya utaalam. Ingelikuwa vema mkuu wa mkoa akakutana na NEMC kujadiliana namna gani ya kufanikikisha zoezi au kusitisha na si kupitia mikutano ya hadhara

NEMC ipo chini ya serikali ikiwa na waziri husika. Hakuna shaka tangazo lao lilipata baraka za wizara husika
Katika mazingira ya 'Rais amesema' ni wazi kuna nguvu kubwa kuliko ya mamlaka husika

Nguvu ya Rais ipo kisheria na ina uhalali, tatizo, hakuna utaratibu wa kujadiliana miongoni mwa vyombo vyake. Rais anaongea na Mkuu wa mkoa pengine bila kumshirikisha waziri au uongozi wa NEMC

Suala hili ni la kitaifa na lilipaswa liangaliwe kwa mtazamo wa kitaifa chini ya wizara husika

Kwa lugha rahisi vyombo vingine kwasasa vina 'ufyata' kwasababu suala zima la kujadiliana kwa faida ya nchi linachukua sura ya 'ubinafsi', likidhalilisha wataalam na viongozi wa maeneo mengine

NEMC nayo kama CDA itashindwa, swali ni je itavunjwa?
Na iliyoshindwa ni NEMC kama chombo au ni mwingiliano wa majukumu usiozingatia taratibu !

Hatuwezi kupanga miji ikiwa kila mmoja 'ana sharub' na kwamba mipango miji si suala la kisiasa na kura

Kwa haya yanayotokea , tutaweza lolote katika mipango miji?

Tusemezane

Badala ya kufanya siasa, kwa nini basi hawakumtafuta waziri wa Maliasili na wairi wa Mazingira watoe tamko kubadilisha eneo hilo kutoka kuwa Greenbelt na liwe ni makazi kisheria?

Jambo hili liko kwenye mamlaka ya Waziri husika.

Sasa 10 years atakuja mtu mwingine na bomoabomoa nayo watu watashindwa kuelewa mbona Serikali kigeugeu?

This is what happened Kimara mpaka Kiluvia na bomoabomoa ta Tanroads! Wizara ya ardhi na sera za vijiji vya ujamaa vilijenga makazi ya watu along Morogoro road na hata jirani au juu ya road reserve ambayo inatokana na act ya 1932 na marekebisho ya !967 hadi 1969.

Iweje leo Tanroads ing'ang'anie sheria ambazo kwa miaka 60 zimeruhusu settlement na development pembeni mwa barabara?

Je huko Toangoma, nyumba ya kwanza ilipojengwa au pale Serikali ya mitaa ilipouza ardhi na kutoa hati, wakaguzi wa misitu wa Mkoa na wizara kwa nini walikaa kimya mpaka kukajengwa nyumba 17,000?
 
Napenda washukuru Tanroads na "visa" vyao mpaka nafanya research ya highway construction duniani... learning upana wa single lane kuwa standard is between 10 to 12 feet and si kwa ajili ya urembo, factors kama safety na speed play part! Nikiwa very generous kusema tujenge 4 lane (8 lane total) road each lane ikiwa ni 4 meters wide (13 feet) with inside na outside curb shoulder of lanes ya 3 meters each (for emergency)...divider ya katikati at 10 meters na 2 meters each side ya mifereji and total road width comes to 58 meters wide...let say we add 16 meters more in the middle kwa mwendo kasi that gives us 74 meters wide... total meaning 37 meters from the center of the road...Hivi 121 meters each side from Katikati tunajenga nini?
 
Napenda washukuru Tanroads na "visa" vyao mpaka nafanya research ya highway construction duniani... learning upana wa single lane kuwa standard is between 10 to 12 feet and si kwa ajili ya urembo, factors kama safety na speed play part! Nikiwa very generous kusema tujenge 4 lane (8 lane total) road each lane ikiwa ni 4 meters wide (13 feet) with inside na outside curb shoulder of lanes ya 3 meters each (for emergency)...divider ya katikati at 10 meters na 2 meters each side ya mifereji and total road width comes to 58 meters wide...let say we add 16 meters more in the middle kwa mwendo kasi that gives us 74 meters wide... total meaning 37 meters from the center of the road...Hivi 121 meters each side from Katikati tunajenga nini?

Uko sahihi na dimensions ulizosema. Standard lane width kwa barabara zilizopo kwenye kiwamgo cha Expressway ni 12ft, including the shoulder.

Eneo linalowekwa kama road reserve lazima liruhusu maendelezo yajayo bila kuwasumbua watu. Maendelezo haya yanajumlisha:

1. Haja ya kujenga ramps kama kutakua na umuhimu wa kuwa na grade-separation kwenye intersections.

2. Kujenga local access roads kwa ajili ya matumizi ya local traffic zinazotembea taratibu.

3. Nafasi ya kujenga kuta za kuwakinga wakazi na noise pollution, noise abatement walls.

4. Sehemu ya kujenga concession facilities (vituo vya mafuta, traffic police shelters, toll facilities, n.k.)

Hii road reserve area inapaswa kupangwa ili itosheleze kwa kipindi cha lifecycle ya barabara ambayo ni miaka 20 (for asphalt/blacktop or flexible pavements ) na miaka 40 (for concrete or rigid pavements.)
 
Badala ya kufanya siasa, kwa nini basi hawakumtafuta waziri wa Maliasili na wairi wa Mazingira watoe tamko kubadilisha eneo hilo kutoka kuwa Greenbelt na liwe ni makazi kisheria?

Jambo hili liko kwenye mamlaka ya Waziri husika.

Sasa 10 years atakuja mtu mwingine na bomoabomoa nayo watu watashindwa kuelewa mbona Serikali kigeugeu?

This is what happened Kimara mpaka Kiluvia na bomoabomoa ta Tanroads! Wizara ya ardhi na sera za vijiji vya ujamaa vilijenga makazi ya watu along Morogoro road na hata jirani au juu ya road reserve ambayo inatokana na act ya 1932 na marekebisho ya !967 hadi 1969.

Iweje leo Tanroads ing'ang'anie sheria ambazo kwa miaka 60 zimeruhusu settlement na development pembeni mwa barabara?

Je huko Toangoma, nyumba ya kwanza ilipojengwa au pale Serikali ya mitaa ilipouza ardhi na kutoa hati, wakaguzi wa misitu wa Mkoa na wizara kwa nini walikaa kimya mpaka kukajengwa nyumba 17,000?
Tulichokiona leo ni tatizo kubwa sana.

Mkuu wa mkoa anapopata maagizo ya Mh Rais na si kupitia Waziri mkuu inaeleza jambo.

Kiongozi wa serikali bungeni atakapoulizwa tatizo linalotokana na mawasiliano ya mkuu wa mkoa na Rais atakuwa na wakati mgumu kujibu.

Hatakuwa na nafasi ya 'kusahihisha' makosa ya RC kama yapo,atapingana na Rais

Hatakuwa na options bali kuunga mkono hoja hata kama inapingana na mtazamo wake
Na muhimu atakuwa ameitosa NEMC na kubaki kama mamlaka ya ajira na si utendaji!

Ingelikuwa Rahisi kwake kama waziri husika angeingilia kati.

Kwasasa kuna precedent kwamba mkuu wa mkoa mwingine anaweza tu kuingilia maamuzi ya NEMC kisiasa kwasababu kuna 'template'

NEMC inaanza kukosa meno yaliyowekwa kisheria. Tunarudi kule kule 'kwa marehemu' CDA

Kwanini kusiwe na mawasiliano kati ya RC na Waziri , waziri ofisi ya waziri mkuu au waziri mkuu?
Kwanini suala la kiutendaji linafanywa kisiasa tena kwa maamuzi kana kwamba kuna serikali tofauti?
Kulikuwa na sababu gani za kufanya mkutano kukiwa na mkanganyiko miongoni mwa watendaji wakuu?

Swali la kujiuliza, ingetokea kuna dawa feki na mamlaka ya dawa na chakula ikaamua kuzichoma, kisha mkuu wa mkoa akaja kutengua agizo hilo, nani miongoni mwetu angeelewa? Kwanini tudhani TFDA ni tofauti na NEMC?

Ni vema mambo haya yakatokea ili kutupatia majibu kwanini upangaji wa miji na Majiji ni jambo lisilowekana
 
Uko sahihi na dimensions ulizosema. Standard lane width kwa barabara zilizopo kwenye kiwamgo cha Expressway ni 12ft, including the shoulder.

Eneo linalowekwa kama road reserve lazima liruhusu maendelezo yajayo bila kuwasumbua watu. Maendelezo haya yanajumlisha:

1. Haja ya kujenga ramps kama kutakua na umuhimu wa kuwa na grade-separation kwenye intersections.

2. Kujenga local access roads kwa ajili ya matumizi ya local traffic zinazotembea taratibu.

3. Nafasi ya kujenga kuta za kuwakinga wakazi na noise pollution, noise abatement walls.

4. Sehemu ya kujenga concession facilities (vituo vya mafuta, traffic police shelters, toll facilities, n.k.)

Hii road reserve area inapaswa kupangwa ili itosheleze kwa kipindi cha lifecycle ya barabara ambayo ni miaka 20 (for asphalt/blacktop or flexible pavements ) na miaka 40 (for concrete or rigid pavements.)
Kifyatu,

Ukifuatilia Sub ya 2009, kuna hiyo classificationyaupanaambazo zilichomekwa hapo 2009 ambazo zinapanua barabara drastically eneo moja bila kutoa msingi rasmi wa kwa nini eneo moja liwe na upana tofauti na mengine?

Kuna inconsistencies nyingi sana kuhusiana na Road Reserve Act na hata mamlaka aliyopewa Waziri na Act zote,zinaweza kubadilishwa kutokana na discretion ya waziri.

Swali la msingi najiuliza ni hili:
Kuzunguka Dar, kuna maeneo mengi sana inhabited..ni mapori na hakuna watu lakini ni maeneo bora sana kupanua barabara, kwa nini badala ya kuingia gharama kubwa na kusumbua wananchi (kuwatia hasara) kubomoa, barabara mpya zisijengwe kupanua na kupunguza congestion?

Ikiwaeneompaka Mbezi Louis au hata Kiluvia ni primary residential kutokana na plan za wizara ya ardhi, kwa nini barabara kuu mpya isijengwe kuzunguka nje ya eneo ambalo tayari lina watu? kwa nini wizara isifanye aquisition ya ardhi isiyo na watuau yenye watu kidogo kupanua barabara?

Lastly, si solution ya kwenda bandarini imewekwa kwenye mpango wa Chalinze Super Highway ambayo itaanzia hapo Kigamboni bridge? why create unrest Morogoro road na kupanua beyond the needed needs? Plus transit ya northcorridor si inapitia Msata kwenda kituo cha mabasi huko karibu na bunju?

I get your point ya kuangalia mbele, lakini pia, lazimahekima itumike na realities... will we need a 8 lane road?

WIDTHS AND RESERVE 27.—(1) The minimum width of roadway lanes for respective classes of roads shall be, width
(a) trunk roads, 3.25 metres;
(b) regional roads, 3.25 metres; and
(c) all classes of District roads, it is 3.1 metres.

2) The Morogoro Road shall have the following road reserve widths running from the junction of the United Nations Road measured in kilometers commencing at the Askari Monument-
(a) the United Nations Road to kilometer 10 (ex Dar es Salaam: 60 metres;
(b) kilometre 10 to kilometer 16: 90 metres;
(d) kilometre 16 to kilometre 37: 120 metres;
(e) kilometre 37 to kilometre 69: 60 metres;
(f) kilometre 69 to kilometre 70.60 (Ruvu Bridge) : 90 metres; and
(g) remainder of the road to Morogoro: 60 metres.
 
Kifyatu,

Ukifuatilia Sub ya 2009, kuna hiyo classificationyaupanaambazo zilichomekwa hapo 2009 ambazo zinapanua barabara drastically eneo moja bila kutoa msingi rasmi wa kwa nini eneo moja liwe na upana tofauti na mengine?

Kuna inconsistencies nyingi sana kuhusiana na Road Reserve Act na hata mamlaka aliyopewa Waziri na Act zote,zinaweza kubadilishwa kutokana na discretion ya waziri.

Swali la msingi najiuliza ni hili:
Kuzunguka Dar, kuna maeneo mengi sana inhabited..ni mapori na hakuna watu lakini ni maeneo bora sana kupanua barabara, kwa nini badala ya kuingia gharama kubwa na kusumbua wananchi (kuwatia hasara) kubomoa, barabara mpya zisijengwe kupanua na kupunguza congestion?

Ikiwaeneompaka Mbezi Louis au hata Kiluvia ni primary residential kutokana na plan za wizara ya ardhi, kwa nini barabara kuu mpya isijengwe kuzunguka nje ya eneo ambalo tayari lina watu? kwa nini wizara isifanye aquisition ya ardhi isiyo na watuau yenye watu kidogo kupanua barabara?

Lastly, si solution ya kwenda bandarini imewekwa kwenye mpango wa Chalinze Super Highway ambayo itaanzia hapo Kigamboni bridge? why create unrest Morogoro road na kupanua beyond the needed needs? Plus transit ya northcorridor si inapitia Msata kwenda kituo cha mabasi huko karibu na bunju?

I get your point ya kuangalia mbele, lakini pia, lazimahekima itumike na realities... will we need a 8 lane road?
The simple answer Rev. Kishoka ni kuwa serikali has goofed up bigtime hapa. Kuna maeneo yaliyoko kwenye masterplans za nyuma yaliyotengwa kwa matumizi maalum (road reserve, open spaces, shule, n.k.). Mamlaka na vigogo husika ndio waliokuwa wanagawa/uza haya maeneo kwa unsuspecting wananchi ambao sasa wanabomolewa. Huwezi kuwaita hawa helpless citizens eti ni wavamizi.

Serikali ya Magufuli inajaribu kusahihisha madhambi yaliyofanywa na mafisadi/wala rushwa wa serikali zilizopita but he is going about it the wrong way.

I don't care kama serikali inataka kuchukua mita 500 (badala ya mita 120) kila upande kwa ajili ya barabara. Serikali ina eminent-domain powers na wanaweza kufanya hivyo kwa mujibu wa sheria. LAKINI, waathirika wote lazima:

1. Walipwe hela ya kutosha kuweza kujenga comparable structures elsewhere, pamoja na hela za usumbufu.

2. Wapewe ardhi yenye ukubwa sawa elsewhere.

3. Wapewe taarifa na muda wa kutosha kuweza kuhama with dignity.

4. Serikali iwashughulikie watumishi wake waliowalaghai watu hapo nyuma.

Serikali haiwezi kuajiri corrupt officers, wafanye madudu kwa unsuspecting individuals, halafu inawe mikono na kuathiri maisha ya hizi familia.

Kuna wengi hapa ni wastaafu, savings zao zote wamezitumbukiza kwenye nyumba, halafu all of sudden hawana kitu simply because some corrupt govt. officials were too greedy. This is government's responsibility.

Sorry for venting off, lakini it is unconscionable what the govt. is allowing to happen.

As you can see, I don't care very much kuhusu technical parameters za road reserve. People have been WRONGED here and the government MUST RIGHT IT.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
The simple answer Rev. Kishoka ni kuwa serikali has goofed up bigtime hapa. Kuna maeneo yaliyoko kwenye masterplans za nyuma yaliyotengwa kwa matumizi maalum (road reserve, open spaces, shule, n.k.). Mamlaka na vigogo husika ndio waliokuwa wanagawa/uza haya maeneo kwa unsuspecting wananchi ambao sasa wanabomolewa. Huwezi kuwaita hawa helpless citizens eti ni wavamizi.

Serikali ya Magufuli inajaribu kusahihisha madhambi yaliyofanywa na mafisadi/wala rushwa wa serikali zilizopita but he is going about it the wrong way.

I don't care kama serikali inataka kuchukua mita 500 (badala ya mita 120) kila upande kwa ajili ya barabara. Serikali ina eminent-domain powers na wanaweza kufanya hivyo kwa mujibu wa sheria. LAKINI, waathirika wote lazima:

1. Walipwe hela ya kutosha kuweza kujenga comparable structures elsewhere, pamoja na hela za usumbufu.

2. Wapewe ardhi yenye ukubwa sawa elsewhere.

3. Wapewe taarifa na muda wa kutosha kuweza kuhama with dignity.

4. Serikali iwashughulikie watumishi wake waliowalaghai watu hapo nyuma.

Serikali haiwezi kuajiri corrupt officers, wafanye madudu kwa unsuspecting individuals, halafu inawe mikono na kuathiri maisha ya hizi familia.

Kuna wengi hapa ni wastaafu, savings zao zote wamezitumbukiza kwenye nyumba, halafu all of sudden hawana kitu simply because some corrupt govt. officials were too greedy. This is government's responsibility.

Sorry for venting off, lakini it is unconscionable what the govt. is allowing to happen.

As you can see, I don't care very much kuhusu technical parameters za road reserve. People have been WRONGED here and the government MUST RIGHT IT.

Sent using Jamii Forums mobile app
Mhenga mwenzangu,

Naafikiana na wewe na hili jambo watu wanalichukulia kiushabiki sana badala ya kutafakari hoja ya msingi, bila kusoma na kutafakari sheria zinasemaje!

Nimesoma Act zote za Tanzania Highway Ordinance na Road Reserve 1932, 1967, 1969, 2007 na sub ya 2009: Kifupi pamoja na sheria kutamka highway na kuweka mipaka, Waziri ana mamlaka na say kubwa sana kisheria ya planning, creating, revoking, allowing and stopping!

Katiba yetu inazungumzia sana utu, haki na busara katika maamuzi.

Sheria zinabadilishwa na mwanadamu, hasa pale ambapo zinaonekana zinakandamiza au zitaleta madhara yasiyotakikana.

Waziri wa Ujenzi kisheria kama alivyo na uwezo kuwa na uhuru wa kuamua wapi barabara ijengwe,iwe na urefu au upana gani,hali kadhalika ana mamlaka na uwezo wa kubadilisha, kusitisha hata kufuta classification ya barabara.

Waziri ana nguvu na discretion kubwa ambayo wala si kudai ni usimamizi wa sheria "kujenga" pekee, pia kwa maana inampa "will" to decide how he can execute an act au operation!

Leo hii, Waziri ana discretion kusitisha bomoabomoa yote iliyoko Morogoro road, anaweza badilisha sub ya 2009 kuhusu upana wa barabara, anaweza kusema barabara isiwe trunk road ila iwe regional road.

Kama tunajenga Chalinze Superhighway kutoka Kigamboni mpaka Chalinze yenye lane 6 (3 kila direction) na ni toll road ili kupeleka mizigo bandarini na kufika junction ya Chalinze na dry dock mpya pale Chalinze, kwa nini hili eneo la Kimara lijengwe kwa upana wa lane 10?

Je kilio cha wananchi na adha ya kupelekana mahakamani si vinaweza kuepukwa kwa Waziri kutumia mamlaka yake kusitisha upanuzi huu na kuokoa gharama kwa wananchi na serikali?

Iweje kuwepo na ung'ang'anizi wa "kusimamia sheria" ilhali kuna provision ya kubadilisha sheria ikiwa inaonekana inanyang'anya haki na kuwa kero kwa jamii?

Kama ulivyosema, wahanga ama walipwe au Serikali ile ndimu na kufuta mchakato wa kupanua barabara hii.
 
The simple answer Rev. Kishoka ni kuwa serikali has goofed up bigtime hapa.

Serikali ya Magufuli inajaribu kusahihisha madhambi yaliyofanywa na mafisadi/wala rushwa wa serikali zilizopita but he is going about it the wrong way.

People have been WRONGED here and the government MUST RIGHT IT.

Sent using Jamii Forums mobile app

Kuna makosa ya Watendaji - kiutendaji, policies, lack of clearing ambiguity kwenye sheria na la mwisho ni hilo la ufisadi na rushwa.

Mfano: Mkoa wa Dar umetunga sheria ambayo inapiga marufuku machinga na kuwahamisha waende eneo maalumu ya free trade roaming zone na si kila kona. Lakini kiongozi mwenye mamlaka makubwa zaidi anabadilisha decree hiyo kwa kutamka machinga wasisumbuliwe waachwe. In 5 years, anakuja kiongozi mwingine naye anasema atasimamia sheria na s/he execute the sheria contrary to discretion iliyofanywa na mkubwa aliyeruhusu machinga waendelee! Now this is what has happened to most of issues we are seeing today!

Serikali imekuwa ni tatizo na chanzo cha kero kwa wananchi kutokana na kufanya mambo kwa kukurupuka na kutoa mianya ya maamuzi binafsi (executive powers and orders) ambazo hazifanyiwi mchakato au hata kuwa na checks and balances.

Yes, Serikali ya awamu ya tano is "correcting" the wrong incorrectly. Inahukumu na kuadhibu majority ya watu ambao ni innocent to cover up incompetence ya awamu zilizopita.

Hapo Toangoma najiuliza, mtu wa kwanza alipofyeka eneo la hiyo hifadhi ya msitu, kwa nini kila authority ilikaa mguu pande mpaka sasa kuna nyumba 17,000?

Samething is taking place Dodoma.. jana nimesoma kuwa wanavunja hoteli na nyumba za watu ili kujenga makazi ya PM.... hivyo tunatumia fedha kujenga na bado tunawapa watu fidia.... who are the geniuses wanaoamua na kufanya haya mambo?
 
Mhenga mwenzangu,

Naafikiana na wewe na hili jambo watu wanalichukulia kiushabiki sana badala ya kutafakari hoja ya msingi, bila kusoma na kutafakari sheria zinasemaje!

Nimesoma Act zote za Tanzania Highway Ordinance na Road Reserve 1932, 1967, 1969, 2007 na sub ya 2009: Kifupi pamoja na sheria kutamka highway na kuweka mipaka, Waziri ana mamlaka na say kubwa sana kisheria ya planning, creating, revoking, allowing and stopping!

Katiba yetu inazungumzia sana utu, haki na busara katika maamuzi.

Sheria zinabadilishwa na mwanadamu, hasa pale ambapo zinaonekana zinakandamiza au zitaleta madhara yasiyotakikana.

Waziri wa Ujenzi kisheria kama alivyo na uwezo kuwa na uhuru wa kuamua wapi barabara ijengwe,iwe na urefu au upana gani,hali kadhalika ana mamlaka na uwezo wa kubadilisha, kusitisha hata kufuta classification ya barabara.

Waziri ana nguvu na discretion kubwa ambayo wala si kudai ni usimamizi wa sheria "kujenga" pekee, pia kwa maana inampa "will" to decide how he can execute an act au operation!

Leo hii, Waziri ana discretion kusitisha bomoabomoa yote iliyoko Morogoro road, anaweza badilisha sub ya 2009 kuhusu upana wa barabara, anaweza kusema barabara isiwe trunk road ila iwe regional road.

Kama tunajenga Chalinze Superhighway kutoka Kigamboni mpaka Chalinze yenye lane 6 (3 kila direction) na ni toll road ili kupeleka mizigo bandarini na kufika junction ya Chalinze na dry dock mpya pale Chalinze, kwa nini hili eneo la Kimara lijengwe kwa upana wa lane 10?

Je kilio cha wananchi na adha ya kupelekana mahakamani si vinaweza kuepukwa kwa Waziri kutumia mamlaka yake kusitisha upanuzi huu na kuokoa gharama kwa wananchi na serikali?

Iweje kuwepo na ung'ang'anizi wa "kusimamia sheria" ilhali kuna provision ya kubadilisha sheria ikiwa inaonekana inanyang'anya haki na kuwa kero kwa jamii?

Kama ulivyosema, wahanga ama walipwe au Serikali ile ndimu na kufuta mchakato wa kupanua barabara hii.
Nakubaliana na wewe kabisa.

Wote walioathirika na maamuzi haya walipwe ipaswavyo. Kuna watu wamekufa kwa pressure ya bomoa bomoa. Utamlipaje mtu huyu?

Nakubaliana na wewe kuwa:
1. Hii bomoa bomoa isimamishwe mara moja.

2. Waliokwisha bomolewa wapewe makazi mara moja na serikali halafu wapewe eneo na fidia waweze kujenga upya.

3. Ambao hawajabomolewa wapewe viwanja, fidia, na muda wa kuhama.

Kwa sababu eneo limekwisha vurugika basi waache serikali wachukue hizo mita 120. Lakini wasijitie hamnazo na kusema shauri yenu, nyie ni wavamizi.

Hivi Rev. Kishoka , hii sio class-action law suit? Wanasheria wetu nguli wako wapi?

Serikali inaweza kubadili classification ya barabara zake watakavyo. Lakini wanaposisitiza kuchukua eneo wanapaswa kuwajibika.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna makosa ya Watendaji - kiutendaji, policies, lack of clearing ambiguity kwenye sheria na la mwisho ni hilo la ufisadi na rushwa.

Mfano: Mkoa wa Dar umetunga sheria ambayo inapiga marufuku machinga na kuwahamisha waende eneo maalumu ya free trade roaming zone na si kila kona. Lakini kiongozi mwenye mamlaka makubwa zaidi anabadilisha decree hiyo kwa kutamka machinga wasisumbuliwe waachwe. In 5 years, anakuja kiongozi mwingine naye anasema atasimamia sheria na s/he execute the sheria contrary to discretion iliyofanywa na mkubwa aliyeruhusu machinga waendelee! Now this is what has happened to most of issues we are seeing today!

Serikali imekuwa ni tatizo na chanzo cha kero kwa wananchi kutokana na kufanya mambo kwa kukurupuka na kutoa mianya ya maamuzi binafsi (executive powers and orders) ambazo hazifanyiwi mchakato au hata kuwa na checks and balances.

Yes, Serikali ya awamu ya tano is "correcting" the wrong incorrectly. Inahukumu na kuadhibu majority ya watu ambao ni innocent to cover up incompetence ya awamu zilizopita.

Hapo Toangoma najiuliza, mtu wa kwanza alipofyeka eneo la hiyo hifadhi ya msitu, kwa nini kila authority ilikaa mguu pande mpaka sasa kuna nyumba 17,000?

Samething is taking place Dodoma.. jana nimesoma kuwa wanavunja hoteli na nyumba za watu ili kujenga makazi ya PM.... hivyo tunatumia fedha kujenga na bado tunawapa watu fidia.... who are the geniuses wanaoamua na kufanya haya mambo?
Unasoma mawazo yangu moja kwa moja. Asante.

Sasa great thinkers, serikali itasikiaje maoni haya mbadala? Au ni kilio nyikani?

cc. Nguruvi3

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Unasoma mawazo yangu moja kwa moja. Asante.

Sasa great thinkers, serikali itasikiaje maoni haya mbadala? Au ni kilio nyikani?

cc. Nguruvi3

Sent using Jamii Forums mobile app
Kama Serikali ingekuwa ni sikivu, mbona mengi yangeshafanyika miaka mingi badala ya kutuma magenge na batalioni za upambe maandazi kupinga kila kitu?

Dhana moja mbaya sana ni kudhani kuwa Serikali pekee na walio ndani ya serikali ndio wenye uwezo na upeo kuona mambo!

Very backwards thinking... worse enough ni vita inayotangazwa dhidi ya government critics amba unapiga domo na kuandika...what would happen ikitokea wengine wakaamua kufuata path ya Bujumbura, Lubumbashi au South Sudan?
 
Kama Serikali ingekuwa ni sikivu, mbona mengi yangeshafanyika miaka mingi badala ya kutuma magenge na batalioni za upambe maandazi kupinga kila kitu?

Dhana moja mbaya sana ni kudhani kuwa Serikali pekee na walio ndani ya serikali ndio wenye uwezo na upeo kuona mambo!

Very backwards thinking... worse enough ni vita inayotangazwa dhidi ya government critics amba unapiga domo na kuandika...what would happen ikitokea wengine wakaamua kufuata path ya Bujumbura, Lubumbashi au South Sudan?
Serikali mara nyingi haifanyi vitu nje ya comfort zone yake. Inabidi ilazimishwe kufanya (make it do the right thing).

Makundi yanayoweza kuilazimisha serikali ifanye vitu nje ya matakwa yao ni:
- Opposition,
- citizen pressure groups,
- civil society,
- national/international development partners,
- marafiki wa serikali,
- washauri wa serikali (eminent retirees)
- n.k.

Ni busara haya makundi kutumia diplomacy kuishawishi/lazimisha serikali kubadili muelekeo.

Kuikomalia serikali kwa nguvu na kuiumbua hadharani ili ibadili utendaji wake siku zote kutakutana na resistance kali, jambo ambalo upinzani wetu hawajajifunza kufanya bado. Hapa ninamaanisha kutumia diplomacy katika ushawishi au a diplomatic approach to negotiation.

Mfano, sijui kwa nini Mbowe hajaomba kukutana na Magufuli (one-on-one) faragha kujadiliana nae maoni yake kuhusu governance options.

Kila serikali ikifanya kitu siku zote upinzani wanachukua an adversarial mode na kuingia majukwaani kuichamba serikali.

Mbinu hii inaweza kuwafurahisha wafuasi wako lakini ni guarantee kukujengea uhasama na serikali.

Just a thought!
 
"Kifyatu, post: 23161651, member: 28211"]Serikali mara nyingi haifanyi vitu nje ya comfort zone yake. Inabidi ilazimishwe kufanya (make it do the right thing).

Makundi yanayoweza kuilazimisha
serikali ifanye vitu nje ya matakwa yao ni:
- Opposition,
- citizen pressure groups,
- civil society,
- national/international development partners,
- marafiki wa serikali,
- washauri wa serikali (eminent retirees)
- n.k.
Ni busara haya makundi kutumia diplomacy kuishawishi/lazimisha serikali kubadili muelekeo.
Mkuu mwanga na giza havikai pamoja. Unawezaje kulazimisha halafu ukawa na diplomacy?

Opposition; Watafanyaje kazi ikiwa uwanja wa siasa umefungwa?
Citizen pressure groups; Ni zipi katika nchi yetu? Tunaweza kuwa na mfano japo mmoja
Civil society; Ukiacha za kimataifa tuna civil society gani nyingine?
National/Inter partner; Hawa si ndio tunawaambia wasituingilie mambo yetu!
Marafiki wa serikali; Hawa ni kundi gani na je lipo nchini ?
Eminent retirees; Wana nguvu gani zaidi ya kutoa ushauri na hata kujikomba
Kuikomalia serikali kwa nguvu na kuiumbua hadharani ili ibadili utendaji wake siku zote kutakutana na resistance kali, jambo ambalo upinzani wetu hawajajifunza kufanya bado.
Ndiyo kazi ya opposition kwasababu forum yao ipo kwa jamii.
Ni wapi opposition waliwahi kujifungia na kufanikiwa.

Kwa hali ya bunge ambako wingi ni muhimu kuliko hoja unadhani wanaweza kufanikiwa
Hapa ninamaanisha kutumia diplomacy katika ushawishi au a diplomatic approach to negotiation.
Ukiwa opposition una kazi ya kujipambanua katika sera wazi wazi na si kwa njia ya diplomacy.
Kumbuka hapa ni kuwania kuchaguliwa kutwaa dola
Mfano, sijui kwa nini Mbowe hajaomba kukutana na Magufuli (one-on-one) faragha kujadiliana nae maoni yake kuhusu governance options.
Hey! mwenye nchi ndiye mwenye agenda anatakiwa kuwafikia wapinzani kutekeleza agenda zake

Akina Mbowe si serikali wanawajibu tu wa kuitikia wito, mwenye nchi hana chama ana nchi na wananchi wote. Jukumu la kwanza ni kuunganisha nchi, yeye ndiye wa kuwafikia
Kila serikali ikifanya kitu siku zote upinzani wanachukua an adversarial mode na kuingia majukwaani kuichamba serikali.
'Kuchamba' serikali kuna maana ya kuisafisha kwa muktadha huo.

Hivyo kazi ya wapinzani popote duniani si kusifia serikali bali kuonyesha mapungufu.
Ni watch dog katika utawala. Kuingia majukwaani ndiyo kazi ya siasa

Hakuna kazi ya siasa ya vyumbani bali majukwaani.
Unaposema wanachukua adversarial position hiyo hasa ndiyo opposition, pengine ungesema katika adversarial lazima waonyeshe nini mbadala wanachokipinga
Mbinu hii inaweza kuwafurahisha wafuasi wako lakini ni guarantee kukujengea uhasama na serikali.
Unapokuwa na multiparty system hakuna uhasama

Ukishasema uhasama unaondoa maana nzima ya vyama vingi.
UWT, UVCCM ni matawi ya chama, wapinzani ni mbadala wa chama.

Hakuna uhasama na hakuna sababu za uhasama na uhasama hauna matokeo mazuri

Tusifike huko kama hatujaanza na tuache kama tumeanza.
 
Napenda washukuru Tanroads na "visa" vyao mpaka nafanya research ya highway construction duniani... learning upana wa single lane kuwa standard is between 10 to 12 feet and si kwa ajili ya urembo, factors kama safety na speed play part! Nikiwa very generous kusema tujenge 4 lane (8 lane total) road each lane ikiwa ni 4 meters wide (13 feet) with inside na outside curb shoulder of lanes ya 3 meters each (for emergency)...divider ya katikati at 10 meters na 2 meters each side ya mifereji and total road width comes to 58 meters wide...let say we add 16 meters more in the middle kwa mwendo kasi that gives us 74 meters wide... total meaning 37 meters from the center of the road...Hivi 121 meters each side from Katikati tunajenga nini?

Hatuhitaji mita 121 kila upande ili kujenga super highway....only 300ft corridor will suffice
 
The simple answer Rev. Kishoka ni kuwa serikali has goofed up bigtime hapa. Kuna maeneo yaliyoko kwenye masterplans za nyuma yaliyotengwa kwa matumizi maalum (road reserve, open spaces, shule, n.k.). Mamlaka na vigogo husika ndio waliokuwa wanagawa/uza haya maeneo kwa unsuspecting wananchi ambao sasa wanabomolewa. Huwezi kuwaita hawa helpless citizens eti ni wavamizi.

Serikali ya Magufuli inajaribu kusahihisha madhambi yaliyofanywa na mafisadi/wala rushwa wa serikali zilizopita but he is going about it the wrong way.

I don't care kama serikali inataka kuchukua mita 500 (badala ya mita 120) kila upande kwa ajili ya barabara. Serikali ina eminent-domain powers na wanaweza kufanya hivyo kwa mujibu wa sheria. LAKINI, waathirika wote lazima:

1. Walipwe hela ya kutosha kuweza kujenga comparable structures elsewhere, pamoja na hela za usumbufu.

2. Wapewe ardhi yenye ukubwa sawa elsewhere.

3. Wapewe taarifa na muda wa kutosha kuweza kuhama with dignity.

4. Serikali iwashughulikie watumishi wake waliowalaghai watu hapo nyuma.

Serikali haiwezi kuajiri corrupt officers, wafanye madudu kwa unsuspecting individuals, halafu inawe mikono na kuathiri maisha ya hizi familia.

Kuna wengi hapa ni wastaafu, savings zao zote wamezitumbukiza kwenye nyumba, halafu all of sudden hawana kitu simply because some corrupt govt. officials were too greedy. This is government's responsibility.

Sorry for venting off, lakini it is unconscionable what the govt. is allowing to happen.

As you can see, I don't care very much kuhusu technical parameters za road reserve. People have been WRONGED here and the government MUST RIGHT IT.

Sent using Jamii Forums mobile app

Nakubaliana na wewe kabisa kwenye mambo hayo matano ya msingi....however, I think we should care and advise the Government...kwamba they do not need mita 121.5 kila upande.....only 100meters (50m kila upande) corridor will suffice hata kwa miaka zaidi ya 200 ijayo
 
Back
Top Bottom