Waziri Mkuu: Dodoma kufumuka msongamano wa magari

Sikonge

JF-Expert Member
Jan 19, 2008
11,550
6,062
Wana JF,

Nikiwa nimesomea Uhandisi ujenzi wa barabara ingawa sipo kwenye ujenzi tena, nimelipokea kwa furaha sana tangazo la serikali kuwa hatimaye wanahamishia DODOMA Makao Makuu ya taifa la Tanzania ambayo ni zaidi ya miaka 40 tangu tutangaze kuhamishia huko.

Naiomba tu Serikali yetu ya awamu wa ya tano kuchora mapema barabara za mduara kuzunguka Dodoma walau mbili. Ukiangalia miji mingi mikubwa wana hizo RINGS kuzunguka miji yao na mara nyingi zinakuwa ni Highway Roads au Express roads.

Hizi barabara zitawasaidia ambao hawataki kupita Dodoma mjini hasa Maroli kuuzunguka mji na kutokusabisha foleni za magari pamoja na zenyewe pia kuingia kwenye foleni za magari kama ulivyo mji wa Dar es salaam.

Najua sasa hizi kuna maeneo tayari watu wameshajenga na hivyo serikali itabidi ilipe fidia ila ninaamini hawajajenga wengi na hivyo kuwahamisha haitakuwa gharama kubwa. Ila mara tu Serikali na Mabalozi wakihamia basi utafumuka msululu mkubwa sana wa magari mjini Dodoma na itakuwa taratibu tunahamisha shida za Dar kuja Dodoma.
Tukichelewa kuhamisha watu na kusimamisha ujenzi kwenye maeneo zitakapopita hizi RINGS za barabara kuzunguka dodoma (napendekeza ziwe barabara 2 kwa kila upande na upana uwe 3.5m kila barabara ambayo inaleta upana wa min. 20m) huko mbele gharama zitakuwa kubwa na tutapata shida kama ilivyo leo mtaa wa Uhuru Dar es salaam.

Natamani watu wa CDA wawe wameshalifanyia kazi na kama bado basi wafanye haraka ili liingizwe kwenye Master Plan ya DODOMA na watu wa Urban Planing wakisaidiana na wizara ya ujenzi pamoja na TanRoads.

Kwenye picha nimeweka tu kwa haraka muonekano wa hiyo miduara au RINGS kuzunguka Dodoma ila wataalamu wa Urban Planing watajua ni nini nilimaanisha na kuziweka kwa usahihi zaidi wakishirikiana na watu wa Road designing. Dodoma.jpg
 
Nilipata shida kidogo kuiweka. Ila nafikiri sasa inaonekana. Samahani kwa usumbufu niliokupatia.

Nenda juu kwenye kwenye ujumbe wangu wa mwanzo na angalia chini kabisa.
Safi sana, ushauri/ukosoaji mzuri unaendana na kuonyesha nini hasa kifanyike. Na katika hilo binafsi ningependa sana wataalamu wa ndani watumike sana katika miradi mbalimbali itakayohusu kuhamia dodoma. Nchi za wenzetu wanaoendelea kama sisi wameweza kuzingatia. Kila shilingi ya mradi wa maendeleo, ibaki nchini.
 
Safi sana, ushauri/ukosoaji mzuri unaendana na kuonyesha nini hasa kifanyike. Na katika hilo binafsi ningependa sana wataalamu wa ndani watumike sana katika miradi mbalimbali itakayohusu kuhamia dodoma. Nchi za wenzetu wanaoendelea kama sisi wameweza kuzingatia. Kila shilingi ya mradi wa maendeleo, ibaki nchini.
Ni ushauri mzuri sana ili kuepuka gharama za siku za usoni kama ujenzi holela, upanuzi unahotaji fidia, na kuanza kupanga mjini kuanzia sasa

Sielewi CDA kwa miaka yote imekuwa inafanya nini.

Tulitegemea master plan iwe wazi ili watu washiriki kutoa maoni.

Kuhusu kuwapa watu wa ndani, hapa ninatatizo kidogo.

Yes, pesa ibaki nchini, lakini je itabaki nchini au katika matumbo ya watu?

CDA wamefanya kitu gani tunachoweza kuamini pesa imebaki nchini?

Nina mnawazo mabaovu sana ya kutoamini watu wetu.

Wametuangasha kila siku na kila mahali.

Ukiwapa kazi ya kujenga rings, zitajengwa kwa lami ya kutumia brashi kama mtu ana deki, mapipa ndiyo 'kalavati' n.k.

Nadhani tuwape wajapan n.k ili tuendelee kujifunza, sisi tume prove failure to be honest.
 
Ni ushauri mzuri sana ili kuepuka gharama za siku za usoni kama ujenzi holela, upanuzi unahotaji fidia, na kuanza kupanga mjini kuanzia sasa

Sielewi CDA kwa miaka yote imekuwa inafanya nini.

Tulitegemea master plan iwe wazi ili watu washiriki kutoa maoni.

Kuhusu kuwapa watu wa ndani, hapa ninatatizo kidogo.

Yes, pesa ibaki nchini, lakini je itabaki nchini au katika matumbo ya watu?

CDA wamefanya kitu gani tunachoweza kuamini pesa imebaki nchini?

Nina mnawazo mabaovu sana ya kutoamini watu wetu.

Wametuangasha kila siku na kila mahali.

Ukiwapa kazi ya kujenga rings, zitajengwa kwa lami ya kutumia brashi kama mtu ana deki, mapipa ndiyo 'kalavati' n.k.

Nadhani tuwape wajapan n.k ili tuendelee kujifunza, sisi tume prove failure to be honest.
Ngozi nyeusi haiendi bila mijeledi. Wadhibitiwe tu. Mianya ya rushwa katika tenda sheria imeboreshwa, Takukuru inachapa kazi na Mahakama ya mafisadi imewadia. Weka ndani wataalam wote wanaoharibu. Tunaweza tukapata hasara katika short-run, lakin in the long-run ina manufaa sana. Pesa haina shida ili mradi ibaki, ndani ya nchi yetu. Hata kama itatumika kuhonga nyumba ndogo bado inafaidi. Ni Afrika tu ndipo ujenzi unafanywa na kampuni za nje, tena kwa majengo (au barabara) ya kawaida kabisa.
 
Ngozi nyeusi haiendi bila mijeledi. Wadhibitiwe tu. Mianya ya rushwa katika tenda sheria imeboreshwa, Takukuru inachapa kazi na Mahakama ya mafisadi imewadia. Weka ndani wataalam wote wanaoharibu. Tunaweza tukapata hasara katika short-run, lakin in the long-run ina manufaa sana. Pesa haina shida ili mradi ibaki, ndani ya nchi yetu. Hata kama itatumika kuhonga nyumba ndogo bado inafaidi. Ni Afrika tu ndipo ujenzi unafanywa na kampuni za nje, tena kwa majengo (au barabara) ya kawaida kabisa.
Mkuu hatuna upungufu wa sheria, tuna upungufu wa mfumo utakaohakikisha sheria zinafuatwa. Kinachotokea sasa hivi ni ladha ya 'big G' si jambo sustainable

Kwanini mahakama zilishindwa kusimamia rushwa hapo awali?
Unakumbuka mgao uliohusisha majaji? Nini kimetokea baada ya kubainika?

Unakumbuka jengo lililoanguka kati kati mjini la ghorofa 16, kati hizo nne ziliongezwa kinyemela taasisi ya umma ikihusishwa! Mkurugenzi wa shirika husika yupo kazini, watu walikufa hakuna kilichotokea

Kama tunakubaliana pesa ibaki nchini, tunaweza kuweka miradi na kuigawa kwa wazawa pesa ikaenda 'nyumba' ndogo tukapata rings hewa.

Bandari tulikuwa na mradi, pesa ikaenda 'nyumba ndogo' leo tunarudi pale pale
Tunacheza mduara wenzetu wapo sambamba na Michael Bolton

Mimi nakiri kabisa, sisi waafrika tumefeli kujisamimia.
 
Mkuu hatuna upungufu wa sheria, yuna upungufu wa mfumo utakaohakikisha sheria zinafuatwa. Kinachotokea sasa hivi ni ladha ya 'big G' si jambo sustainable

Kwanini mahakama zilishindwa kusimamia rushwa hapo awali?
Unakumbuka mgao uliohusisha majaji? Nini kimetokea baada ya kubainika?

Unakumbuka jengo lililoanguka kati kati mjini la ghorofa 16, kati hizo nne ziliongezwa kinyemela taasisi ya umma ikihusishwa! Mkurugenzi wa shirika husika yupo kazini, watu walikufa hakuna kilichotokea

Kama tunakubaliana pesa ibaki nchini, tunaweza kuweka miradi na kuigawa kwa wazawa pesa ikaenda 'nyumba' ndogo tukapata rings hewa.

Bandari tulikuwa na mradi, pesa ikaenda 'nyumba ndogo' leo tunarudi pale pale
Tunacheza mduara wenzetu wapo sambamba na Michael Bolton

Mimi nakiri kabisa, sisi waafrika tumefeli kujisamimia.

Hapo inabidi rais awe mkali kama Kagame. Ukiharibu kwa Kagame, hata ujifiche kwapani kwa Obama atakupata tu. Nchi hii iliwahi kuwa na uwezo wa kuwaadabisha wabadhirifu, enzi hizo ukisakia Usalama wa Taifa unatetemeka. Siku hizi usalama unakuhusu kama ni mwanasiasa wa upinzani au kama umemkashifu mkubwa mtandaoni. Economic Intelligence haipo kabisa. La sivyo wale wote wa Escrow wangekuwa wanalia kama Ulimboka.
 
Nguruvi3,

Asante kwa mchango wako mkubwa sana.

Kwa hili la Watanzania kushiriki katika ujenzi linawezekana kwa wao kupewa baadhi ya kazi kuzifanya huku Main Contactor akiwa huyo mtu wa nje. Hii inawapa hata Watanzania know how ya kufanya hizo kazi.

Shida kubwa inatokea wakati kazi za ujenzi alikuwa akipewa ndugu yake Rais, Waziri Mkuu au Waziri wa ujenzi. Fedha zililiwa na kazi haikufanyika kwani nani amfunge paka kengele?
Kwa sasa kuna Watanzania wana kampuni zao na wakipewa kama Sub Contactor basi watafanya kazi kwani anajua hiyo kazi hakupewa na Mtanzania mwenzake ila mgeni kutoka nje.

Nina imani kuwa hilo laweza kufanyika na tena likafanyika vizuri hata zaidi ya hao Ngozi Nyeupe au Njano.

Najua ilikuwepo Master Plan ya mji ila sidhani walikuwa wamejiandaa kuwa siku moja Dar ikiwa imejaa watu basi watu wakikimbilia Dodoma, Dodoma inaweza kuzidiwa mara moja.

Nimeona nyumba ya Waziri Mkuu picha za mwaka 2011 na nadhani kwa sasa zitakuwa zimeshaisha na imebaki kumalizia tu. Ukiangalia hata kwenye Google Earth unaziona hapo juu vizuri tu. Ila itakuwa vema kama ofisi za Serikali na Waziri Mkuu pamoja na makazi ya Mawaziri wengine yakae hukohuko upande huo ili hata kwenda bungeni wasiingine mjini kabisa. Itasaidia kupunguza foleni za vin'gora kila siku mjini.

Ntakuja kuongezea kuhusu Uwanja wa Ndege wa Msalato.
Ni ushauri mzuri sana ili kuepuka gharama za siku za usoni kama ujenzi holela, upanuzi unahotaji fidia, na kuanza kupanga mjini kuanzia sasa

Sielewi CDA kwa miaka yote imekuwa inafanya nini.

Tulitegemea master plan iwe wazi ili watu washiriki kutoa maoni.

Kuhusu kuwapa watu wa ndani, hapa ninatatizo kidogo.

Yes, pesa ibaki nchini, lakini je itabaki nchini au katika matumbo ya watu?

CDA wamefanya kitu gani tunachoweza kuamini pesa imebaki nchini?

Nina mnawazo mabaovu sana ya kutoamini watu wetu.

Wametuangasha kila siku na kila mahali.

Ukiwapa kazi ya kujenga rings, zitajengwa kwa lami ya kutumia brashi kama mtu ana deki, mapipa ndiyo 'kalavati' n.k.

Nadhani tuwape wajapan n.k ili tuendelee kujifunza, sisi tume prove failure to be honest.
 
Sooth, Nguruvi3 na wengine,

Naona kama PM au wahusika kadhaa walisoma hii makala au imekuwa bahati tu kuwa mengi tuliyoyaandika hapa, PM Majaliwa ameyarudia jana wakati akiongea na viongozi wa serikali.

Bila kujalisha PM alilijua hili au alisoma hapa na kuamua kuliweka kwenye kipaumbele, ni lazima tufurahi kuwa litafanyiwa kazi maana mwisho wa siku ni sisi tutasota na hizo foleni kwani wa wanaenda kwa ving'ora.
Ombi tu kwa PM ni kuwa Watanzania tuna tabia ya kusahau. Awe anawakumbusha mara kwa mara Tanroads katika hili la Ringroads na CDA katika kuwapanga watu na ofisi zao.

Mwisho lazima nishukuru kuwa uamuzi wa kutenga Mji Mkuu na Mji wa Biashara itakuwa safi sana. Acha Dodoma ibaki kuwa Mji Mkuu na biashara zote kubwa kubwa zibakie Dar.

Soma hapa: http://www.habarileo.co.tz/index.ph...761-pm-mji-mkuu-dodoma-kuthibitishwa-kisheria

Alisema CDA itambue eneo la makazi ya serikali kuu kwa maana ya ofisi za wizara na taasisi zake, makazi ya watumishi na huduma za biashara, elimu na taratibu zote za kisheria za kulitwaa zinatumika kwa haraka tayari kwa matumizi.

Pia alishauri serikali na taasisi zake na hasa zisizo za kibiashara zielekezwe eneo jipya la makazi rasmi ya serikali na sio kuwapa viwanja Dodoma huko ni kurudia makosa ya Dar es Salaam kwa kuchanganya serikali na biashara na kusababisha foleni.

Waziri Mkuu aliitaka CDA na serikali ya mkoa kuhakikisha wanatenga maeneo maalumu kwa ajili ya bandari kavu, kituo kikuu cha biashara, eneo maalum la wajasiriamali kuendelea kuongeza eneo la viwanda na huduma mbalimbali za biashara mahoteli, mabenki elimu na afya pamoja na kuongeza kasi ya kupima viwanja kwa ajili ya makazi, viwanda na taasisi.

Aliwataka Tanroads kukarabati barabara zilizopo chini na kubuni ringroads kwa ajili ya kuepusha foleni sizizo za lazima na kuzitaka taasisi nyingine kuboresha huduma kama mamlaka ya majisafi na majitaka.

Safi sana, ushauri/ukosoaji mzuri unaendana na kuonyesha nini hasa kifanyike. Na katika hilo binafsi ningependa sana wataalamu wa ndani watumike sana katika miradi mbalimbali itakayohusu kuhamia dodoma. Nchi za wenzetu wanaoendelea kama sisi wameweza kuzingatia. Kila shilingi ya mradi wa maendeleo, ibaki nchini.
 
Sikonge Ni vema PM ameliona jambo hilo.
Nina tatizo na CDA, hivi hasa kazi yao ni nini? Nilidhani walitakiwa kuwa mbele ya PM kwa kumuomba rasilimali za kutekeleza mipango kama wa Rings. They should have known this better

Pili, PM anaweza kuongea, ana watendaji, nadhani ilikuwa kutoa assignment kuwa ikifika muda fulani anataka kuona michoro na plan nzima. Hizi talks tu za mikutano hazitoshi, aende mbali na kutaka plan, time frame na implementations.

Kama kuna mamlaka nisiyoelewa kazi zake ni CDA. 40yrs bado wanaambiwa kuhusu sewarage
40 Yrs hawana plan za wapi kitakuwa nini

Sikonge na Sooth nyote mnapendekeza kazi wapewe wazawa.
Hivi karibuni kuna engineer ametoa tahadhari kuhusu ujenzi wa majengo marefu Dodoma.

Kwamba , kwa kutazama hali ya Dodoma, eathquake haiepukiki na kiwango ni ghorofa 2.

Utashangaa engineer wa hapa nchi wanaojua hili vema wanaendelea na ghorofa za kutosha tu.

Utaalam upo wapi na advantage ya kuwa mzawa ipo wapi?

Ukimpa kazi hiyo Mjapan, kitu cha kwanza ni kusoma hali ya eneo kijiografia na pengine angekataa kujenga ghorofa zaidi ya inazoshauriwa
 
Sikonge Ni vema PM ameliona jambo hilo.
Nina tatizo na CDA, hivi hasa kazi yao ni nini? Nilidhani walitakiwa kuwa mbele ya PM kwa kumuomba rasilimali za kutekeleza mipango kama wa Rings. They should have known this better

Pili, PM anaweza kuongea, ana watendaji, nadhani ilikuwa kutoa assignment kuwa ikifika muda fulani anataka kuona michoro na plan nzima. Hizi talks tu za mikutano hazitoshi, aende mbali na kutaka plan, time frame na implementations.

Kama kuna mamlaka nisiyoelewa kazi zake ni CDA. 40yrs bado wanaambiwa kuhusu sewarage
40 Yrs hawana plan za wapi kitakuwa nini

Sikonge na Sooth nyote mnapendekeza kazi wapewe wazawa.
Hivi karibuni kuna engineer ametoa tahadhari kuhusu ujenzi wa majengo marefu Dodoma.

Kwamba , kwa kutazama hali ya Dodoma, eathquake haiepukiki na kiwango ni ghorofa 2.

Utashangaa engineer wa hapa nchi wanaojua hili vema wanaendelea na ghorofa za kutosha tu.

Utaalam upo wapi na advantage ya kuwa mzawa ipo wapi?

Ukimpa kazi hiyo Mjapan, kitu cha kwanza ni kusoma hali ya eneo kijiografia na pengine angekataa kujenga ghorofa zaidi ya inazoshauriwa
Mkuu taratibu tutafika. Kuna lile tangazo linasema 'asipochafuka atajifunzaje?'. Tusipowapa wazawa kazi na kuwabana wajenge kwa viwango, tutajengewa majengo hata miaka 100 ijayo. Hii habari ya kujengewa kila miradi mikubwa ya majengo na wageni huikuti South Africa, Nigeria au India. Hizi ni nchi za mfano wa kule tunataka kwenda. Tukitaka kuacha kutumia toothpick za China, tuanze na hili la ujenzi.
 
Mkuu taratibu tutafika. Kuna lile tangazo linasema 'asipochafuka atajifunzaje?'. Tusipowapa wazawa kazi na kuwabana wajenge kwa viwango, tutajengewa majengo hata miaka 100 ijayo. Hii habari ya kujengewa kila miradi mikubwa ya majengo na wageni huikuti South Africa, Nigeria au India. Hizi ni nchi za mfano wa kule tunataka kwenda. Tukitaka kuacha kutumia toothpick za China, tuanze na hili la ujenzi.
Mkuu wamepewa sana na kila mara wanavurunda.

Ni sawa na mtoto anayejisadia katika nguo hataki kuacha kwasababu anajua baba/mama wapo ni ''Granted'' watamsaidia

Kwavile wamepewa mara nyingi,hawaonekani ku improve,ni wakati wakae bench wajifunze.

Kujifunza ni pale watapouliza kwanini hawapewi. Jibu litakuwa quality ya kazi zao ni mbovu.

Kuanzia hapo wata design mechanism ya kubanana wao kwa wao. Tutawapa wakifikia hapo

Wizi wa sumenti kwa mafundi local wa nyumba upo katika mfumo huo huo hadi national level

Haiwezekani jengo lianguke na kuua watu, halafu hakuna anayewajibika.
Si jengo moja ni mlolongo wa majengo.

Nakumbuka marehemu Adam. Lusekelo aliandika 'cement deficiency syndrome' imeingia nchini.

Bodi ya makandarasi inawalinda, bodi ya injinia inawalinda n.k.
kazi ni za hovyo, si majengo, si barabara si miundo mbinu mingine

Ni muumini wa dhati wa ubora kuliko uzawa.

Mjapan mwenye quality ni 'mzawa' zaidi ya mzawa anayetengeneza kitu cha kuua wazawa wenzake.

Hata kama mkandarasi ni Kenya, midhali ana kazi za viwango, apewe!
 
Mkuu Nguruvi3,

Nakuelewa wasiwasi wako. Miaka kadhaa nyuma nilishangaa kuona nyuma zimejengwa katikati ya miti mirefu sana.

Nikamuuliza Mwanafunzi mwenzangu kutoka West Africa hivi hao watu hawaogopi miti itawaangukia?

Alinipa jibu hadi leo sintalisahau na hadi niliona aibu kwani ni vitu tulishasoma sana tu.

Ulaya unapo-design msingi wa nyumba na nyumba yenyewe inabidi uzidishe na factors kadhaa na moja wapo ni:

1. Urefu wa ardhi kuganda ardhini. Barafu inatabia ya kujiongeza ukubwa na hivyo inaweza hata kunyenyua jengo kubwa tu na hasa pale palipo na udongo wa mfinyazi (SILT) ambao wataalamu siku hizi wanautumia sehemu zenye tope kujenga msingi kwa kumwaga bentonite na baadaye kuichukua, kuisafisha na kuitunza kwa kutumia baadaye. Bentonite ina tabia hiyo ya kuvimba na hivyo kuzuia tope zisimwagike kwenye msingi. Ni somo refu kidogo hilo.

2. Hali ya hewa na hasa joto maana joto hufanya vyuma kuongeza urefu.

3. Kiasi cha upepo unaopita eneo hilo. Na hili ndiyo jamaa wa West Africa alinijibu kuwa eneo hilo hawana upepo mkali kabisa. Hata USA kuna maeneo kama Oklahoma huko ndiko njia ya vimbunga vikubwa vikipita na kubeba kila kitu. Ila kuna maeneo ambayo kimbunga au upepo mkali haupiti na hivyo waweza kujenga karibu miti mirefu.

4. Matetemeko ya ardhi. Hii inajulikana kuwa kuna Scale kuanzia 0 hadi 10. Nikiwa nasoma Dodoma hadi form 4 nilikutwa na matetemeko ya adhi 3 tu. Ila hakuna hata siku moja jengo lolote lilianguka au kuvunjika. Pia nilishapatwa na tetemeko la ardhi Sikonge mara moja tu maishani. Matetemeko ya ardhi ya Tanzania hayawi makubwa hadi kuvunja matembe ya Wagogo au nyumba za Wanyaturu/Wanyiramba.

Tatizo kubwa kwa ujenzi wa majengo marefu Dodoma miaka yote imekuwa Water Table ipo juu sana. Pamoja na ukame wote wa Dodoma, maji yapo juu sana. Hii inaleta usumbufu sana kwenye kujenga misingi ya majengo marefu. Inabidi hapo zitumike aina ya juu ya misingi.

Kuna Mtanzania namfahamu amesimamia majengo mengi Ulaya, madaraja, nk. Kila alipofanya kazi, alipotangaza anaacha, wenye kampuni walilia. Huyu jamaa anaweza kusimamia ujenzi wa jengo lolote lile kwa Tanzania leo hii. Wahandisi kama hao wapo wengi na hasa ukiwatafuta kutoka nje ya nchi utawapata. Waliopo Tanzania ni kuwawezesha.
Tatizo kubwa la Civil Engineering ni kuwa wanasiasa huwa wanakimbilia huko kama Tai wanawahi Mzoga kwani siku zote ni sehemu yenye fedha nyingi sana. Wakishakuvamia Wana siasa, hata kama ni Mhandisi aliyejenga Burj Khalifa ya Dubai, bado na yeye atashindwa.
Kwa sasa nina imani Magufuli wengi kashawatisha. Sijui ni kwa kiasi gani wanataka bado KUIBA.

Sikonge
Sikonge na Sooth nyote mnapendekeza kazi wapewe wazawa.
Hivi karibuni kuna engineer ametoa tahadhari kuhusu ujenzi wa majengo marefu Dodoma.

Kwamba , kwa kutazama hali ya Dodoma, eathquake haiepukiki na kiwango ni ghorofa 2.

Utashangaa engineer wa hapa nchi wanaojua hili vema wanaendelea na ghorofa za kutosha tu.

Utaalam upo wapi na advantage ya kuwa mzawa ipo wapi?

Ukimpa kazi hiyo Mjapan, kitu cha kwanza ni kusoma hali ya eneo kijiografia na pengine angekataa kujenga ghorofa zaidi ya inazoshauriwa
 
Ni kweli kabisa Mkuu.

Daraja na Kigamboni na jengo la Bunge limejengwa na MENEJA Mradi Mhandisi Karim Mataka. Jamaa ukimsikiliza tu unaona kashabobea katika ujenzi. Kama usipomlazimisha adanganye basi jengo litakuwa imara.

Tatizo Wanasiasa wanapokuja wanakuambia kwenye hilo jengo unajenga na mie nataka nijenge ghorofa langu.

Wizi wa Cement siku hizi unaanza kufutika kwani kama wewe hutaki shida na mafundi basi unaagiza Concrete kutoka kwa Watengenezaji na wanakuletea ikiwa tayari. Wewe unapima ubora wake kwenye Cone Shape pamoja na kuchukua sample na kutengeza Cube ambazo unazi-crush baada ya siku 7, 14 au 28 na kuangalia ubora wake.

Tuseme ukweli kazi ya ujenzi kwa Mhandisi mzuri kwa siku hizi ni rahisi sana. Unaweza kuwa na wafanyakazi kama 10 na ukajenga jengo refu na kubwa huku ukitumia Sub Contractors.

images


Mkuu taratibu tutafika. Kuna lile tangazo linasema 'asipochafuka atajifunzaje?'. Tusipowapa wazawa kazi na kuwabana wajenge kwa viwango, tutajengewa majengo hata miaka 100 ijayo. Hii habari ya kujengewa kila miradi mikubwa ya majengo na wageni huikuti South Africa, Nigeria au India. Hizi ni nchi za mfano wa kule tunataka kwenda. Tukitaka kuacha kutumia toothpick za China, tuanze na hili la ujenzi.
 
Sikonge kwa nchi za wenzetu, jengo likianguka ipo kazi
Mchora ramani, consultant, contractor, supplier, n.k. leseni zao hatarini

Atakayebainika, hatapata kazi tena maisha yote ya kampuni, leseni ya mtu binafsi inafungiwa, na itakapofunguliwa itakuwa na doa kiasi kwamba hawezi kuifanyia reference popote, rekodi ipo

Leo nenda bodi ya wakandarasi au injinia, tafuta rekodi zao! madudu matupu

Ukitaka kujua concern yangu, chukua mfano mmoja mzuri wa Lugumi.
Huyu ni mzawa aliyepewa kazi ya mabilioni.

Taarifa ya naibu spika inasem kazi haikumalizika.
Hapo ni bila kujua madudu ya mkataba husika yaliyofunikwa

Suala zima limefanyia hila, sababu ni rahisi,wanahusika wengi kuanzia Polis hadi kwingine

Tuliotegemea watachukua hatua 'wamekimbia'Kulindana tu

Kwanini kazi hii asipewe Mjapan atakayemaliza kwa ubora na muda?

Tazama kajima ya miaka 30 na barabara za wazawa za miaka 5 iliyopita

Tazama kazi ya Kamphi Segera chalinze hadi wakazawadiwa Seger-Tanga kwa kazi nzuri. Ilikuwa wakati wa Mwinyi. Angalia ubora wake na kazi za wazawa za miaka 2 iliyopita

Ndiyo maana naunga mkono Magufuli kutoa kazi za e-Gov kwa Wanyarwanda
Kama wana ubora let it be, tusije ishia kuwa na Lugumi nyingine

Majengo yanaanguka, hakuna anayewajibika kweli! serious!

Sikonge ningalikuwa na uwezo ningefuta bodi ya wakandarasi, bodi ya Injinia n.k. Uwepo au kutokuwepo kwa bodi hizi hakubadilishi hali.
Ni vitengo vya ajira tu.

Kazi kwa wazawa!!! mmh wakae benchi tu!

Sina uchungu kama wasivyo na uchungu wanapoona majengo yanaua akina mama ntilie kwa uzembe wa 'syndicate' za rushwa!
 
Sooth na Sikonge
Kuna hoja ya kutumia 'disapora' kwasababu ya uwezo wao huko walipo

Nakubali wapo Watanzania katika tasnia mbali mbali wanaofanya tusiyotarajia

Kagame amewatumia sana,wameleta culture mpya kukiwa tayari na culture ya kuwajibika na kuondoa rushwa

Nawafahamu Watanzania wengi, wahandisi, waandishi wa habari, madaktari, wahasibu n.k. wanofanya 'vitu' kwa wenzetu na wanaheshimika

Ujenzi wa rings unaweza kuwapa ikafanyika kama wanavyofanya huko waliko.

Tatizo, watakuwa 'frustrated' si kwa masilahi bali bureaucracy na rushwa

Kuna wataalam wa IT nje wangeweza kufunga vifaa 'polisi' kwa muda mfupi
na kwa ufanisi. Lakini je, wangewezaje ikiwa tunajua mradi ulihusisha vigogo? Mkataba 'umefichwa' inasemwa wamehusika ''wazito''

Mfano rahisi sana, nguli wa BBC aliletwa na kupewa shirika alibadilli.
Kweli katika muda mfupi sana watu wakaanza kutumia habari za shirika letu

Guess what! walimuondoa, hakukidhi mahitaji yao.

Huwezi kutumia disapora kwasababu 'inner circle' watakula wapi? Wanachotaka ni kampuni local ili wagawane mradi

Wagawane mradi kama ule wa machinjio ya Ruvu alioibua Mwigulu.
Nguzo zimesimama miaka nenda rudi, aliyepewa tenda, mhandisi, consultant, wenye kazi (halmashauri) wamegawana chao! ni wazawa hawa

Ili kukomesha upuuzi wa aina hii, local contractors wakae pembeni kwanza. Wajifunze maana ya kazi na si rushwa.

Tutumie Diaspora kwanza kwa kuwapa kazi moja kwa moja bila kupitia mauza uza ya bodi n.k. Najua kisheria itasumbua lakini sheria zinatungwa na watu!

Kuna nyakati lazima hatua zenye maumivu zichukuliwe

Mimi si mpenzi wala mashabiki wa 'wazawa' wanaoua wazawa wenzao kwa professional negligence inayotokana na corruptions and moral decay

Sipendi bodi kwani ni magenge ya ulaji tu, hayana masilahi na umma.

Futa bodi ya Wakandarasi, Injinia, Sumatra n.k.
Weka wazawa benchi wajifunze, tuache uzawa unaoua wazawa

Bodi hazina masilahi na umma ni maeneo ya kupatia allowance tu.
 
Nguruvi3,

Ulilolisema ndiyo hilo linafanyika sasa hivi Tanzania. Magufuli anavunja sheria nyingi sana na kama hujafahamu ni kuwa nchi sasa hivi ni YEYE anaiendesha na hao wengine wanamsaidia. Fedha zote za nchi hii ni Magufuli anathibitsha.
Tofauti na Vasco enzi zake ambaye yeye alikuwa akifanya anayoweza kuyafanya vizuri na kweli alifanikiwa. Ila Watanzania ndiyo wakawa wanakula bila kunawa wakati yeye yupo Jamaica anabebembea.

Nina amini Ubabe wa Magufuli unaweza kutufikisha mbali ingawa ningelipenda kabla hajamaliza muda wake basi ahakikishe anatuachia KATIBA mpya ambayo madaraka ya Rais yanapunguzwa sana. Kitu kibaya kinachoweza kutokea baada ya kuondoka Rais mzuri ni kuja lijinga fulani na kusababisha waliyoyapata Ivory Coast baada ya kufa kwa Felix Boigny ambaye aliifanya abidjan iwe Paris ndogo ila mwisho wake wakaishia kuuwana. Ingawa nawasifu waliyamaliza kwa busara na hawakuruhusu nchi iwe kama Liberia au Sierra Leon.

Kama Magufuli akionyesha nia ya dhati na kuwakabidhi kweli Diaspora hasa wale ambao huko waliko ni nguli basi tunaweza kufika mbali sana. Kwa mfano TTCL ilivyo, nawafahamu watu kadhaa na mmoja ni Mtanzania (JF member wa siku nyingi kwa jina la George Mwakalinga) huyu anaaminiwa sana na Huawei na huko karibu kila siku anafanya kazi za British Telecom. Unaweza kukuta ujuzi wake ukaifikisha mbali sana TTCL.

Tatizo kubwa la miaka ya nyuma ni kuwa hata Diaspora walioletwa walikuwa wapiga DEAL au kuwasafishia njia Wanasiasa huku wakitumia mgongo wake kama Mtaalamu. Sishangai kwa sasa kutokumuona Muhongo kwani alikuwa akijiaibisha kuanza kuwekwa kapu moja na akina Lusinde. Ni heri ukae kimya na siyo kuanza kuwa Mwana Siasa wakati siasa huzijui.
Nilimshangaa siku Sugu anamwambia Waziri wa fedha Mpango kuwa ASIWE MWANA SIASA na wao upinzani watakuwa upande wake. Nafikiri ndiyo maana UKAWA huwa hawana maneno na Mpango na yeye anajua hilo.

Ninajua anachokifanya Rais sasa hivi ni kile anachokifanya PM wa Hungary Victor Orban kwa kubadilisha katiba ya nchi na kuanza kuwa Dikteta. Ila hali ilipokuwa imefikia nchi producer wa Ikarus ilikuwa mbaya sana. Watu wao wengi wamekimbilia nchi nyingine za EU. Kawafunga mdomo vyama vya wafanyakazi, Mahakama na upinzani na kaweka kundi la rafiki zake aliosoma nao na kuanza kuendesha nchi kibake ili irudi kwenye mstari.
Ila kwa Tanzania nina uhakika angeliweza kabisa kuongea na UPINZANI na hata kutengeneza nao Serikali ya Mseto na kwa miaka kama 10 mambo mengi ya sheria yakasimama. Ukiiba unasahaulika. Ukizembea unafukuzwa kazi. Wauza unga ni kuwa Indonesia (jioni ya leo wanauwa 14).

Nafikiri tungeliweza kuhamia Dodoma, kujenga reli, kununua ndege hadi Boeng 777 kama siyo mpinzani wake Airbus A330, tukajenga reli za mijini na rings kuzunguka miji na vijiji na bado tukawa tunapumua.
Watanzania tunaweza sana tu hata kutengeneza ndege ila sema tunahitaji STALIN. Mji wa Volgograd uliharibiwa mno na ni kama wote ulilazwa chini. Kwenye kilima cha Mamayev Kurgan (The Motherland call) zilikuwa zimeanguka risasi za ukubwa tofauto kuanzia bastola, ndege, vifaru, mizinga nk. Volgograd ilikuwa point muhimu sana kwa Russia na German na kila mtu hakujali idadi ya watu watakaouawa hapo. Mrusi ndiyo alikuwa kwenye hali mbaya zaidi kwani misaada yote kutoka USA ilipita hapo na wangelipaachia basi walikuwa wamekwisha. Mgeruman pia alitegemea mto huo kuingiza mafuta kwa majeshi yake. Pale peke yake ni watu zaidi ya milioni moja walikufa au kujeruhiwa.
Mamayev Kurgan - Wikipedia, the free encyclopedia
Battle of Stalingrad - Wikipedia, the free encyclopedia

Ila unaambiwa vita ilipoisha, Joe Stalin aliwapa Wahandisi wa Kirusi miezi 3 mji uwe umesimama. Hapo ilibidi hadi Mateka wa Kigeruman waingizwe kazini kujenga. Stalin hakutaka kusikia eti hilo haliwezekani.
Ukweli ni kuwa walijenga. Ila najua kwa Tanzania hatupo kwenye hali waliyokuwa nayo Warusi enzi hizo ila nataka tu kuonyesha jinsi Binadamu akibanwa sawasawa kama Mjusi katikati ya Mlango basi macho yatamtoka kwa KUKAMULIWA ila mwisho wa siku MZIGO utafika hata kama PUNDA kadhaa watakufa.

Nafikiri wote tunakubaliana kuwa Radical means lazima zitumike. Wewe unataka uwatumie watu wa nje ambao kwangu mie ni kuwa hatutakuwa na nguvu nao. Mie naamini tutumie tu WATANZANIA ila MIJELEDI itembee. Hapa Mjeledi simaanishi kweli wapigwe fipo Wajameni.

Kama Kagame kaweza tena kwa kututumia SISI Watanzania, hata sisi tunaweza. Watanzania wakikutekenya na wewe UKACHEKA, basi utavuna MABUA. Ukiwaweka kati ya mlango na uwabane, basi utashangaa walivyo hodari.

MUNGU IBARIKI TANZANIA.

Sooth na Sikonge
Kuna hoja ya kutumia 'disapora' kwasababu ya uwezo wao huko walipo

Nakubali wapo Watanzania katika tasnia mbali mbali wanaofanya tusiyotarajia

Kagame amewatumia sana,wameleta culture mpya kukiwa tayari na culture ya kuwajibika na kuondoa rushwa

Nawafahamu Watanzania wengi, wahandisi, waandishi wa habari, madaktari, wahasibu n.k. wanofanya 'vitu' kwa wenzetu na wanaheshimika

Ujenzi wa rings unaweza kuwapa ikafanyika kama wanavyofanya huko waliko.

Tatizo, watakuwa 'frustrated' si kwa masilahi bali bureaucracy na rushwa

Kuna wataalam wa IT nje wangeweza kufunga vifaa 'polisi' kwa muda mfupi
na kwa ufanisi. Lakini je, wangewezaje ikiwa tunajua mradi ulihusisha vigogo? Mkataba 'umefichwa' inasemwa wamehusika ''wazito''

Mfano rahisi sana, nguli wa BBC aliletwa na kupewa shirika alibadilli.
Kweli katika muda mfupi sana watu wakaanza kutumia habari za shirika letu

Guess what! walimuondoa, hakukidhi mahitaji yao.

Huwezi kutumia disapora kwasababu 'inner circle' watakula wapi? Wanachotaka ni kampuni local ili wagawane mradi

Wagawane mradi kama ule wa machinjio ya Ruvu alioibua Mwigulu.
Nguzo zimesimama miaka nenda rudi, aliyepewa tenda, mhandisi, consultant, wenye kazi (halmashauri) wamegawana chao! ni wazawa hawa

Ili kukomesha upuuzi wa aina hii, local contractors wakae pembeni kwanza. Wajifunze maana ya kazi na si rushwa.

Tutumie Diaspora kwanza kwa kuwapa kazi moja kwa moja bila kupitia mauza uza ya bodi n.k. Najua kisheria itasumbua lakini sheria zinatungwa na watu!

Kuna nyakati lazima hatua zenye maumivu zichukuliwe

Mimi si mpenzi wala mashabiki wa 'wazawa' wanaoua wazawa wenzao kwa professional negligence inayotokana na corruptions and moral decay

Sipendi bodi kwani ni magenge ya ulaji tu, hayana masilahi na umma.

Futa bodi ya Wakandarasi, Injinia, Sumatra n.k.
Weka wazawa benchi wajifunze, tuache uzawa unaoua wazawa

Bodi hazina masilahi na umma ni maeneo ya kupatia allowance tu.
 
Sikonge

Radical means tunakubaliana sote kama nchi, lazima zitumike.
Namna gani zinatumika ndipo tatizo linapoanzia

Tukiamua tufuate sheria basi sote tuwe sawa mbele ya sheria husika

Kwa mfano, ukifukuza watu kwa kushindwa kazi au rushwa, halafu wengine ukawahifadhi kwa kutumia bunge , hizo si radical means, ni hypocrisy

Huwezi kusema mwizi wa mafuta bandarini ni hatari kuliko mwizi aliyeskwapua pesa bila kumaliza kazi. Hizo si radical means ni double standard

Radical means ninazosema mimi ni zile zilizopo ndani ya sheria.
Mfano, Rais anaweza kuvunja bodi aliyoteua kwa mujibu wa sheria iliyopo

Bodi zimevunjwa hakuna anayelalamika ni ubabe.
Ubabe ni pale sheria zilizopo zinapofanyiwa hila au kupuuzwa

Wabunge waliuliza, wapi instruments za mawaziri!
Hakuna aliyejibu na hakuna aliyechukua hatua.

Kiungwana, radical means ni kupeleka instruments za mawaziri ASAP.
Ndivyo sheria inasema, na ndivyo inavyotakiwa kusimamiwa

Pili, ubabe wenye manufaa lazima uambatane na vision. Mfano mzuri ni suala la sukari. Kilichofanyika hakikuwa na maandalizi, ikawa ubabe futile

Hivyo wakati nakubaliana nawe kwa radical means, sikubaliana nawe kuwa double standard na recklessness ni radical means

Tatu, radical means hazina maana one man show. Radical means lazima ziwe na consensus. Suala la ubadhirifu na rushwa ni hoja ya wapinzani na Raia

Radical means, ni kuwaleta pamoja kuonatatizo na kulifanyia kazi.
Kuwafunga midomo, kuwadharau si radical means, ni ''myopia''

Si lazima kufanya nao kazi, lakini basi radical means zinataka wasikilizwe

Nne, radical means zinaambatana na matumizi ya sheria.

Huwezi kuwa na sheria moja ikasimamiwa tofautiwa si radical means.
Hiyo ni double std.

Ukishakuwa na double std, tayari unakosa public trust, unabomoa unity, unajenga layers. Ikifika hapo, no matter what, failure is imminent

Angalia Mahathiri Mohamed, Lee Kwan walivyogeuza nchi zao
Walitumia radical means within legal frame while enjoying mass support
 
Back
Top Bottom