Mlyafinono
Senior Member
- Apr 6, 2012
- 177
- 47
Waziri mkuu Mizengo Pinda leo amezindua mwenge wa kuwamulikia mafisadnasema hivyo kwasabau dhana nzima ya mbio za mwenge za kuleta matumaini na kudumisha umoja,mshikamano na upendo miongoni mwa watanzania na nje ya mipaka yetu imekufa badala yake ni kuneemesha mafisadi. Uzinduzi huo umefanyika mkoani mbeya.