Miss Zomboko
JF-Expert Member
- May 18, 2014
- 4,498
- 9,279
hahaha tunasafari ndefu sanaWaziri Mkuu amezindua kitabu ambacho hajui maudhui yake. Hiyo kamusi ina makosa mengi sana, katika tafsiri ya baadhi ya vidahizo na michoro. Na kwa kuwa nakala yangu nilinunua moja kwa moja toka kwa wachapishaji, nadiriki kuiita kamasi kuu badala ya kamusi kuu.