Waziri Mkuu awataka Mawaziri na Naibu Mawaziri wajiepushe na utoaji wa matamko yasiyotekelezeka

huu utawala bwana, uyu atafanya hili mwingine anakuja kulitengua yaani ni mwendo wa kupishana kauli na kuropoka ropoka,
mzee majaliwa kawagusa wote hapo
 
Nilishasema humu ndani, Kassim Majaliwa ndiye aliyefaa kuwa Raisi wa nchi hii, na Magufuli kuwa Waziri Mkuu. Lakini kuwa na Majaliwa kama Waziri Mkuu na Magufuli kama Raisi ni sawa na pikipiki kuvuta lori. Inaweza, lakini ni tatizo.

Na ukweli ni kwamba hekima na busara za Majaliwa katika uongozi zinazimwa sana na Raisi Magufuli - Majaliwa kwa sasa hatendi kwa kutumia uwezo wake wa kiuongozi asilimia kwa asilimia 100% kwa sababu yuko chini ya kivuli cha Magufuli

Fact: Majaliwa is not exerting his full leadership potential because he is constrained by the President

The best next thing for Tanzania after the discovery of Tanzanite is to have Majaliwa as president of the country. And I am not talking of 2020 elections here. CCM take note.
ambaye hatuweza kukuelewa hapa atakuwa bado yupo usingizini
 
Well said by PM. Ni muongozo wenye busara kwa sababu ahadi zinazotamkwa zisipotekelezeka zina mdiscredit mtoa ahadi kwa wananchi.
 
Amwambie huyo Jokofu.....sijui Jafo sijui nani....anaropoka tu....hajui kuna mambo ya ya sera na ki bajeti anaropoka tuuu
 
Back
Top Bottom