Fahari omarsaid
Senior Member
- Feb 8, 2011
- 101
- 13
Cku zote Afrika upinzani wanaambiwa wana leta vurugu bt hawataki kukiri kuwa viongozi wa vyama tawala ndio chanzo cha vurugu Afrika
kuna vita ya CCM + NCCR MAGEUZI + TLP + UDP + CUF zidi ya CDM..kwa hiyo kama kuna mbunge wa CDM alipopata ubunge alitegemea mtelemko alikosea kazi ndiyo kwanza imeanza....
na sisi wananchi wapenda maendeleo tunapaswa kuwaunga mkono CDM kwa dhati...
Mh. Lema ameuliza hivi kiongozi kama waziri mkuu akiongopa bungeni anachukuliwa hatua gani? matokeo yake spika kaanza kujikanyaga ooh hawezi kudanganya...
hizo zako nindoto za mchana za alinacha ila jipe moyo ila chadema kutawala nakuongoza nchi hii msahau milele chadema haitoweza kushinda uchaguzi na kuongoza taifa hili,hata hao chadema wenyewe wanalijua hilo,msinichukie huu ni mtazamo wangu.hao wanaokutuma ipo siku mwisho wenu haupo mbali,chadema ndio chama pekee kinachoaminiwa na wasomi na wazalendo wa kweli..........nguvu ya umma itawaumbua hata mpige porojo kiasi gani dhambi anayoifanya pinda ya luwasaliti wakulima itamtokea puani muda sio mwingi
Ungetoa hiyo Lucifer ukaacha Devil inageleta maana zaidi Lucifer ni jina zuri sana kama unaweza jishughulishe kulielewa...Pinda mwongo mkubwa wewe, chadema waliandamana polis wakawapiga mabomu ya machozi na risasi sasa Pinda huwezi kutudanganya na CCm yenu. CCM = Lucifer/ devil i hate youuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuu CCM
Mh. Lema ameuliza hivi kiongozi kama waziri mkuu akiongopa bungeni anachukuliwa hatua gani? matokeo yake spika kaanza kujikanyaga ooh hawezi kudanganya...