Swafi sana.
Tna madaktari wa jeshini washike nafai, India, Egypt, Cuba kuna madaktari kibao hawana kazi, hao wanaodai madai yao kwa kufata mkumbo, iwe ndio mwisho na mwanzo.
Muwafutie na leseni zao.
hivi leo madaktari walikutana na pinda kwa mazungumzo?
jamani kazi hazipo wasomi wengi wako mitaani nashangaa hawa madaktari kweli watafukuzwa kisha serikali itachukua madaktari wapya wako mitaani bado hawana kazi hata wale wa hospitali binafsi wanaweza kuomba kazi serikalini kwani kuna fursa zaidi ya binafsi.
Swafi sana.
Tna madaktari wa jeshini washike nafai, India, Egypt, Cuba kuna madaktari kibao hawana kazi, hao wanaodai madai yao kwa kufata mkumbo, iwe ndio mwisho na mwanzo.
Muwafutie na leseni zao.
inawezekana kabisa pinda akawa na busara kama yako.Swafi sana.
Tna madaktari wa jeshini washike nafai, India, Egypt, Cuba kuna madaktari kibao hawana kazi, hao wanaodai madai yao kwa kufata mkumbo, iwe ndio mwisho na mwanzo.
Muwafutie na leseni zao.
Serikali ya CCM uozo mtupu.
kama kweli Pinda kasema nawaagiza basi hilo ni tamko la serikali kwamba kweli imedhamilia kuwafukuza na kuanza upya. Ni heri kuwa na madaktari wapya wasio na ujuzi kuliko mabingwa wauaji.
Sio kosa lako..mmeshazoea kuomba omba na kusubiri watu wengine waje wawafanyie kaziSwafi sana.
Tna madaktari wa jeshini washike nafai, India, Egypt, Cuba kuna madaktari kibao hawana kazi, hao wanaodai madai yao kwa kufata mkumbo, iwe ndio mwisho na mwanzo.
Muwafutie na leseni zao.
kama kweli Pinda kasema nawaagiza basi hilo ni tamko la serikali kwamba kweli imedhamilia kuwafukuza na kuanza upya. Ni heri kuwa na madaktari wapya wasio na ujuzi kuliko mabingwa wauaji.
Mimi naona madaktari wauaji ndio uozo mtupu. Hawawezi kuua wagonjwa kwa kisingizio cha kudai maslahi zaidi. Hivi hakuna njia nyingine ya kudai haki hadi kutuua wagonjwa? Mbaya zaidi mimi mgonjwa ndiye nilisomesha dokta kwa kodi yangu kisha nakwenda hospitali anagoma kunipa huduma nakufa eti kisa kagombana na serikali....upuuzi huu.
Nina mashaka na elimu yako
haya majina ya humu ndani kumbe yanaendana na bongo za mtu uliona wapi mama porojo akawa na uwezo wa kufikiri. wewe umemsomesha nani, kwani mama ntilie pia siku hizi mnalipa kodi.Mimi naona madaktari wauaji ndio uozo mtupu. Hawawezi kuua wagonjwa kwa kisingizio cha kudai maslahi zaidi. Hivi hakuna njia nyingine ya kudai haki hadi kutuua wagonjwa? Mbaya zaidi mimi mgonjwa ndiye nilisomesha dokta kwa kodi yangu kisha nakwenda hospitali anagoma kunipa huduma nakufa eti kisa kagombana na serikali....upuuzi huu.
Sio kosa lako..mmeshazoea kuomba omba na kusubiri watu wengine waje wawafanyie kazi
kama kuna mtu anahusika moja kwa moja kutokea mgomo wa madaktari ni Pinda kwasababu ndiye amekuwa anamlinda Katibu Mkuu wa Wizara ya Afya bi Blandina Nyoni. Waziri na naibu wake hawana sauti kwa huyo mama sababu analindwa na Boss wao Pinda.inawezekana kabisa pinda akawa busara kama yako.
unategemea dokta akuhudumie vipi wakati mazingira yao ya kazi ni mabovu, unataka akufanyie operation halafu akiache kiwembe ndani ya mwili wako ndio ujue kuwa mazingira yao ya kazi mabovu