BADILI TABIA
JF-Expert Member
- Jun 13, 2011
- 32,772
- 23,160
ameamuru eeeh? Haya!
kama atakua amelonga nao na wakakubaliana itakua poa sana LAKINI KAMA NI AMRI BILA MAKUBALIANO NAHISI ATAKUA ANAJITAFTIA MAKUBWA
NGOJA MADAKTARI WOTE NA MANESI WOTE NCHI NZIMA WAGOME NDO TUTAPATA MWAFAKA.!iSwafi sana. Tna madaktari wa jeshini washike nafai, India, Egypt, Cuba kuna madaktari kibao hawana kazi, hao wanaodai madai yao kwa kufata mkumbo, iwe ndio mwisho na mwanzo. Muwafutie na leseni zao.
Swafi sana.
Tna madaktari wa jeshini washike nafai, India, Egypt, Cuba kuna madaktari kibao hawana kazi, hao wanaodai madai yao kwa kufata mkumbo, iwe ndio mwisho na mwanzo.
Muwafutie na leseni zao.
.Swafi sana.
Tna madaktari wa jeshini washike nafai, India, Egypt, Cuba kuna madaktari kibao hawana kazi, hao wanaodai madai yao kwa kufata mkumbo, iwe ndio mwisho na mwanzo.
Muwafutie na leseni zao.
Wewe unatumia nini kuwaza kabla hujaandika, yaani watoe madaktari india kwa sababu madaktari wetu wamegoma kushinikiza kuboreshewa mazingira ya kazi yao? Hivi huyu Pinda kazaliwa wapi? Tz au DRC ?
Serikali ya CCM uozo mtupu.
Hao madaktari wa kukodi unaowataja watawalipaje na watafanya kazi kwenye mazingira yapi???....you people eh!! hawa madaktari wanagoma ili kutafta ubora kwa ufanisi wa kazi kwa madaktari wooote..hata hao wa kukodi unaowasema(hata hao walioko mikoani ambao hawakugoma).......lini watanzania mtaacha porojo kwenye mambo ya msingi???....tatizo la serikali ya tz hawana vipaumbele kwenye serious issues.....nyie mnafikiri kuwalazimisha madaktari warudi kazini ndio watawasaidia wagonjwa eh!!!...you are deadly wrong....go tell your friends kwamba udaktari unahitaji piece of mind....hii si profession kama yako ya kulima magimbi mkuranga......by the way....do you know tz kuna madaktari wangapi mpaka ufikirie kuwafutia leseni hawa drs?.....mind you...kufuta leseni hakumwondolei daktari ujuzi alio nao.....leseni is just a piece of paper.....go back and think.........Swafi sana.
Tna madaktari wa jeshini washike nafai, India, Egypt, Cuba kuna madaktari kibao hawana kazi, hao wanaodai madai yao kwa kufata mkumbo, iwe ndio mwisho na mwanzo.
Muwafutie na leseni zao.