LESIRIAMU
JF-Expert Member
- Feb 12, 2008
- 8,721
- 13,959
Siku chache zilizo pita tulipata shida ya LUKU kununua umeme mitandaoni.
Mh. Waziri mkuu akaenda Tanesco na kuondoka na wataalam wa IT. Tulidhani suluhisho limepatikana. Leo tena kuna shida ya manunuzi ya umeme mtandaoni. Nimepiga simu huduma kwa wateja wana sema kuna tatizo.
Mara hii Mh. Majaliwa ataondoka na nani?
Au tumuombenMh. Rais aondoke na vichwa wa wateule wake?
Hii sasa tuihesabu kama hujuma.
Mh. Waziri mkuu akaenda Tanesco na kuondoka na wataalam wa IT. Tulidhani suluhisho limepatikana. Leo tena kuna shida ya manunuzi ya umeme mtandaoni. Nimepiga simu huduma kwa wateja wana sema kuna tatizo.
Mara hii Mh. Majaliwa ataondoka na nani?
Au tumuombenMh. Rais aondoke na vichwa wa wateule wake?
Hii sasa tuihesabu kama hujuma.