Ndiyo maana kuna mahala ameagiza Mawaziri husika watunge sheria kuunganisha Taasisi zote mbili.Hapana, ni bora ofisi ya Waziri Mkuu iwe inafanya hiyo kazi kwasababu hizi taasisi na Wizara zinapigania ulaji kwenye the same commodities hawawezi kukubaliana lakini ofisi ya PMO inaweza kufanya maamuzi magumu.