Kifaru86
JF-Expert Member
- Apr 22, 2017
- 1,734
- 3,802
Waziri mkuu kassim majaliwa wakati akizungumza wakati wa uzinduzi wa mbio za mwenge mkoani geita ametaja mikoa ambayo inayoongoza kwa utoro level ya primary na secondary .
1.TABORA
2.GEITA
3.SHINYANGA
4.MTWARA
5.SINGIDA
6.SIMIYU
lakini mwisho aliwahimiza wazazi kuwahimiza watoto wao kuhusu umuhimu wa kwenda shuleni
Chanzo: Mwananchi
Je, tatizo ni nini ndugu zangu tunaotokea mikoa haswa ya Tabora, Geita na Shinyanga maana ndio tumeongoza kwa utoro.
1.TABORA
2.GEITA
3.SHINYANGA
4.MTWARA
5.SINGIDA
6.SIMIYU
lakini mwisho aliwahimiza wazazi kuwahimiza watoto wao kuhusu umuhimu wa kwenda shuleni
Chanzo: Mwananchi
Je, tatizo ni nini ndugu zangu tunaotokea mikoa haswa ya Tabora, Geita na Shinyanga maana ndio tumeongoza kwa utoro.