Nucky Thompson
JF-Expert Member
- Sep 20, 2016
- 1,817
- 4,058
Hali inayoonyeshwa kaguswa na kifo cha Samuel Sitta waziri mkuu alishindwa kujizuia na aliangua kilio mbele ya kamera
Embu tema hiyo nyongo mkuu!!!Bora tu nisiseme chochote hapa.
Wanaume wazima wanalia aibu wakati wanawake wako poa
Pole baby...
Asante babyPole baby...
Katika mikoa ambayo haikunufaika na viongozi wakuu kutokea kwao ni Tabora.Sitta Samwel kaliza Wengi sana.
Itachukua Miaka Mingi sana Tabora kuzalisha Gwiji wa Siasa baada ya Samwel Sitta na Chief Abdallah Saed Fundikira!