Shujaa Mwendazake
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 3,735
- 6,281
WAZIRI Mkuu, Kassim Majaliwa amepokea taarifa ya Kamati ya uchunguzi wa tukio la moto uliotokea katika soko la Kariakoo.
Amepokea taarifa hiyo kutoka kwa Mwenyekiti wa Kamati hiyo, CP Liberatus Sabas na kuahidi kuwa serikali itayafanyia kazi mapendekezo yote yaliotolewa na kamati hiyo.
Amepokea taarifa hiyo kutoka kwa Mwenyekiti wa Kamati hiyo, CP Liberatus Sabas na kuahidi kuwa serikali itayafanyia kazi mapendekezo yote yaliotolewa na kamati hiyo.