Waziri Mkuu aokoa mamilioni, atembea kwa miguu kwenda ofisini

Mshana umekuwa mtu wa kukosoa tu hata yasio na maana sasa shida iko wapi Waziri mkuu kutembea na Kusalimiana na Jamii inayomzunguka, Yule ni Icon na public figure ana waandishi wa habari wanaomfata popote alipo sioni haja ya kutoka povu hivo mkuu
Mwanaukoo hapa hukunielewa naona na wala huoni hatari iliyopo kati ya hao wananchi na hicho walichomfanya mwandishi aripoti!
Lioneni hili katika njia pana hasa dhana ya kubana matumizi ilivyopokelwa na jamii...!!! Lakini je kwanini mshangao uwe Leo na sio siku nyingine zozote? Tuwe tinatafakari japo kidogo
 
Wajua mshana jr usidhani wazungu hawajui kuwa mwanaume huwakwa tamaa ya mwanamke.

Wamejifungia vyumbani wametoka na manadharia ya ajabu wameya spread na sasa wanaume eti wanawaka tamaa ya wanaume wenzao.

Ni Upumbavu sana!!!
Afadhali ungekuwa ujinga elimu inge clear
Lakini ni Upumbavu!!!

Yaani wanawambia nini akina mama ambao hutembea kilomita kumi na kadhaa kufuata maji ya huku wakiwa na watoto migongoni?

Hii ni zaidi ya madharau!!!
Yaani umbali wa viwanja viwili vya mpira wa miguu ni shughuli ya kumtangaza PM kuwa AMEFANYA JAMBO KUBWA????!

Na PM naye anakenua kenua meno tuuu!!!!
 
Halafu hapo hapo anashindwa kujibu kuhusu kura ya milioni 10 kwa kila mbunge! Majaliwa naye ni mzigo tu. Hana jipya huyu siku nikisikia katembea kwa miguu kwenda Dar kufuatilia mambo muhimu ya Taifa hili hiyo itakuwa ni breaking news, akiamua michango ya bilioni 16 kwa wahanga wa tetemeko itapelekwa kwa wahanga badala ya kutumika kwenye miundo mbinu ya Serikali hiyo itakuwa breaking news.

Isichukuliwe kama dhihaka! Isichukuliwe kama maskhara na furahisha genge! Bali ikupe fikra fikirishi ya huko tunakoelekea na dhana nzima ya kubana matumizi
Akiripoti kutoka Dodoma mwandishi wa kituo cha WAPO RADIO, amesema wananchi wa Dodoma Leo wamesifu kitendo cha waziri mkuu cha kutembea kwa miguu UMBALI WA MITA 200 kutoka makazi yake-ikulu ndogo ya Dodoma hadi ofisini kwake (zingatia mita 200)akiwa na walinzi wachache
Kitendo hicho kimetajwa kama kitendo cha aina yake chenye UADILIFU kilichookoa MAMILIONI YA PESA ambayo yangetumika kwenye msafara wa magari yasiyopungua sita
Tuupinge kwa nguvu zote huu upuuzi, mwendo wa mita 200 Katika uhalisia wake mtu anaweza kupanda gari na msafara?
Je kama Leo imeonekana ni ajabu ina maana siku zote ndivyo ilivyo?
Je kutembea mita 200 ni kubana matumizi?
Ni habari za namna gani hizi jamii inapewa?
Ina maana Dodoma leo kuanzia asubuhi hakukuwa na habari nyingine zaidi ya hii?
Hii breaking news imeniacha na maswali mengi
 
Nilivosikia hii habari nilishangaa, at first nilijua ametoka kule mlimani (makazi mapya) mpaka ofisn kwake nikawa namshangaa kweli huyu jamaa, ila kuja kujua ni from pale nyumba ya dodoma hoteli mpaka Tamisemi nikashangaa kwelikweli
 
Nilivosikia hii habari nilishangaa, at first nilijua ametoka kule mlimani (makazi mapya) mpaka ofisn kwake nikawa namshangaa kweli huyu jamaa, ila kuja kujua ni from pale nyumba ya dodoma hoteli mpaka Tamisemi nikashangaa kwelikweli
Asante sana kwa kuja
-wananchi hawajui wanachosifia
-mtangazaji naye kairusha kama habari kubwa sana
-kituo cha redio nacho bila fikra yakinifu ikawapelekea walaji si kama hojaji bali kama habari ya kuvutia
All in all tumepata cha kuandika japo kwa mtazamo tofauti
 
Ni kweli imagine sasa haya ndio maoni na mwandishi kaona aripoti...sijasema ni taarifa ya serikali tafadhali
sasa ulitaka aripoti nini???maoni ya jf ??mshana jr wewe ndo unakuza sasa mambo haikua na haja hata ya kuleta humu jf kama uliona huyo mwandishi kapuyanga...ni jinsi gani inaonyesha umekubaliana na hiko kilichofanywa na waziri mkuu pamoja na maoni ya hao wananchi..sasa hapo unataka tupinge nini,tumpinge waziri mkuu asitembee tena hizo mita 200 au tumpinge mwandishi??tupinge kipi maana hujasema chochote cha maana zaidi ya kunukuu kilichoandikwa na mwandishi tuu
 
Isichukuliwe kama dhihaka! Isichukuliwe kama maskhara na furahisha genge! Bali ikupe fikra fikirishi ya huko tunakoelekea na dhana nzima ya kubana matumizi
Akiripoti kutoka Dodoma mwandishi wa kituo cha WAPO RADIO, amesema wananchi wa Dodoma Leo wamesifu kitendo cha waziri mkuu cha kutembea kwa miguu UMBALI WA MITA 200 kutoka makazi yake-ikulu ndogo ya Dodoma hadi ofisini kwake (zingatia mita 200)akiwa na walinzi wachache
Kitendo hicho kimetajwa kama kitendo cha aina yake chenye UADILIFU kilichookoa MAMILIONI YA PESA ambayo yangetumika kwenye msafara wa magari yasiyopungua sita
Tuupinge kwa nguvu zote huu upuuzi, mwendo wa mita 200 Katika uhalisia wake mtu anaweza kupanda gari na msafara?
Je kama Leo imeonekana ni ajabu ina maana siku zote ndivyo ilivyo?
Je kutembea mita 200 ni kubana matumizi?
Ni habari za namna gani hizi jamii inapewa?
Ina maana Dodoma leo kuanzia asubuhi hakukuwa na habari nyingine zaidi ya hii?
Hii breaking news imeniacha na maswali mengi
Kawaulize haohao WAPO Radio
 
sasa ulitaka aripoti nini???maoni ya jf ??mshana jr wewe ndo unakuza sasa mambo haikua na haja hata ya kuleta humu jf kama uliona huyo mwandishi kapuyanga...ni jinsi gani inaonyesha umekubaliana na hiko kilichofanywa na waziri mkuu pamoja na maoni ya hao wananchi..sasa hapo unataka tupinge nini,tumpinge waziri mkuu asitembee tena hizo mita 200 au tumpinge mwandishi??tupinge kipi maana hujasema chochote cha maana zaidi ya kunukuu kilichoandikwa na mwandishi tuu
-mwandishi kaleta kama habari kamili! Mimi nimeleta kama hojaji
Cha kushangaza kama hujakiona ni hiki hapa kwamba waziri kutembea mita 200 ni kuokoa mamilioni! Huoni tatizo hapa?
Hakuna popote nilipopinga waziri asitembee sijui umewaza nini wallah! Au ushatoa lock?
Kubwa kuliko yote ni dhana ya kubana matumizi ilivyopokelewa na wananchi? Huoni umuhimu wa ELIMU hapo?
 
Back
Top Bottom