Waziri Mkuu anapotoa majibu mapesi kwa maswali mazito!: Ni uwezo or just saving faces?!..

Wanabodi,

Nafuatilia Bunge Live kipindi cha Maswali ya papo kwa papo kwa Waziri Mkuu.

Nimesikiliza maswali magumu mazito ya Kiongozi wa Upinzani Bungeni Mhe. Freeman Mbowe na majibu rahisi na mapesi ya Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa.

This leaves much to be desired kuhusu uwezo wa Waziri Mkuu wetu kujibu maswali magumu mazito kwa kutoa majibu rahisi na mapesi.

Maswali yamehusu
1. Sintofahamu ya hali ya usalama
2.Kupotea Kwa Ben Saanane 6 months bila taarifa, tuwaite Scotland Yard Watusaidie?.
3. The right to information ya Bunge Live.

Majibu.
1. Hali ni shwari na vyombo vya ulinzi na usalama viko makini kwenye hili, muhimu ni kwa wananchi wote kutoa ushirikiano kunapotokea Sintofahamu yoyote.

2. Uchunguzi unaendelea kuhusu kupotea kwa Ben Saanane na Uchunguzi hauna time frame. Tanzania inashirikia na vyombo vya nje ikiwemo Scotland Yard ila vyombo vya ndani vina uwezo, tuviaminie. Uchunguzi ukikamilika, taarifa itatolewa.

3. Bunge Live: Bunge liliisha amua namna ya kutoa habari zake kwa umma.

Waziri Mkuu anapotoa majibu mapesi kwa maswali magumu na majibu rahisi kwa maswali mazito kuhusu hali ya usalama wa raia: Jee ni uwezo mdogo wa kujibu maswali magumu kwa majibu rahisi au ni majibu ya makusudi tuu just for saving faces ya kuilinda serikali pale ambapo serikali haina majibu yards maswali hayo?.

Kitu kizuri kuhusu majibu ya Waziri Mkuu kilichonifurahisha ni jinsi alivyo humble, simple na down to earth kwa kujibu kwa unyenyekevu mkubwa na kuonyesha heshima kwa KUB.

My Take.

1. Kwanza Wabunge wetu wapewe semina ya jinsi ya kuuliza maswali na sio kutoa hutuba. Beating around the bush for too long kunapunguza strength ya swali.
2. Viongozi wafunze kutoe majibu sahihi ya maswali na sio nao kutoa maelezo marefu na wao pia kuhutubia bila concise answers!.
,
Pongezi pia kwa Spika Ndugai kwa uvumilivu wa kuvumilia maelezo mareefu ya wabunge, enzi za Speed and Standards (RIP), there was no room ya hii dilly darling kama hii, wengine maswali waliyaandika na kuuliza ili tuu kuonyesha uwepo wao bungeni.

Kwa mwendo huu, kiukweli kazi bado tunayo na safari bado ni ndefu. Jee tutafika? .

Wasalaam
Alhamisi Njema.
Paskali

Mi sikuona swali lolote zito pale usitake kupotosha watu .. Yote yalioulizwa yalishatolewa majibu. Naona bado mnatamani kuuza sura kwenye screen ili muonekane . Hiyo fursa imeshapotea.
 
Mi nampenda Mh.Waziri Mkuu 1.Hana maneno ya kuudhi 2.Anajiheshimu na ametulia 3.Anamheshimu kila mbunge 4.Ni mnyenyekevu sana.Anafaa kuwa kiongozi Mkuu.
 
Mawaziri wengi ndiyo hovyo sana afadhari ya PM, hata kama majibu yake hayajitoshelezi lakini anaonesha kujali napenda sana mtu akiwa humble.
Sasa wale wengine sijui mawaziri wako very rude sijui kiburi na majivuno!
Wanawajibu wabunge wanaouliza maswali muhimu na ya msingi hovyo hovyo sana ukiwaskia hadi hasira yani ndiyo maana kuna mabunge huko watu wanachapana makonde humo ndani sababu tu ya upuuzi usovumilika.
Wabunge wamewazoesha wenyewe.Wewe mbunge kinachokufanya uwe msemaji wa Wizara au Serikali kipi?
Wanasahau wajibu wao
 
Wanabodi,

Nafuatilia Bunge Live kipindi cha Maswali ya papo kwa papo kwa Waziri Mkuu.

Nimesikiliza maswali magumu mazito ya Kiongozi wa Upinzani Bungeni Mhe. Freeman Mbowe na majibu rahisi na mapesi ya Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa.

This leaves much to be desired kuhusu uwezo wa Waziri Mkuu wetu kujibu maswali magumu mazito kwa kutoa majibu rahisi na mapesi.

Maswali yamehusu
1. Sintofahamu ya hali ya usalama
2.Kupotea Kwa Ben Saanane 6 months bila taarifa, tuwaite Scotland Yard Watusaidie?.
3. The right to information ya Bunge Live.

Majibu.
1. Hali ni shwari na vyombo vya ulinzi na usalama viko makini kwenye hili, muhimu ni kwa wananchi wote kutoa ushirikiano kunapotokea Sintofahamu yoyote.

2. Kuhusu Ben Saanane amesema ametangulia mbele ya haki, kisha akasema uchunguzi unaendelea kuhusu kupotea kwa Ben Saanane na Uchunguzi hauna time frame. Tanzania inashirikia na vyombo vya nje ikiwemo Scotland Yard ila vyombo vya ndani vina uwezo, tuviaminie. Uchunguzi ukikamilika, taarifa itatolewa. Kama neno ametangulia mbele ya haki lilitangulia, kwa uchunguzi unaoendelea na Scotland Yard hawahitajiki, then isn't this a know thing?!.

3. Bunge Live: Bunge liliisha amua namna ya kutoa habari zake kwa umma.

Waziri Mkuu anapotoa majibu mapesi kwa maswali magumu na majibu rahisi kwa maswali mazito kuhusu hali ya usalama wa raia: Jee ni uwezo mdogo wa kujibu maswali magumu kwa majibu rahisi au ni majibu ya makusudi tuu just for saving faces ya kuilinda serikali pale ambapo serikali haina majibu yards maswali hayo?.

Kitu kizuri kuhusu majibu ya Waziri Mkuu kilichonifurahisha ni jinsi alivyo humble, simple na down to earth kwa kujibu kwa unyenyekevu mkubwa na kuonyesha heshima kwa KUB.

My Take.

1. Kwanza Wabunge wetu wapewe semina ya jinsi ya kuuliza maswali na sio kutoa hutuba. Beating around the bush for too long kunapunguza strength ya swali.
2. Viongozi wafunze kutoe majibu sahihi ya maswali na sio nao kutoa maelezo marefu na wao pia kuhutubia bila concise answers!.
,
Pongezi pia kwa Spika Ndugai kwa uvumilivu wa kuvumilia maelezo mareefu ya wabunge, enzi za Speed and Standards (RIP), there was no room ya hii dilly darling kama hii, wengine maswali waliyaandika na kuuliza ili tuu kuonyesha uwepo wao bungeni.

Kwa mwendo huu, kiukweli kazi bado tunayo na safari bado ni ndefu. Jee tutafika? .

Wasalaam
Alhamisi Njema.
Paskali
Mh.Paskali,
Watu wesha kata tamaa,tuliomo na tusiomo.
 
Shemeji,ukiona kitumbua chako kunamtu anataka kukidondosha kwenye mchanga lazima ukifunge vizuri.Maswali aliyoulizwa ni sawa na kupiga sahani yenye kitumbua,lazima aikamate vilivyo!

Majibu yote hamna kitu
Amjieleza kidogo lakini majibu yana maswali mengi
1. Ametangulia mbele za haki- how and why?
2. Usalama/Sintofahamu-Utekaji umehalalishwa? Vifo vya askari nani mhusika?
3. Wabunge wanalipwa na walipa kodi Bunge Live ni haki ya mlipa kodi- wasilipwe mishahara wala posho basi!
 
Kwenye suala la ben WAZIRI MKUU amenistua "aliposema ametangulia mbele za haki" mwenye video aiweke kuna kitu mta note
Nimemsikiliza vizuri amesema hivi"....aliyetangulia mbele za haki ama vinginenyo maana sina hakika..."

Sasa kwa nini wewe unataka kusema kwa kuthibitisha kuwa amesema ametangulia mbele ya haki? Acha uchochezi. Vyombo vya ulizi vinafanya kazi yake.
-----------
Msikilize mwenyewe kuanzia dakika ya 16:26 hapa chini
 
Amjieleza kidogo lakini majibu yana maswali mengi
1. Ametangulia mbele za haki- how and why?
2. Usalama/Sintofahamu-Utekaji umehalalishwa? Vifo vya askari nani mhusika?
3. Wabunge wanalipwa na walipa kodi Bunge Live ni haki ya mlipa kodi- wasilipwe mishahara wala posho basi!

Ni rahisi kuua mtoto wa mwenzako lakini kuua wa kwako sijui kama inawezekana.Hivi wanweza kwenda kumwambia Mzazi wa Ben kirahisi hivyo??
 
Kasema anaumizwa na Uwaziri mkuu wa Bashite... Wewe kwa kushindwa kuelewa statement hii ndogo umeonyesha kwa kiasi gani bashite pia. Msome vizuri OKW BOBAN SUNZU sio kukurupuka kujibu.
"Uwaziri mkuu wa Bashite" ndio kitu gani hicho, acheni kujifanya hamnazo wakati akili zipo. Hizi quotes za kijinga"ubashite, mabashite, bashite" ni ujinga ujinga tu wa watz wengi kama wewe.
 
Namna wanavyojibu yale maswali huwa natamani hayo maswali yasingekuwepo. Wanajibu tu ilimradi wamejibu
 
Yaani unamafananisha Mzee wa bandari na Mbowe, acha dharau wewe

Mbowe si mhuni tu, usijekuta anaongeea akiwa anastim tayar
 
Nimemsikiliza vizuri amesema hivi"....aliyetangulia mbele za haki ama vinginenyo maana sina hakika..."

Sasa kwa nini wewe unataka kusema kwa kuthibitisha kuwa amesema ametangulia mbele ya haki? Acha uchochezi. Vyombo vya ulizi vinafanya kazi yake.
-----------
Msikilize mwenyewe kuanzia dakika ya 16:26 hapa chini

Kwa nini amesema ametangulia mbele za haki ama sivyo?????
 
Back
Top Bottom