Quinty
JF-Expert Member
- Mar 25, 2010
- 462
- 74
..hivi hamkumuona Kikwete na Salma wamepanda bembea walipokwenda Jamaica?
Hiyo ilikuwa aibu ya taifa maana angetakiwa hata kuwaza kidogo Je lingedondoka kwa uzito mkubwa ingekuwaje nani angegharamia matibabu