britanicca
JF-Expert Member
- May 20, 2015
- 15,636
- 30,004
Tokea Uhuru wa Tanganyika mpaka baadae ikawa Tanzania, tumepata mawaziri wakuu mbalimbali, lakini kwanza sifa ziwaendee hawa, Julius Kambarage Nyerere, Edward Sokoine, Salimu Ahmed Salim, Mizengo Pinda, Warioba. Na Kawawa Rashid,
Hawa wamekuwa mawaziri wakuu wa kuigwa ,kwa busara, ubunifu wa kutatua matatizo na uwezo wa kutenda kazi.
Ni mawaziri wakuu ambao walikuwa wakiweka misingi mbali mbali kwa taifa changa sana, na kwa kiasi kikubwa wamefanikiwa
Wengine waliofanya kazi kiwango cha Kati ni, Cleopa Msuya, John malecela, na Kassimu Majaliwa mwaka mmoja akiendelea na kasi hii naye atafika mbali. Pia Fredrik Sumaye naye yupo kati.
WAZIRI MKUU ALIYEAIBISHA TASNIA ILE NI EDWARD NGOYAI LOWASSA.
1. Kusimamishwa uwaziri mkuu ni suala la aibu sana.
2. Waziri mkuu aliyekaa muda wa mwaka mmoja na miez 6 lakin bila kuonesha kazi aliyofanya.
3. Waziri mkuu aliyelazimisha baadhi ya taasisi kuidhinisha mambo mbali mbali kwa maslai yake. Kusema kweli alituangusha sana, he underperformed.
Hawa wamekuwa mawaziri wakuu wa kuigwa ,kwa busara, ubunifu wa kutatua matatizo na uwezo wa kutenda kazi.
Ni mawaziri wakuu ambao walikuwa wakiweka misingi mbali mbali kwa taifa changa sana, na kwa kiasi kikubwa wamefanikiwa
Wengine waliofanya kazi kiwango cha Kati ni, Cleopa Msuya, John malecela, na Kassimu Majaliwa mwaka mmoja akiendelea na kasi hii naye atafika mbali. Pia Fredrik Sumaye naye yupo kati.
WAZIRI MKUU ALIYEAIBISHA TASNIA ILE NI EDWARD NGOYAI LOWASSA.
1. Kusimamishwa uwaziri mkuu ni suala la aibu sana.
2. Waziri mkuu aliyekaa muda wa mwaka mmoja na miez 6 lakin bila kuonesha kazi aliyofanya.
3. Waziri mkuu aliyelazimisha baadhi ya taasisi kuidhinisha mambo mbali mbali kwa maslai yake. Kusema kweli alituangusha sana, he underperformed.