Job Richard
JF-Expert Member
- Feb 8, 2013
- 3,865
- 2,176
shule za kata alileta nani? huijui siasa mkuuu
Yes, waziri Mkuu wa KwanzaHuyu nae alikuwa waziri mkuu??
Lowassa alikuwa mwizi wa kisayansi, jeuri ya kutaka mwenye ushahidi ampeleke mahakamani inatokana na ujuzi wa kuiba kisayansi alijua hakuna wa kujua. Hana la kujitetea adhabu ya kumnyima urais inamtosha.Yeye mwenyewe alikwishasema kuwa tatizo la yeye kuondolewa ilikuwa ni uwaziri mkuu uliokuwa unatakiwa na sitta(mchafuzi wa katiba), na akasema suala la Richmond alikuwa anafuata maagizo kutoka juu, na akaongezea mwenye ushahidi aupeleke mahakamani ili ashitakiwe, hakuna aliyempeleka mahakamani mpaka leo
Waambie John Mnyika na Kubenea walisema wanao ushahidi.Yeye mwenyewe alikwishasema kuwa tatizo la yeye kuondolewa ilikuwa ni uwaziri mkuu uliokuwa unatakiwa na sitta(mchafuzi wa katiba), na akasema suala la Richmond alikuwa anafuata maagizo kutoka juu, na akaongezea mwenye ushahidi aupeleke mahakamani ili ashitakiwe, hakuna aliyempeleka mahakamani mpaka leo
Watoto wa .com hata historia ya nchi yao hawajui. Ni shida kweli kweli. sijui huko shuleni siku hizi wanafundisha nini? Kama historia ya nchi vijana hawajui kabisa. Anavyouliza utadhani si MtanzaniaAlikuwa chini ya Gavana mwakilishi wa malkia, hujui Ilo?
Kama alikuwa chini ya Malkia ilikuwa uhuru gani huo?Alipokuwa waziri mkuu nani alikuwa Rais?? Au chini ya Queen Elizabeth
Nilidhani ulikuwa unawachambua mmoja baada ya mwngne kwa kaxi zao, kumbe nia yako ilikuwa ni kumtafta tu Lowassa umuongelee.hongera.Tokea Uhuru wa Tanganyika mpaka baadae ikawa Tanzania , tunepata mawaziri wakuu mbali mbali, lakin kwanza sifa ziwaendee hawa , Julius kambarage Nyerere, Edward Sokoine, Salimu Ahmed Salim, Mizengo Pinda, Warioba.
Hawa wamekuwa mawaziri wakuu wa kuigwa ,kwa busara, ubunifu wa kutatua matatizo na uwezo wa kutenda kazi,
Wengine waliofanya kazi kiwango cha Kati ni, Cleopa Msuya, John malecela, na Kassimu Majariwa mwaka mmoja akiendelea na kasi hii naye atafika mbali, Pia Fredrik Sumaye naye yupo kati.
WAZIRI MKUU ALIYE AIBISHA TASNIA ILE NI EDWARD NGOYAI LOWASSA,
1. Kusimamishwa uwaziri mkuu ni suala la Aibu sana.
2. Waziri mkuu aliyekaa muda wa mwaka mmoja na miez 6 lakin bila kuonesha kazi aliyofanya.
3. Waziri mkuu aliyelazimisha baadhi ya taasisi kuidhinisha mambo mbali mbali kwa maslai yake, kusema kweli alitunangusha sana, he underperformed ,
Mchango wa miaka 2 tu. Programu ya MES ilikuwepo miaka minne ya mwisho ya Utawala wa Mkapa. Usimpe ujiko kwa mambo asiyostahili. Aliwaonea watumishi kwa kuwasimamisha bila kuwasikiliza mfano Chang'ombe Village ilipoporomoka, lakini akawalaani kina Mwakyembe kwamba hawakumsikiliza (natural justice). Wakurugenzi hawakumgwaya kwa sababu ya utendaji mzuri bali uonevu wa kutowasikiliza!Usipende kuzungusha mambo-swali lilikuwa nani alisimamia shule za kata? Hata kama humpendi mtu usipindishe ukweli. Mimi si mpenzi wa EL na shule za kata lakini watu hawawezi kujisifia shule za kata na hapo hapo wsione mchango mkubwa wa EL kwenye hiyo kitu.
Kwa sisi tunayemfahamu kikazi Mh Lowasaa huyu jamaa anachapa kazi bwana Tamisemi wanajua na ndiyo maana alipojiuzuru kuna baadhi ya halmashauri walifanya sherehe jamaa aliwabana kisawasawa ana silika kama za Marehemu Edward Moringe Sokoine.
bora umewahi kuuliza maana bila hizo wanangu wasingemaliza chuo kikuuHivi shule za kata nani alisimamia?
Kawawa anajulikana SanaMtoa mada humjui Mzee Rashid Mfaume Kawawa?
Aliachishwa kazi kama hujui Ilo, aliwekwa mtu kati akapewa ushauri akae pembeni, tatizo hamjui propaganda za CCM ndo maana itaendelea kutawala milele wanawachezea wanavyoweza kwa sababu hamna uwezo wa Ku question, na kufikiri kwa kina, miundo inakuwa mbinu kwa kupangwa huelewi hiiwee mtoa mada ni kwamba bado hujawa great thinker, el hakuachishwa, alijiuzulu tu mwenyewe, kwa kuwa aliona kuna maneno mengi yanasemwa juu yake, hata mchunguzi wa richmond, alimwambia ajipimie kwanza uwepo wake hapo, akaona huu ni mchongo, akatangaza kujiuzuli na sio kuachishwa kama unavyopotosha
Hivi ulizaliwa lini? Unajua shule za kata zilianza miaka gani??Usipende kuzungusha mambo-swali lilikuwa nani alisimamia shule za kata? Hata kama humpendi mtu usipindishe ukweli. Mimi si mpenzi wa EL na shule za kata lakini watu hawawezi kujisifia shule za kata na hapo hapo wsione mchango mkubwa wa EL kwenye hiyo kitu.