Sioni shida kwa wao kupack na kutumia mifuko ya Kenya kuhudumia soko la Kenya.
Kiwanda kinafanya biashara hakipo kutangaza nchi.
Kabla ya kufikia uamuzi huo kuna mambo mengi walizingatia.Issue kubwa hapo ni cross border trade.Yawezekana hiyo ni tax avoidance strategy.
PM atakuwa kalishwa maneno kama habari za Faru John.
Kiwanda kinafanya biashara hakipo kutangaza nchi.
Kabla ya kufikia uamuzi huo kuna mambo mengi walizingatia.Issue kubwa hapo ni cross border trade.Yawezekana hiyo ni tax avoidance strategy.
PM atakuwa kalishwa maneno kama habari za Faru John.