Huu ni mgodi wa dhahabu kwa jina la Taurtz medium scale cyanide leaching gold processing plant ulioko eneo la Nanga maeneo ya Igunga. Ni mradi ambao umekuwepo kwa zaidi ya miaka 5. Kuna raia toka Uganda, Kenya, India, Zimbabwe walioingia Tanzania kama washauri (consultants), lakini wakiwa nchini wanwekwa kwenye payroll kwa kazi zingine ndani ya mgodi na kuishi kwa miaka mingi.
Ili kuhalalisha kuwepo kwao kwa muda mrefu, wafanyakazi hawa kila wakati huondoka ili wapate border exit stamp kwa siku chache na baadaye hurudi na kuendelea na kazi. Kuna hisia ya mazingira ya rushwa kutumika hadi maafisa wahusika kutolifuatilia. Hisia yetu ni kwamba linafahamika kwa mbunge wa Igunga, Uhamiaji Tabora na hata Mkuu wa Wilaya.
Angalia ushahidi huu:
Sree Rama Murthy #2 kwenye payroll anatambulika kama Project Manager lakini mktaba wake unaonesha aliingia kama consultant mwezi January 2016 na alitakiwa kuondoka 30 April.
Tendai Mabwinye #3 kwenye payrol aliingia kama consultant February 2016 angeondoka by May 2016. Lakini payroll inaonyesha ni labour Manager.
Wote wenye tick kwenye Payroll wana mikataba ya aina hiyo, kazi ambazo wa-TZ wanazimudu kabisa! Hata security Manager anatoka Kenya. Angalia payroll #11
Ili kuhalalisha kuwepo kwao kwa muda mrefu, wafanyakazi hawa kila wakati huondoka ili wapate border exit stamp kwa siku chache na baadaye hurudi na kuendelea na kazi. Kuna hisia ya mazingira ya rushwa kutumika hadi maafisa wahusika kutolifuatilia. Hisia yetu ni kwamba linafahamika kwa mbunge wa Igunga, Uhamiaji Tabora na hata Mkuu wa Wilaya.
Angalia ushahidi huu:
Sree Rama Murthy #2 kwenye payroll anatambulika kama Project Manager lakini mktaba wake unaonesha aliingia kama consultant mwezi January 2016 na alitakiwa kuondoka 30 April.
Tendai Mabwinye #3 kwenye payrol aliingia kama consultant February 2016 angeondoka by May 2016. Lakini payroll inaonyesha ni labour Manager.
Wote wenye tick kwenye Payroll wana mikataba ya aina hiyo, kazi ambazo wa-TZ wanazimudu kabisa! Hata security Manager anatoka Kenya. Angalia payroll #11