nngu007
JF-Expert Member
- Aug 2, 2010
- 15,862
- 5,797
Waziri Mkuu Mh. Mizingo Pinda akihudhuria kongamano la Ufunguzi wa World Food International kwenye Hoteli ya Mariott De Moies, Ohio
October 12th and Oct 14th 2011; Wengine katika picha kushoto Rais wa Zamani wa Nigeria Olusegun Obasanjo, akifuatiwa na Rais wa Zamani wa Ghana John Kufour na Rais wa Zamani wa Msumbiji Joackim Chissano.
Waziri Mkuu akiwa pamoja na Rais wa zamani wa Brazil Louis Lula.
** SWALI LANGU NI KWA NINI TUMTUME WAZIRI WETU ALIYE MADARAKANI? KWANINI TUSITUME EITHER MARAIS WASTAAFU AU MAWAZIRI WAKUU WASTAAFU WA SERIKALI YETU? INGEPUNGUZA ULINZI, NA MAANDAMANO YA WATU WA UJUMBE WA WAZIRI MKUU SABABU AMETOKEA BRAZIL INA MAANA WAJUMBE WENGI BADO YUKO NAO SAFAFINI USA.