Waziri Mkuu afuta posho kwa watumishi wa umma nchini

Mdau Posho as Posho hazina tija,kuna kada hapa hata utoke nje ya kituo kisheria bado posho hupewi,na ingawa zipo kisheria.
Nchi moja,mkoa mmoja,kazi moja,halmashaur moja na posho hampewi
Hata mm sielewi,kama hazitambuliki kisheria kwann zinalipwa? Kumbe inaruhusiwa kufanya jambo lisilotambulika kisheria?
 
Na hapo bado namba haijasomeka sawasawa. Mwaka huu lazima ujinga ututoke tu, fursa ijayo tutakuwa na akili timamu za kufanya maamuzi. Safi sana Serikali yetu sikivu, zidini kukaza uzi mpaka kieleweke.
 
Haki ya Mungu ndo ile kauli ya Rais kua tutegemee mpaka kanisani ela kukauka...uwiiii
Lakini hata hivyo makasisi, wazee wa kanisa, manabii, maaskofu n.k. hawatakiwi kupokea mishahara, kama wanapokea ni kimakosa, kwa hiyo makanisa yataenda tu, na injili itasonga mbele hata bila fedha.
 
Mkuu Kassim Majaliwa amefuta rasmi posho zote za watumishi wa Umma na kuelekeza posho hizo kufanyiwa miradi mbalimbali ya Maendeleo katika Halmashauri husika nchini.
Waziri Majaliwa ametoa agizo hilo leo 3 Januari 2017, katika ziara yake iliyofanyika Wilaya ya Kigamboni jijini Dar es Salaam.
HIVI WANYONGE HAPA TANZANIA NI WATU WA AINA GANI,JE NI WALE MAMA NTILIE,WASIOAJIRIWA NA SERIKALI, AU WALE WALIOKO MASHAMBANI HAPO SIJUI MSAADA
 
Back
Top Bottom