Waziri Mkuu aahirisha kuapa na Uchaguzi wa Mameya nchi nzima

Katiba ya sasa ilitungwa kulenga ukuu wa chama, lakini ndani mwake inazitambua Serikali za mitaa kama mamlaka kamili na wala haziko chini ya mamlaka ya Serikali ya Jamhuri wa Muungano wa Tanzania. Lakini bunge letu limetunga sheria nyingi sana kwa lengo la kuingilia uhuru wa Serikali za mitaa, sheria mojawapo ni ile inayosema Waziri mwenye dhamana anayo mamlaka ya kuteua Madiwani wawili kuingia kwenye Halmashauri yoyote hapa Tanganyika (Sheria hii haiihusu Zanzibar).

Sijui kitatokea nini Kama Waziri mwenye dhamana amefuta chaguzi hizo kwa lengo la kuwateua hao madiwani ili kupunguza pengo liliopo la madiwani wa UKAWA na chama chake.
 
Nenda syria hakuna vurururu unazosema,hapa kazi tu
Teh teh teh1kuhairisha uchaguzi ndiyo hapa ni kazi tu?Zanzibar mmehairisha na huku mmeanza mizengwe yenu kwa kisingizio cha hapa ni kazi tu,acheni kuivuruga nchi!
 
Sasa wewe nini mbona unatokwa na povu jeupe midononi? Kwani mleta uzi kakosea kitu gani?

....yawezekana upeo wako na wake vimeendana, ukisoma within the lines utaona sawa, lakini btn the lines haungi mkono itendaji huu!!
 
Teh teh teh1kuhairisha uchaguzi ndiyo hapa ni kazi tu?Zanzibar mmehairisha na huku mmeanza mizengwe yenu kwa kisingizio cha hapa ni kazi tu,acheni kuivuruga nchi!

Mkuu wamechanganyikiwa hao
 
Jifunze kuandika kwa utaratibu hivyo kuepuka kukosea kosea

Pia jifunze kujibu hoja kwa hoja zenye mantiki.....

Teeeeeeh teeeeeeh 😆😆 eti nawe unakosoa mambo ya lugha?😅😅
 
I
Sasa wewe nini mbona unatokwa na povu jeupe midononi? Kwani mleta uzi kakosea kitu gani?

Mtu anaposema nchi hii ni vururuvururu, kwa ku-refer agizo la waziri mkuu wewe unaona sawa? pengine upo myopia na neno hilo!! Kwa faida ya wengine (sio wewe), uchanguzi wenyewe ndio ulikuwa vururuvururu na sio nchi na ama maagizo ya PM
 
Mtu anaposema nchi hii ni vururuvururu, kwa ku-refer agizo la waziri mkuu wewe unaona sawa? pengine upo myopia na neno hilo!!

Mkuu huyu Mmawia atakusumbua.....yy huwa hafikirii jibu linalomjia kichwani ndilo atakaloliandika......usishangae kwenye uzi mmoja akawa na post zaidi ya kumi halafu zote ni pumba tu.
 
Last edited by a moderator:
Mkuu huyu Mmawia atakusumbua.....yy huwa hafikirii jibu linalomjia kichwani ndilo atakaloliandika......usishangae kwenye uzi mmoja akawa na post zaidi ya kumi halafu zote ni pumba tu.

Mubembe akiwa kazini kwenye ubora wake
 
Last edited by a moderator:
Mkuu huyu Mmawia atakusumbua.....yy huwa hafikirii jibu linalomjia kichwani ndilo atakaloliandika......usishangae kwenye uzi mmoja akawa na post zaidi ya kumi halafu zote ni pumba tu.

Mara nyingi huwa napitia majibu yako. Ila najiuliza ni U-CCM umekugeuza mpaka hujui unacho-post maana ni pumba tupu.
 
Last edited by a moderator:
Katiba ya sasa ilitungwa kulenga ukuu wa chama, lakini ndani mwake inazitambua Serikali za mitaa kama mamlaka kamili na wala haziko chini ya mamlaka ya Serikali ya Jamhuri wa Muungano wa Tanzania. Lakini bunge letu limetunga sheria nyingi sana kwa lengo la kuingilia uhuru wa Serikali za mitaa, sheria mojawapo ni ile inayosema Waziri mwenye dhamana anayo mamlaka ya kuteua Madiwani wawili kuingia kwenye Halmashauri yoyote hapa Tanganyika (Sheria hii haiihusu Zanzibar).

Sijui kitatokea nini Kama Waziri mwenye dhamana amefuta chaguzi hizo kwa lengo la kuwateua hao madiwani ili kupunguza pengo liliopo la madiwani wa UKAWA na chama chake.

Sasa mfano kama Kaskazini ambako unakuta jimbo zima katika kata 26 au kata 25 CCM ina kata moja moja tu hata Waziri mkuu akiwateua hao wawili binafsi naona hakuna shida.
 
Sasa mfano kama Kaskazini ambako unakuta jimbo zima katika kata 26 au kata 25 CCM ina kata moja moja tu hata Waziri mkuu akiwateua hao wawili binafsi naona hakuna shida.
Mkuu, unaongelea uchagani?
 
Back
Top Bottom