Joto Balaa
JF-Expert Member
- Sep 14, 2016
- 1,141
- 770
Nilishangaa kuona wale jamaa wakipeleka zile pembe. Hata nilijiuliza hivi wanadhani kelele zingeishia kwenye pembe? Na kama walijua kuna hatua baada ya hapo walijipanga namna gani. Hapo nikajiuliza tena na nikajiaminisha faru john amekufa na kuzikwa ila nikajiuliza tena kama walipiga "dili" huyo waliemzika hapo walimtoa wapi? na ndo mwenye hizo pembe zilizopelekwa. Acha tusubiri