Amavubi
JF-Expert Member
- Dec 9, 2010
- 30,140
- 13,215
Waziri mkuu wa New Zealand Jacinda Ardern amefichua kwamba yeye ni mjamzito.
Bi Ardern alisema kwamba yeye na mpenzi wake Clarker Gayford walikuwa wakitarajia mwana wao mwezi Juni ambapo baadaye atachukua likizo ya wiki sita.
''Na tulidhani kwamba mwaka 2017 ni mwaka mkuu'', aliandika katika mtandao wake wa Instagram.
Bi Ardern mwenye umri wa miaka 37 alikuwa waziri mkuu mwenye umri mdogo nchini New Zealand tangu 1856 akiungwa mkono wakati alipotangaza kuhusu hali yake mpya siku ya Ijumaa.
Waziri mkuu wa New Zealand asema ni mjamzito