Waziri Mkuchika: Hatutapandisha mishahara (ya watumishi wa umma), tunafanya uhakiki wa umri

Watatumia carbon 14 kuwapima umri, je muhusika akiapa mahakamani kuthibitisha itakuwaje!
 
Nilidhani hatupandishi mishahara kwa sababu tunawatumikia waTanzania kumbe ni kwa sababu ya hao wafoji umri 40K.
Who should i trust,Yohana na Mkuchi?
 
Mbwembwe za serikali iliyoshindwa, wacha waendelee kunyewa na albadri!!!
Wamefoji umri? Huko tunakoenda watahakiki na waliofoji barua za kazi
Tukubali kwamba kuna vituko. Kuna mtu tuko naye ofisini, ukiangalia mwaka aliomaliza kidato cha 4 ukilinganisha na umri wake wa sasa, inaonyesha alianza darasa la kwanza akiwa na mwaka 1. akamaliza darasa la saba akiwa na umri wa miaka 7. Form 4 akiwa na miaka 14, nk. haya hayawezekani kabisa!!

Huyu amenyofoa miaka 7 toka kwenye umri wake.
 
_20171012_204808.JPG

Watumish chai jamani,chaiiii
 


Waziri mpya Wizara ya Utumishi Mh.Huruma Mkuchika amenena kuwa kwa sasa hawatapandisha mishahara ya watumishi wa umma mpaka uhakiki ukamilike.

Mkuchika amedai kwamba kuna watumishi 40, 000 wamefoji umri kwa hiyo watafanya uhakiki kwanza na kuchukua hatua kabla ya kupandisha mishahara

Kama aliyempa ugali kasema hapandishi,yeye huyu ataanzia wapi kupandisha?asubutu aone kama hajachekesha.!!?
 


Waziri mpya Wizara ya Utumishi Mh.Huruma Mkuchika amenena kuwa kwa sasa hawatapandisha mishahara ya watumishi wa umma mpaka uhakiki ukamilike.

Mkuchika amedai kwamba kuna watumishi 40, 000 wamefoji umri kwa hiyo watafanya uhakiki kwanza na kuchukua hatua kabla ya kupandisha mishahara

aliyemteua amedai, hakuchaguliwa ili kupandisha watu madaraja wala kuongeza nyongeza ya mishahara.
kumbe kinachofanyika ni kwamba kiongoz akiskia maneno ya mkewe au ushilawadu anaibuka media kuongea. Hacheni hizo. Cc c ntoto ndogo.
 


Waziri mpya Wizara ya Utumishi Mh.Huruma Mkuchika amenena kuwa kwa sasa hawatapandisha mishahara ya watumishi wa umma mpaka uhakiki ukamilike.

Mkuchika amedai kwamba kuna watumishi 40, 000 wamefoji umri kwa hiyo watafanya uhakiki kwanza na kuchukua hatua kabla ya kupandisha mishahara

Hivi yeye ana miaka mingapi? Huyu jamaa si yuko serikalini kitaambo au ni mwanae????!!!!
 
Suala la kufoji umri lazima litazamwe kwa umakini zaidi sio tu kulinganisha taarifa za nida na za mwajiri bali pia uchunguzi wa kidaktari wa kuwapima wale wote wanao tiliwa mashaka kuwa umri wao umevuka wapimwe ili kubaini umri wao halisi. Hivyo uchunguzi wa kidaktari pia utumike kubaini jambo hili la umri.

Pia kuna haja ya wizara kuangalia upya umri wa kustaafu Utumishi, unapaswa upunguzwe; miaka 45/50.
Vijana wengi wasomi wapo mitaani wanasubiri kuajiriwa lkn kuna wazee hawataki kustaafu wamengangania ofisini.
Kwani hawawezi kustaafu kwa hiari?!
 
Serikali imepata kichaka cha kujifichia kuepukana na kelele za kupandishwa kwa mishahara ya watumishi wa Umma.
 
Back
Top Bottom