johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,830
- 141,748
Waziri wa Kilimo Prof Mkenda amesema kesho zoezi la kumwaga sumu ya kuua nzige litaendelea baada ya rubani aliyetelekeza ndege pale Kilimanjaro kurejea.
Mkenda amesema kuna kundi la nzige wadogo wameelekea Monduli hivyo wanawafuatilia ili wawatekeze.
Pia Simanjiro zoezi halikukamilika kutokana na mazingira ya huko ambayo yana vichaka na miiba hivyo kuna nzige ambao hawakufikiwa na timu ya wataalamu imetumwa kuwateketeza kwa kutumia ndege ya fao.
Katika hatua nyingine waziri Mkenda amemlaumu CEO wa oganaizesheni ya kupambana na nzige Afrika mashariki kwa kutotoa ushirikiano na hata kutopokea simu zake huku akijua wazi sehemu ya mshahara wake inatokana na kodi za watanzania.
Chanzo: ITV habari
Maendeleo hayana vyama!
Mkenda amesema kuna kundi la nzige wadogo wameelekea Monduli hivyo wanawafuatilia ili wawatekeze.
Pia Simanjiro zoezi halikukamilika kutokana na mazingira ya huko ambayo yana vichaka na miiba hivyo kuna nzige ambao hawakufikiwa na timu ya wataalamu imetumwa kuwateketeza kwa kutumia ndege ya fao.
Katika hatua nyingine waziri Mkenda amemlaumu CEO wa oganaizesheni ya kupambana na nzige Afrika mashariki kwa kutotoa ushirikiano na hata kutopokea simu zake huku akijua wazi sehemu ya mshahara wake inatokana na kodi za watanzania.
Chanzo: ITV habari
Maendeleo hayana vyama!