Waziri Mkenda awataka DIT waanze kutengeneza vipuri vya vyombo vya moto ikiwemo vya bajaji na pikipiki

Mkuu inatakiwa kwanza utashi,kuna chuo kimmoja cha umma nchini kilinunua CNC machine yaani Computer Numerical Controlled machine ambabo lathe au milling machines zaweza kuchonga vipuri kutumia program za computer .
Lakini cha ajabu wameifunika isipate vumbi tu kwa zaidi ya miaka 6 hawaitumii kabisa.Ila kwenye ukaguzi wa vifaa vya kufundishia inakaguliwa tu.
Toka aondoke Mwalimu Julius K.Nyerere vyuo na taasisi za umma zitoazo elimu ya kiufundi zipo ICU.
Hivi unajifunza welding skills kwa week mmoja eti kubana matumizi, ukimaliza chuo uwasimamie G6 First Class Welders ?
Na wanafunzi wanakatazwa kuitumia kwa sababu wataiharibu!

Amandla...
 
Vyuo kazi yake ni ubunifu na kutoa blueprints na prototypes halafu karakana ndizo zinafanya production zikitazama uzalishaji wenye faida na kuangalia gharama na umadhubuti. Huwezi kuwaambia DIT wafanye production hayo ni matamko ya kisisasa tu! Karakana kama Moshi Machine Tools iliyotekelekezwa na semrikali ndio ingepewa huo ubunifu kama blueprints na prototypes ili kutengeneza hivyo vipuri! Ndivyo nchi zilizoendelea zinafanya huo ubuni kuwa zao au product inayoweza kushindana sokoni! Waziri msomi Mkenda anaanza kunitia mashaka!
 
Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia Profesa Adolf Mkenda ameitaka Taasisi ya Teknolojia Dar es Salaam (DIT) kujitanua zaidi kwa kutengeneza vipuri vya vyombo vya moto ikiwemo vya bajaji na pikipiki.

Ameyasema hayo Januari 28, 2022 Jijini Dar es Salaam wakati alipotembelea Taasisi hiyo ili kujionea shughuli mbalimbali zinazofanywa hapo ambapo amesema tunaweza kukua kiteknolojia kwa kuboresha vitu ambavyo tayari vimeshatengenezwa na nchi nyingine.

"Nimefurahi sana kuona mna kampuni inayosaidia kubiasharisha bidhaa za ubunifu ila niwatake mboreshe kwa kutengeneza vipuri ambavyo vinahitajika sana kama vya bajaji na pikipiki," amesema Prof. Mkenda.

Aidha Waziri Mkenda ameipongeza taasisi hiyo kwa kuwa na kampuni inayosaidia kubiasharisha bunifu mbalimbali na kuwataka DIT kuhamisha ujuzi wa kiteknolojia kutoka nchi nyingine na kuja kuutumia hapa nchini katika uzalishaji wa bidhaa zitakazokidhi mahitaji ya jamii.

"Tunaweza tukaleta nchini kitu ambacho kimezalishwa mfano nchi ya Uturuki kisha tukaangalia uwezekano wa kukitengeneza na kukiuza ndani na nje ya nchi ili kukuza uchumi wetu," amesema Prof. Mkenda.

Katika hatua nyingine Waziri Mkenda ameusisitiza uongozi wa DIT kuendelea kujenga na kukuza ushirikiano na taasisi nyingine hasa za nje ya nchi ili kubadilishana wataalamu watakaosaidia kuendelea kukuza teknolojia nchini.

Kwa upande wake Mkuu wa Taasisi hiyo, Prof. Preksedis Ndomba amesema wamepokea maelekezo hayo na kuahidi kuyafanyia kazi ili kuboresha utendaji wa taasisi hiyo.

View attachment 2099078View attachment 2099079
hiyo.

View attachment 2099078View attachment 2099079
Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia Profesa Adolf Mkenda ameitaka Taasisi ya Teknolojia Dar es Salaam (DIT) kujitanua zaidi kwa kutengeneza vipuri vya vyombo vya moto ikiwemo vya bajaji na pikipiki.

Ameyasema hayo Januari 28, 2022 Jijini Dar es Salaam wakati alipotembelea Taasisi hiyo ili kujionea shughuli mbalimbali zinazofanywa hapo ambapo amesema tunaweza kukua kiteknolojia kwa kuboresha vitu ambavyo tayari vimeshatengenezwa na nchi nyingine.

"Nimefurahi sana kuona mna kampuni inayosaidia kubiasharisha bidhaa za ubunifu ila niwatake mboreshe kwa kutengeneza vipuri ambavyo vinahitajika sana kama vya bajaji na pikipiki," amesema Prof. Mkenda.

Aidha Waziri Mkenda ameipongeza taasisi hiyo kwa kuwa na kampuni inayosaidia kubiasharisha bunifu mbalimbali na kuwataka DIT kuhamisha ujuzi wa kiteknolojia kutoka nchi nyingine na kuja kuutumia hapa nchini katika uzalishaji wa bidhaa zitakazokidhi mahitaji ya jamii.

"Tunaweza tukaleta nchini kitu ambacho kimezalishwa mfano nchi ya Uturuki kisha tukaangalia uwezekano wa kukitengeneza na kukiuza ndani na nje ya nchi ili kukuza uchumi wetu," amesema Prof. Mkenda.

Katika hatua nyingine Waziri Mkenda ameusisitiza uongozi wa DIT kuendelea kujenga na kukuza ushirikiano na taasisi nyingine hasa za nje ya nchi ili kubadilishana wataalamu watakaosaidia kuendelea kukuza teknolojia nchini.

Kwa upande wake Mkuu wa Taasisi hiyo, Prof. Preksedis Ndomba amesema wamepokea maelekezo hayo na kuahidi kuyafanyia kazi ili kuboresha utendaji wa taasisi hiyo.

View attachment 2099078View attachment 2099079



Wazir​


Waziri wa elimu solomon,elinawinga na Prof mkenda wote walitokea kilimanjaro,​

Waziri wa fedha msuya, yona, mramba na mtei walitokea kilimanjaro.​

Waziri wa fedha mwigulu ana historia ipi?​

 
Kuna mwanafunzi wa hiki chuo aliwahi kulalamika kuwa wana shida ya muda mrefu ya vyoo madarasani na mengine yanavuja lakini Chuo kimepeleka "dividend " ya mamilioni serikalini! Ovyo kabisa hawa maprofesa wetu. Badala ya kuangalia mazingira ya wanafunzi na walimu wao wanawekeza katika kujikomba kwa wanasiasa. Na wakiwa wanasiasa ndio kabisa. Ndio maana wakina Musukuma wanawadharau.

Amandla...
 
Ushauri huo angeupeleka VETA lakini kwa DIT hawataweza ni full kumeza mavitini bablai
 
Kutengeneza vipuri engineering yake na vifaa vyake siyo mchezo...

Keko Kuna kampuni ya kurepair vipuli vya magari sii Mchezo...
 
Wape bajeti sio uonongea tuu unajua pesa nyingi kiasi gani kinaitajika ku fund izo project za vipuri...
tatizo sijui ni kuwa na uelewa mdogo, kukurupuka au ujinga kuongea hivi. Kwani hayo wanayoyafanya kwa Sasa bajeti wanatoa wapi km siyo ruzuku ya serikali.

Sijaelewa kosa la waziri ni nini hadi unamfokea.
 
Huwezi kutengeneza vipuri vya brand fulani bila ya kuwa na leseni ya mhusika wa hiyo brand.

Mathalani, watengenezaji wa pikipiki wote wapo protected na Patent rights ambayo huwezi kuitumia bila wao kukuruhusu kimkataba .

Ni ngumu sana kupewa patent right za mchina maana wao wenyewe wanategemea kuuza spea tupu.
unafikiri haya hawayajui
 
Huyu sio Ndalichako Mkuu. Ni mchaga na ni mbunifu. PhD yake imesimama sio Phd ya akina Doto Biteko
Kwani yeye ndo mchaga wa kwanza kuwa na hiyo PhD? Mbona huo ubunifu kwa sababu ya kuwa mchaga hatujauona happy DIT kwa wachaga wengine Hadi udharau makabila mengine wenye PhD? Eti siyo Ndalichako na Biteko.
#Mbowe ni gaidi.
 
Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia Profesa Adolf Mkenda ameitaka Taasisi ya Teknolojia Dar es Salaam (DIT) kujitanua zaidi kwa kutengeneza vipuri vya vyombo vya moto ikiwemo vya bajaji na pikipiki.

Ameyasema hayo Januari 28, 2022 Jijini Dar es Salaam wakati alipotembelea Taasisi hiyo ili kujionea shughuli mbalimbali zinazofanywa hapo ambapo amesema tunaweza kukua kiteknolojia kwa kuboresha vitu ambavyo tayari vimeshatengenezwa na nchi nyingine.

"Nimefurahi sana kuona mna kampuni inayosaidia kubiasharisha bidhaa za ubunifu ila niwatake mboreshe kwa kutengeneza vipuri ambavyo vinahitajika sana kama vya bajaji na pikipiki," amesema Prof. Mkenda.

Aidha Waziri Mkenda ameipongeza taasisi hiyo kwa kuwa na kampuni inayosaidia kubiasharisha bunifu mbalimbali na kuwataka DIT kuhamisha ujuzi wa kiteknolojia kutoka nchi nyingine na kuja kuutumia hapa nchini katika uzalishaji wa bidhaa zitakazokidhi mahitaji ya jamii.

"Tunaweza tukaleta nchini kitu ambacho kimezalishwa mfano nchi ya Uturuki kisha tukaangalia uwezekano wa kukitengeneza na kukiuza ndani na nje ya nchi ili kukuza uchumi wetu," amesema Prof. Mkenda.

Katika hatua nyingine Waziri Mkenda ameusisitiza uongozi wa DIT kuendelea kujenga na kukuza ushirikiano na taasisi nyingine hasa za nje ya nchi ili kubadilishana wataalamu watakaosaidia kuendelea kukuza teknolojia nchini.

Kwa upande wake Mkuu wa Taasisi hiyo, Prof. Preksedis Ndomba amesema wamepokea maelekezo hayo na kuahidi kuyafanyia kazi ili kuboresha utendaji wa taasisi hiyo.

View attachment 2099078View attachment 2099079
Viongozi wetu wana kipaji sana cha kutumia midomo yao kusema lolote. Yaani DIT igeuke kuwa kiwanda japo cha SIDO badala ya kuwa taasisi ya elimu? Ni chuo gani duniani kinachoweza kutekeleza maagizo kama haya? Inawezekana alipoona machine za kufundishia yeye akaona kuwa hicho ni kiwanda.
 
Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia Profesa Adolf Mkenda ameitaka Taasisi ya Teknolojia Dar es Salaam (DIT) kujitanua zaidi kwa kutengeneza vipuri vya vyombo vya moto ikiwemo vya bajaji na pikipiki.

Ameyasema hayo Januari 28, 2022 Jijini Dar es Salaam wakati alipotembelea Taasisi hiyo ili kujionea shughuli mbalimbali zinazofanywa hapo ambapo amesema tunaweza kukua kiteknolojia kwa kuboresha vitu ambavyo tayari vimeshatengenezwa na nchi nyingine.

"Nimefurahi sana kuona mna kampuni inayosaidia kubiasharisha bidhaa za ubunifu ila niwatake mboreshe kwa kutengeneza vipuri ambavyo vinahitajika sana kama vya bajaji na pikipiki," amesema Prof. Mkenda.

Aidha Waziri Mkenda ameipongeza taasisi hiyo kwa kuwa na kampuni inayosaidia kubiasharisha bunifu mbalimbali na kuwataka DIT kuhamisha ujuzi wa kiteknolojia kutoka nchi nyingine na kuja kuutumia hapa nchini katika uzalishaji wa bidhaa zitakazokidhi mahitaji ya jamii.

"Tunaweza tukaleta nchini kitu ambacho kimezalishwa mfano nchi ya Uturuki kisha tukaangalia uwezekano wa kukitengeneza na kukiuza ndani na nje ya nchi ili kukuza uchumi wetu," amesema Prof. Mkenda.

Katika hatua nyingine Waziri Mkenda ameusisitiza uongozi wa DIT kuendelea kujenga na kukuza ushirikiano na taasisi nyingine hasa za nje ya nchi ili kubadilishana wataalamu watakaosaidia kuendelea kukuza teknolojia nchini.

Kwa upande wake Mkuu wa Taasisi hiyo, Prof. Preksedis Ndomba amesema wamepokea maelekezo hayo na kuahidi kuyafanyia kazi ili kuboresha utendaji wa taasisi hiyo.

View attachment 2099078View attachment 2099079
Waziri anaifahamu patent infringement?
 
Back
Top Bottom