Mtemi mpambalioto
JF-Expert Member
- Aug 23, 2015
- 3,260
- 7,391
Katika vitu vinaumiza ni mtu kudai malimbikizo yake ya kazi aliyoitolea jasho halafu Fomu zinajazwa hapo wizarani unazikuta zinazagaa mpaka zinapigwa mateke kwa kukosa utaratibu mzuri
Ukiingia chumba cha Approvers ni aibu mafomu yametupwa kila mahali na kupelekea kupoteza haki za watu
Kuna watu walistaafu wakiwa hawajapata malimbikizo yao ikiwa ni kupanda cheo kwa walio wengi! mtu anapewa barua wiki za kustaafu anaondoka hajapanda cheo
Anajazishwa fomu zinatupwa tu hapo utumishi hii ni laana kwa waliowalea mpaka mmefikia kupata na ajira hizo
Waziri Mhagama watu wana imani na wewe hasa wakichukulia ni mwanamke unaweza kuwa na roho ya huruma na kujali
Dr Ndumbaro anafanya kazi vizuri ila awe mkali sana.
Kuna mdada mmoja hapo anaitwa ADERA ana roho mbaya sijawah ona anajibu mbovu wafanyakazi wakija kudai haki zao.
Ukiingia chumba cha Approvers ni aibu mafomu yametupwa kila mahali na kupelekea kupoteza haki za watu
Kuna watu walistaafu wakiwa hawajapata malimbikizo yao ikiwa ni kupanda cheo kwa walio wengi! mtu anapewa barua wiki za kustaafu anaondoka hajapanda cheo
Anajazishwa fomu zinatupwa tu hapo utumishi hii ni laana kwa waliowalea mpaka mmefikia kupata na ajira hizo
Waziri Mhagama watu wana imani na wewe hasa wakichukulia ni mwanamke unaweza kuwa na roho ya huruma na kujali
Dr Ndumbaro anafanya kazi vizuri ila awe mkali sana.
Kuna mdada mmoja hapo anaitwa ADERA ana roho mbaya sijawah ona anajibu mbovu wafanyakazi wakija kudai haki zao.