- Thread starter
- #101
Jamani tusimsakame sana huyu Dada kuhusu lugha ya Kiingereza, ilo ni tatizo la Taifa, mfano kidogo tu hii thread tuigeuze kuwa ya Kingereza tuone kama kuna mtu atabakia humu, tutabaki wachache
Ndo maana tukaamua kuongea kwa kiswahili sababu tunajua hilo kwetu ni tatizo.
Yeye alijifanya mashauzi kutaka kusoma kwa kiingereza (sio kuongea), matokeo yake ndo yakatokea hayo yaliyotokea.
Kulikuwa na ulazima gani wa kutumia lugha ile. Si angewaambia tu waliomwandikia, wamwandikie kibongo?