Waziri Menejimenti ya Utumishi wa Umma: Lugha ya malkia Elizabeth, mhhhhh!

yanini kujilazimisha kama lugha haipandi? aliyemkataza asihutubie kwa kiswahili nani? ameyataka mwenyewe maaibu hayo
 
Wakati anagombea kwa mara ya kwanza 2005 H. Ghasia alikataliwa na wapiga kura wake kabisa kwa sababu ambazo sizikumbuki vizuri,ni mpaka pale Jk alipoenda jimboni kwake akaokoa jahazi,ndiyo akaweza kupanda jukwaani peke yake baada ya kupigiwa debe,kitu ambacho nilikishangaa ni mtu huyo kuwapo ktk baraza jipya la mawaziri,sasa leo mnayoyaona pengine kina uhusiano na kile kilichotokea wakati mhusika akitaka kuingia bungeni
 
yanini kujilazimisha kama lugha haipandi? aliyemkataza asihutubie kwa kiswahili nani? ameyataka mwenyewe maaibu hayo

Ukifanya utafiti, wapanda pikipiki wanaopata ajali asilimia kubwa huwa wanaanguka maeneo ambayo yana watu wengi. Umeshawahi kujiuliza sababu yake...?
 
Samahani wakuu,
Hivi huyo mama mswahili hapo pembeni ni nani?

ndiye.jpg
 
Kwa wale walioangalia maadhimisho ya miaka 50 ya Utumishi wa umma mtakubaliana na mimi mh. waziri wa wizara hiyo lugha gongana. Mimi niliyekuwa namsikiliza hadi niliona aibu jinsi alivyotuaibisha tena mbele ya wenye lugha yao. Na hapo alikuwa akisoma kwenye makaratasi. Angekuwa anazungumza moja kwa moja sijui ingekuwaje. Ni bora angeongea katika lugha anayoijua. Yaani ilikuwa balaa.

zile lips zinazokuwa zimebanwa kila dakika unategemea zinazewa kupasua mayai? hamna kitu pale. labda smell.
 
sijui JK huwa anawaokota vichochoro vipi hawa mawaziri wake....maana ukitoa Magufuli wengine wote ni vilaza kwelikweli!!
 
hicho kimaza chenye lijiushungi kilichemsha sana wakatickinasoma hotuba ya ki english nyie wote mnaomtetea hamumtakii huyo maza ushungi mema alitia aibu kweli. agegonga swahili tu pale km dada ake first lady wa pale magogoni tungemwelewa kuliko kujimwambafy anajua ngeli. tehetehe kubebana tuuuuu
 
Mmmhh MK mimi sikuwa najua hili mkuu. Anyway wakati nadhani Lukuvi naye anapaswa kukijua kimalkia angalau kwa elimu yake Diploma ya ualimu ninaweza kumsamehe kidogo. Tatizo langu kubwa kwa huyo waziri mwenye nyodo Ghasia, CV yake insema amesoma MSc ya Rural Development SUA kama sikosei sasa hata hiyo dissertation alidefend vipi? Lakini pia kwa nyodo alizonazo hata kama mfumo wetu hautuandai vizuri kwenye lugha ya Malkia ningekuwa yeye ningetumia juhudi binafsi kuijua lugha hii muhimu. Hivi hawa watu hata kiingereza hawawezi kujifunza (sijasema kwamba English ndio kila kitu) wanawezaje kutuongoza kwani I'm sure wanafahamu fika kuwa English ni muhimu sana sana.

Mkuu tutake radhi walimu, mbona sisi lugha inapanda vizuri tu, tena ndio tunayoitumia kufundishia darasani.
Labda kama Lukuvi ni katika wale walimu wa UPE ''Ualimu Pasipo Elimu''.
 
makinda je???
Ukitaka kuisikia vizuri lafudhi ya kibena, basi msikilize mama yetu anapopiga English. Yaan kwa kweli nilimkumbuka Sitta ghafla. Sitta alikuwa anaongea kama lugha, hawa wengine wanakuwa kama watoto wanasoma maandishi ubaoni!
 
Haya mambo ya lugha huwa yananichekesha sana especially in our societies ukiongea lugha zetu say kisukuma, kikurya, kimakonde au kinyakyusa na ukawa unachapia na kuingiza kiswahili kidogo unaonekana unajisikia. You do the same in English unaonekana hujui mambo hahaha ahahah ahah
 
Ukitaka kuisikia vizuri lafudhi ya kibena, basi msikilize mama yetu anapopiga English. Yaan kwa kweli nilimkumbuka Sitta ghafla. Sitta alikuwa anaongea kama lugha, hawa wengine wanakuwa kama watoto wanasoma maandishi ubaoni!

Vipi kuhusu First Lady jamani?
 
Jibu wewe uliyeileta hii thread.

Kumbe ulivamia kitu usichokijua. tehe tehe tehe.
Walengwa walikuwa wananchi, sasa ni asilimia ngapi ya wananchi wanaijua lugha hiyo achilia mbali kuwa aliboronga hata kama angeongea barabara. Acha kudandia kijana, utaumia.
 
Back
Top Bottom