Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndo maana huwa napata shida kujadili hizi,unaweza patwa na jazba mbaya sana..Yaani wanatufanya sisi mapuruzai kweli hawa.. Wale investigators walikuwa wanafuatilia trail ya zile hela za rada baada ya kulipwa.. Wakafuatilia na kuzikuta kwenye a/c ambayo baada ya kuangalia jina wakakuta ni Bw. Chenge.. na wakaona hapo kuna nyingine zimetoka na walipozifuatilia wakazikuta kwenye a/c ambayo baada ya kuangalia jina wakakuta ni la Bw./Dr Idrissa..! Hivi hawana hata aibu wanakanusha hawajapokea rushwa kweli..? Mungu awalaani wote nyie mliochukuwa rushwa na mnaotetea.. Haya mnayotutendea watanzania wenzenu hakika mtajalipa ciku moja.. Kama sio nyie wenyewe baci ni watoto wenu.. na kama ci watoto wenu baci hata wajukuu lazima walipe kwa dhambi zenu...
Attachment haifungukifungua attachnment cheki nani mkweli, kikwete au SFO
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Benard Membe
na Tamali Vullu, Dodoma
Waziri Membe atishia kujiuzulu
Katika hatua nyingine, Membe ametishia kujiuzulu iwapo atajitokeza mtu atakayeweza kuendesha wizara hiyo kwa bajeti ya asilimia 42. Akijibu hoja mbalimbali za wabunge waliochangia hoja yake, Waziri Membe alisema wizara hiyo inapata mgao kidogo wa bajeti isiyokidhi mahitaji na katika mwaka wa fedha ulioisha wizara hiyo ilipata asilimia 44 ya bajeti iliyoombwa.
"Kama atajitokeza mtu anayeweza kuendesha wizara hii kwa bajeti ya asilimia 42 nitakuwa tayari kujiuzulu, kwani wizara hii imekuwa ikipata mgao kidogo wa bajeti, hivyo tuna changamoto nyingi," alisema.
HabariChenge hasafishiki