Mzalendo_Mkweli
JF-Expert Member
- Jan 30, 2012
- 1,988
- 1,175
Nakusalimu Mh. Rais kwa Jina la Jamhuri ya Muungano ya Tanzania
Hongera mh Rais Samia Suluhu Hassan kwa uamuzi wako ambao utawafaa sana mulipo katika utumishi wa Umma.
Hata hivyo nadhani itabidi maelezo ya ziada yatolewe kuhusu kama utaratibu wa awali wa kupewa kibali cha kusafiri toka kwa Katibu mkuu kiongozi unaendelea au la.
Hongereni watumishi na Kazi iendelee.
Hongera mh Rais Samia Suluhu Hassan kwa uamuzi wako ambao utawafaa sana mulipo katika utumishi wa Umma.
Hata hivyo nadhani itabidi maelezo ya ziada yatolewe kuhusu kama utaratibu wa awali wa kupewa kibali cha kusafiri toka kwa Katibu mkuu kiongozi unaendelea au la.
Hongereni watumishi na Kazi iendelee.