PrN-kazi
JF-Expert Member
- Feb 5, 2011
- 2,900
- 444
Nimemuelewa sana huyu mwamba......kauli yake ni nzito na inabidi ichukuliwe kwa uzito wake.Waziri wa Utumishi wa Umma, Mhe. Mchengerwa amesema watumishi wengi wenye uwezo mzuri wa kiutendaji wana fanyiwa mizengwe na majungu ya kuharibiwa kazi, na mbaya zaidi mabosi wao wanakuwa ni sehemu ya kuwaharibia...
Watumishi wamekuwa wakinyanyasika sana......kisa weledi wao katika Utendaji.