Ngungenge
JF-Expert Member
- Jun 11, 2016
- 2,839
- 3,153
Tayari mezani unazo ripoti kazi nne ambazo TAKUKURU wanatakiwa wafanye kazi na tuone watu wamewajibishwa
1. Ripoti ya Wizi wa Madini ya Tanzanite Mererani
2. Ripoti ya Ufisadi Bandari
3. Ripoti ya CAG
4. Ripoti ya BOT
Sasa ni wakati wa wananchi kusikia nani na nani walihusika na warudishe fedha za Umma
Hii ni Serikali ya Awamu ya Sita
Rais Samia
#KAZI IENDELEE
1. Ripoti ya Wizi wa Madini ya Tanzanite Mererani
2. Ripoti ya Ufisadi Bandari
3. Ripoti ya CAG
4. Ripoti ya BOT
Sasa ni wakati wa wananchi kusikia nani na nani walihusika na warudishe fedha za Umma
Hii ni Serikali ya Awamu ya Sita
Rais Samia
#KAZI IENDELEE