Brother Kaka
Member
- Jun 11, 2013
- 90
- 54
Wadau sina kumbukumbu ya waziri au mbunge au RC au DC au kiongozi yoyote mwandamizi ambaye ni mwanamke anabeba mimba na kujifungua akiwa kazini. Inamaa hufunga kizazi au hawana wenza au hukaa mbali na wenza wao? Mwenye kumbukumbu atujuze