Katika hatua ya kuhitimisha ufisadi , baada yakurejeshewa Wizara nyeti ya Miundombinu jana nimesikia John akisema wakati wa kusaini mkataba wa ujenzi wa daraja la Kigamboni ya kwamba Rais Jakaya Mrisho Kikwete ameridhia ujenzi wa Barabara za kukodi na itaanza na Barabara ya Ubungo- Chalinze ambayo itapanuliwa kuwa na njia nne.
Utaratibu wa kujenga Barabara kwa mikataba ya BOT( Build Operate and Transfer) uliwahi kufanyika huko Amerika ya Kusini na umewaacha na matatizo lukuki. Maana yake ni kwamba anajitokeza mwekezaji na mara nyingi ni watu wenye pesa chafu. Anajenga Barabara kwa gharama zake na kuingia mkataba na Serikali ya kwamba atakusanya pesa kwa njia ya kuwatoza watumia barabara road toll na vinawekwa vituo vya kulipia (kama mnakumbuka serikali ya Kipindi cha kwanza cha Mzee Ruksa walijaribu kukusanya road toll na sote tunjua walivyokwama mpaka marehemu Kibona alipobuni kuondoa road toll posts na ikaingizwa kwenye mafuta) ili arejeshe gharama zake kwa kipindi cha mkataba.
Katika hali ya kawaida huo mkataba unakuwa wa miaka isiyopungua 20. Kinschojiri ni kwamba huyo mwekezaji/ tapeli anafanya kazi zote kuanzia usanifu hadi ujenzi ikiwa ni pamoja na usimmizi hapo ndipo penye kasheshe! Barabara huharibika kabla ya miaka kumi na ndipo tuaachia vizazi vijavyo madeni?
Kwa kifupi Magufuli na TANROADS yake wameshindwa kusimamia Barabara ya Kilwa fupi tu na ikabomoka baada ya miezi sita! Tena msaada wa Japan na Mfugale angeweza kwenda kwa miguu kusimamia. Sasa hiyo kilometa 100 itakuwaje. Najua atasema huko DRC wanafanya kachunguze hiyo rate ya road toll ni laana tupu.:A S 465: Pia ujue ni ufisadi per se anaanza na Barabara muhimu kweli ili wakamue kiulaini. Mkapa alikataa ushauri huo wa kipuuzi na akaamua Barabara zijengwe kwa fedha za ndani sasa hiyo U turn tena sidhani kama imepelekwa Bungeni ila huyu Mtusi ni balaa. Alimdanganya Mkapa wakajiuzia nyumba za Serikali sasa anamdanganya Jakaya Kikwete huyu ****** mpole kubinafsisha Barabara huu ni zaidi ya uhaini. Hivi kwa nini bado yuko hai?
Utaratibu wa kujenga Barabara kwa mikataba ya BOT( Build Operate and Transfer) uliwahi kufanyika huko Amerika ya Kusini na umewaacha na matatizo lukuki. Maana yake ni kwamba anajitokeza mwekezaji na mara nyingi ni watu wenye pesa chafu. Anajenga Barabara kwa gharama zake na kuingia mkataba na Serikali ya kwamba atakusanya pesa kwa njia ya kuwatoza watumia barabara road toll na vinawekwa vituo vya kulipia (kama mnakumbuka serikali ya Kipindi cha kwanza cha Mzee Ruksa walijaribu kukusanya road toll na sote tunjua walivyokwama mpaka marehemu Kibona alipobuni kuondoa road toll posts na ikaingizwa kwenye mafuta) ili arejeshe gharama zake kwa kipindi cha mkataba.
Katika hali ya kawaida huo mkataba unakuwa wa miaka isiyopungua 20. Kinschojiri ni kwamba huyo mwekezaji/ tapeli anafanya kazi zote kuanzia usanifu hadi ujenzi ikiwa ni pamoja na usimmizi hapo ndipo penye kasheshe! Barabara huharibika kabla ya miaka kumi na ndipo tuaachia vizazi vijavyo madeni?
Kwa kifupi Magufuli na TANROADS yake wameshindwa kusimamia Barabara ya Kilwa fupi tu na ikabomoka baada ya miezi sita! Tena msaada wa Japan na Mfugale angeweza kwenda kwa miguu kusimamia. Sasa hiyo kilometa 100 itakuwaje. Najua atasema huko DRC wanafanya kachunguze hiyo rate ya road toll ni laana tupu.:A S 465: Pia ujue ni ufisadi per se anaanza na Barabara muhimu kweli ili wakamue kiulaini. Mkapa alikataa ushauri huo wa kipuuzi na akaamua Barabara zijengwe kwa fedha za ndani sasa hiyo U turn tena sidhani kama imepelekwa Bungeni ila huyu Mtusi ni balaa. Alimdanganya Mkapa wakajiuzia nyumba za Serikali sasa anamdanganya Jakaya Kikwete huyu ****** mpole kubinafsisha Barabara huu ni zaidi ya uhaini. Hivi kwa nini bado yuko hai?