Don san tan
JF-Expert Member
- May 23, 2015
- 562
- 433
Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano Profesa Makame Mbarawa atamuwakilisha Rais wa Jamhuri ya Muungano Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli katika mkutano wa kimataifa wa Usafirishaji Duniani utakaofanyika katika mji wa Ashgabat nchini Turkemistan kuanzia tarehe 26-27 Novemba, 2016.
Ngoja nichukue kigoda nikae karibu na Jamvi hili.
Ngoja nichukue kigoda nikae karibu na Jamvi hili.