johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,609
- 141,432
Naibu waziri wa viwanda na biashara mh Stella Manyanya amesema Chadema wana mbwembwe tu za mitaani na mitandaoni lakini inapofika swala la kufanya maamuzi magumu bungeni wabunge wao hukimbia.
Manyanya amesema Spika Ndugai anawafahamu vizuri wabunge hao wa Chadema na makandokando yao hivyo hawamsumbui kwa lolote na wao wa CCM na vyama rafiki wanamuunga mkono kwa 100%
Chanzo: Star tv
Maendeleo hayana vyama
Manyanya amesema Spika Ndugai anawafahamu vizuri wabunge hao wa Chadema na makandokando yao hivyo hawamsumbui kwa lolote na wao wa CCM na vyama rafiki wanamuunga mkono kwa 100%
Chanzo: Star tv
Maendeleo hayana vyama