Mie mtazamo wangu ni kuwa AKM alikuwa katika DILI la KIJAMBAZI, wenzake wakamchezea KANYABOYA! Tena uhalifu huu ulihusisha matumizi ya silaha kali....time will tellHuyu jamaa nimeanza kuwa na wasiwasi naye..pamoja na kuwa nasilaha ya kivita. Kwa nini alikuwa anatembea na vitu pamoja na pesa nyingi namna ile wakati kuna ATM na driver with full tank ya mafuta. Kuna haja ya kuangalia kama zile Laptop zote ni za kwake au kuna dili alikuwa analicheza sema lika buma. How can you carry three Laptop at a time. Hata kama alikuwa anafanya Research lakini bado haiingi akilini. Ndio maana morogoro kuna kuwa na matukio ya ujambazi kwa sana..
Mwandishi wa mada hii, usiidanganye hadhira/ wananchi. Hivi inakuwaje unaripoti habari za JULY 8 MWAKA HUU ambapo bado hatujafika? Fuatilia taarifa zako. Kwa mtindo huu wa kudanganya wananchi napata majibu kuwa hata taarifa zako za kuwa Malima anamiliki silaha ya Kijeshi, SUB-MACHINE GUN (SMG) sio sahihi. Malima si mjinga kiasi hiki asijue sheria za umiliki wa silaha hasa kwa silaha kama hilyo. Aidha, ungetakiwa ufanye utafiti wa kina kwanza kabla hujatoa taarifa zako. (out of research no right to speak). Inavyoonekana mwandishi huna taarifa za kutosha juu ya tukio la malima huko Morogoro. Kwa mantiki hii, unataka kuliambia Jeshi la Polisi Morogoro hawatambui wajibu wao. KWA MUJIBU WA UTAFITI WANGU,Mkuu wa Upelelezi wa Makosa ya Jinai wa Mkoa na Wilaya ya Morogoro walikagua tukio na kuziona silaha hizo zote mbili iliwemo bastola moja (pistol) na rifle moja. Hivi ingekuwa kweli walikuta SMG, si wangechukua hatua kali za kisheria? Mtoa maada huna taarifa za kutosha juu ya jambo hili, pole sana!
Ndenga hili nilishaliona siku ya kwanza ya Tukio hili kuwekwa hewani, kwa mwananchi wa kawaida ukikuta unamiliki silaha hiyo (SMG) unaitwa jambazi au jangili. Nilisema ntaendelea kuamini hivyo hadi, polisi/mahakama itakavyothibitisha otherwise. Kuna kila dalili za kutuwezesha kumsuspect Malima kuwa jambazi, umiliki wa more than one laptop, ni sehemu nzuri ya kuanzia achilia mbali masms yake n.k. Malima hatakuwa kiongoz wa kwanza kuwasuspected kwa ujambaz hapa duniani so polisi endeleeni na uchunguzi wa kina.Huyu jamaa nimeanza kuwa na wasiwasi naye..pamoja na kuwa nasilaha ya kivita. Kwa nini alikuwa anatembea na vitu pamoja na pesa nyingi namna ile wakati kuna ATM na driver with full tank ya mafuta. Kuna haja ya kuangalia kama zile Laptop zote ni za kwake au kuna dili alikuwa analicheza sema lika buma. How can you carry three Laptop at a time. Hata kama alikuwa anafanya Research lakini bado haiingi akilini. Ndio maana morogoro kuna kuwa na matukio ya ujambazi kwa sana..
Mwandishi wa mada hii, usiidanganye hadhira/ wananchi. Hivi inakuwaje unaripoti habari za JULY 8 MWAKA HUU ambapo bado hatujafika? Fuatilia taarifa zako. Kwa mtindo huu wa kudanganya wananchi napata majibu kuwa hata taarifa zako za kuwa Malima anamiliki silaha ya Kijeshi, SUB-MACHINE GUN (SMG) sio sahihi. Malima si mjinga kiasi hiki asijue sheria za umiliki wa silaha hasa kwa silaha kama hilyo. Aidha, ungetakiwa ufanye utafiti wa kina kwanza kabla hujatoa taarifa zako. (out of research no right to speak). Inavyoonekana mwandishi huna taarifa za kutosha juu ya tukio la malima huko Morogoro. Kwa mantiki hii, unataka kuliambia Jeshi la Polisi Morogoro hawatambui wajibu wao. KWA MUJIBU WA UTAFITI WANGU,Mkuu wa Upelelezi wa Makosa ya Jinai wa Mkoa na Wilaya ya Morogoro walikagua tukio na kuziona silaha hizo zote mbili iliwemo bastola moja (pistol) na rifle moja. Hivi ingekuwa kweli walikuta SMG, si wangechukua hatua kali za kisheria? Mtoa maada huna taarifa za kutosha juu ya jambo hili, pole sana!
Kwa mara nyingine tena waziri Malima anaingia matatani. Jeshi la Polisi limekaririwa kuwa waziri huyu anamiliki silaha SMG kinyume cha sheria. Kwa maelezo zaidi soma hapa chini.........What next? mahakamani? au mkubwa hashtakiwi??
SMG yamponza Malima
Polisi wamshangaa kumiliki SMG
na Dunstan Bahai
JESHI la Polisi nchini limemkana Naibu Waziri wa Nishati na Madini, Adam Malima, likiweka bayana kuwa amevunja sheria za kijeshi kwa kitendo chake cha kumiliki bunduki aina ya SMG.
Akizungumza kwa njia ya simu na Tanzania Daima, Mkurugenzi wa Upelelezi wa Makosa ya Jinai nchini (DCI), Robert Manumba, alisema kuwa jeshi hilo halielewi namna waziri huyo alivyofanikiwa kumiliki silaha hiyo ya kivita kwa kuwa kisheria inapaswa kuwa mikononi mwa majeshi tu, na kamwe haiwezi kumilikiwa na raia.
SMG hairuhusiwi kumilikiwa na raia, hii ni silaha maalumu kwa majeshi yetu tu na ni kosa kubwa kisheria, alisema na kuelekeza atafutwe msemaji wa jeshi hilo, ili kutoa maelekezo ya wapi Waziri Malima alikoipata silaha hiyo.
Hata hivyo, msemaji wa jeshi hilo, Advera Senso, hakupatikana ikidaiwa yuko katika kikao. Aidha, maofisa waandamizi wa jeshi hilo waliozungumza kwa sharti la kutoandikwa majina yao gazetini, walieleza kushangazwa kwao na hatua ya Malima kumiliki silaha hiyo, lakini kubwa zaidi kutembea nayo na kuiacha hadharani.
Hili si tukio dogo kwa mtu binafsi kumiliki silaha kubwa ya kivita kama hiyo. Sijui ni hatua gani atachukuliwa na wakubwa kwa sababu, kwa namna yoyote jambo zito kama hili lazima lichukuliwe kwa uzito mkubwa, alisema ofisa mmoja mwandamizi wa Jeshi la Polisi ambaye aliomba jina lake lisiandikwe gazetini.
Aliongeza kuwa hatua ya naibu waziri huyo kutembea na silaha hiyo na kuiacha hotelini ambako ingeweza kuchukuliwa na mtu yeyote ni jambo lisiloweza kuvumilika na akashauri sheria ichukue mkondo wake.
Kama wale watu waliweza kuvunja dirisha na kuiba kwa mujibu wa maelezo yake, ingekuwaje kama wangechukua silaha hiyo na kwenda kufanya uhalifu sehemu nyingine? Hii ni hatari sana, alisema ofisa huyo.
Aidha, Naye Mkuu wa jeshi hilo, IGP Said Mwema, simu zake mbili zilipokewa na wasaidizi wake, ambao walisema kuwa silaha hiyo haiwezi kumilikiwa na raia.
Maelezo ya naibu waziri huyo kumiliki silaha hiyo yalithibitishwa pia na Kamanda wa Polisi wa Mkoa wa Morogoro, Adolphina Chialo, wakati akizungumza na waandishi wa habari kuelezea tukio la Malima kuibiwa hotelini.
Waziri wa Mambo ya Ndani, Shamsi Vuai Nahodha, alipopigiwa simu zaidi ya mara mbili, alisema kuwa asingeweza kutoa maelezo yoyote kwa kuwa alikuwa kwenye mkutano.
Julai 8, mwaka huu, Naibu Waziri Malima, aliibiwa vitu mbalimbali alivyokuwa navyo katika Hoteli ya Nashera ya mjini Morogoro alikofikia mara baada ya ziara yake ya siku mbili mkoani Morogoro vyenye thamani ya zaidi ya sh milioni 23.3.
Malima alidai kuwa wezi hao pamoja na kufanikiwa kumuibia mali hizo hawakuweza kuiba silaha mbili, ikiwamo bunduki aina ya SMG pamoja na bastola, alizokuwa nazo, licha ya kwamba zilikuwa sehemu ya wazi chumbani hapo.
Waziri Malima jana kutwa nzima hakuweza kupatikana kutoa ufafanuzi wa wapi alikoipata bunduki hiyo, wala sababu za msingi za kutembea na silaha nzito kama hiyo, akijua kuwa yuko katika ziara ya kikazi. Juhudi zaidi za kumtafuta zinaendelea
Bado tu hajatangaza kujiuzulu......alikua anaikodisha nini kwa wazee wa issue ama magharamia ?