<br />Embu mkuu nisaidie haya majina kwa dini yetu mnayaitaje<br />
joseph--<br />
ernest--<br />
hili la malima aliona aibu kubadilisha
Nahisi hizi siku za mwisho,
nimesoma mwaana halisi mh malima katika moja ya safari zake ambazo lengo ni kusaini dili chafu la kuwaleta wasouth africa kuchuma copper huku Tanzania akishirikiana na mh chikawe aliamua kujiita Joseph Ernest Malima
Habari zaidi ukisoma utaona mh malima alipokelewa na bango limeandikwa joseph ernest malima huko soouth afrika na kupelekwa kwenye hotel moja ambayo amelipiwa na hao wanaokuja kuchimba copper..
Habari zaidi zinasema mh huyu alikuwa akilipwa hela za kitanzania zaidi ya laki tano'akiwa huko na hao wahuni wanaokuja tanzania ,,na mbaya zaidi ukiona formu aliojaza hotelini imeonyeshwa kwenye gazeti imenitia nguvu sasa malima kilichobaki ni kumpokea Yesu na kuwa kama bwana na mwokozi wa maisha yake
Tufahamishe kidogo majina yana uhusiano na dini?[/QUOTE
MKUU UNA HARAKA KWELI KAMA KALE KAGOLIM CHAMASHARIKI UWANAJA WA BIBI KESHO ILA KWAKUKUSAIDIA
UNAJUA KULE SINZA UNANDIKAGA MAJINA YA FURGASON MOHMD NA MENGINEYO ILA FORM ZA WAHESHIMIWA UNAULIZWA NA DINI GANI UKITOKA NJE YA NCHI SIJALALA ZA HAPA DA R KUJUA ZIKOJE SO UTAONA LIVE DINI MKRISTO MI NITATARAJI KABLA YA SAA KUMINAMBILI KESHO UTAKUWA UMEOKOKA NA KUOMBA WAKUONGOZE SALA YA TOBA NAOMBA NI PM HATA SAANANEUKIAMUA KUOKOKA NTAFANYA HIYO KAZI NIKUONE MBINGUNI NA SIO KWENYE MAJINI MEMA NA MAJINI MABAYA WEE NANI KAKWAMBIA HA,MAAA KIMBIA NJOOOO KWA JINA LA YESU ALIE HAI
Nahisi hizi siku za mwisho,
nimesoma mwaana halisi mh malima katika moja ya safari zake ambazo lengo ni kusaini dili chafu la kuwaleta wasouth africa kuchuma copper huku Tanzania akishirikiana na mh chikawe aliamua kujiita Joseph Ernest Malima
Habari zaidi ukisoma utaona mh malima alipokelewa na bango limeandikwa joseph ernest malima huko soouth afrika na kupelekwa kwenye hotel moja ambayo amelipiwa na hao wanaokuja kuchimba copper..
Habari zaidi zinasema mh huyu alikuwa akilipwa hela za kitanzania zaidi ya laki tano'akiwa huko na hao wahuni wanaokuja tanzania ,,na mbaya zaidi ukiona formu aliojaza hotelini imeonyeshwa kwenye gazeti imenitia nguvu sasa malima kilichobaki ni kumpokea Yesu na kuwa kama bwana na mwokozi wa maisha yake
Nahisi hizi siku za mwisho,
nimesoma mwaana halisi mh malima katika moja ya safari zake ambazo lengo ni kusaini dili chafu la kuwaleta wasouth africa kuchuma copper huku Tanzania akishirikiana na mh chikawe aliamua kujiita Joseph Ernest Malima
Habari zaidi ukisoma utaona mh malima alipokelewa na bango limeandikwa joseph ernest malima huko soouth afrika na kupelekwa kwenye hotel moja ambayo amelipiwa na hao wanaokuja kuchimba copper..
Habari zaidi zinasema mh huyu alikuwa akilipwa hela za kitanzania zaidi ya laki tano'akiwa huko na hao wahuni wanaokuja tanzania ,,na mbaya zaidi ukiona formu aliojaza hotelini imeonyeshwa kwenye gazeti imenitia nguvu sasa malima kilichobaki ni kumpokea Yesu na kuwa kama bwana na mwokozi wa maisha yake
amebadili dini kwa sababu ya kujiita joseph enrnest..kwa hiyo anasali kanisa gani sasa?.. Dini sio majina. Mtu anaweza kuwa na sababu ya kubadili majina yake na hata umri wake ili afanikishe analotaka. Wangapi humu ndani ya jf waliobadili majina yao na kuyaacha yale waliyopewa na wazazi wao?? ''pdidy" hili ndio jina lako halisi? Au tuamini umeshabadili uraia na kuwa mmarekani kama puffdady. Kumbuka haya ni majina tu.