Mtoto halali na hela
JF-Expert Member
- Aug 10, 2012
- 47,742
- 40,947
Anachoshauri ni sawa japo wanaangalia na uzito pia wa material50mm nguzo na nguzo ni nusu ya (100mm) anayoshauri mleta mada.
Anachoshauri ni sawa japo wanaangalia na uzito pia wa material50mm nguzo na nguzo ni nusu ya (100mm) anayoshauri mleta mada.
Acha ubishi wako nimeandika nikiwa ni mtu ninaona kinachofanyika mara nyingi, huko walikoweka 25mm kwenye usambazaji wako na shidaAcha ubishi anza kufuatilia utaona,maeneo mengi sana wanatumia 25mm kwenye usambazaji yaani nguzo kwa nguzo,walau wangetumia 50mm ambayo pia kwa standard inayotakiwa kwenye distribution wana force kitaalam inatakiwa 100mm.
Fuatilia anza na unapoishi tizama kisha ukisafiri maeneo tofauti tatizo hili ni kubwa sana.
Lengo langu sio mipasho mkuu,lengo langu ni kufikisha ujumbe kwa wahusika,sijakurupuka nimefuatilia,najua wanajua ila wanafikiri wateja wote maamuma,uzuri kama ni mzoefu hizi waya wala huhitaji vipimo,hata zikiwa juu ya nguzo kwa macho unazijua.eti maeneo mengi
mengi kuanzia mangapi ?
ume-generalize sana, thread inaendeshwa kwa hisia binafsi
Tena huyu kakata kamba kabisa, eti anataka kukodi crane la tani 26 toka nje ya nchi tena permanent linakuwa, halafu la kukodi etiWaziri wa mchongo hana sauti yoyote Tanesco kazi anayoiweza ni kujipimia kwa kamba yake tu
Hili swali likipata jibu mniite wakuu.Nimekuelewa vizuri mkuu..
Naomba utuelimishe kitaalamu jinsi Low Voltage inavyosababisha vifaa vya umeme majumbani mwetu kuungua..
100mm unaijua vizuri? Huo ni unene wa upaja wa mtu ujue
Kibaya kuvimbiwa tu...Hii serikali ni wanajipimia tuu
Kwahiyo ni vyema akatofatisha kati ya kipimo cha (urefu) na (eneo), maana hiyo Squared (2) hajaweka. Ahsante kwa ufafanuzi.Ni 100 mm2 (squared millimeters) kwa maana ni cross-sectional area ya wire na si diameter ya wire.
sasa mkuu ndiyo wapitishe 100mm kweli ?Lengo langu sio mipasho mkuu,lengo langu ni kufikisha ujumbe kwa wahusika,sijakurupuka nimefuatilia,najua wanajua ila wanafikiri wateja wote maamuma,uzuri kama ni mzoefu hizi waya wala huhitaji vipimo,hata zikiwa juu ya nguzo kwa macho unazijua.
Nilishawahi pata hili tatizo kwenye three phase nilichoma sana mota nikaingia hasara za mamilioni mpaka walipobadilisha size ya waya tatizo likaisha,baada ya hapo ndipo nilipokua makini kufuatilia kwa karibu Tanesco hawazingatii hili maeneo mengi.
Rafiki yangu yupo Chanika juzi amenipigia kwamba machine zake zinashindwa kufanya kazi,kwakua yeye si mzoefu nikamuelekeza namna yakutizama voltage kwenye remote kwa phase zote tatu,phase iliokua na voltage ya juu ni 160 voltage wakati ili machine zifanye kazi vizuri inatakiwa iwe walau 200 voltage,alipoenda tanesco baada ya kufika sight wakamwambia tatizo ni size ya waya kwenye distribution,wanamwambia ili wamfanyie fasta wanamtaka atoe laki tisa shit!Inakera!
Kama wewe ni ukoo wa makamba samahani mkuu,lengo langu sio kumwaga ugali,huenda Makamba hajui tukimfahamisha anaweza tatua tatizo.
Kwahiyo ni vyema akatofatisha kati ya kipimo cha (urefu) na (eneo), maana hiyo Squared (2) hajaweka. Ahsante kwa ufafanuzi.
Unaijua 100mm vizuri kuwa serious kaka, na Mara nyingi TANESCO wanatumia 95mm na sio 100mmAcha ubishi anza kufuatilia utaona,maeneo mengi sana wanatumia 25mm kwenye usambazaji yaani nguzo kwa nguzo,walau wangetumia 50mm ambayo pia kwa standard inayotakiwa kwenye distribution wana force kitaalam inatakiwa 100mm.
Fuatilia anza na unapoishi tizama kisha ukisafiri maeneo tofauti tatizo hili ni kubwa sana.
Kwa hiyo nayo ni makamba watu bwanajuzi nimepita pale Tazara nikiwa kwenye foleni nikaskia buuu transforma lilipiga moto kila mtu na njia yake
Mbona hizo Waya zimeanza kutumika kipindi cha Kayafa Mwendakuzimu.Kwa Kuwa TANESCO hadi saizi hawaja comment basi kuna ukweli mkubwa hapa na wameamua kukaa kimya. Wizara ipo chini ya mtu anayekusanya hela kwa ajiri ya uchaguzi