Eti wanasema nalo ni tatizo la legacy? Nonsense...sisi tunataka watu wanaotoa majawabu ya changamoto zetu sio story.... nyeti za kuku zi wazi! Umeme kukatika pindi manyunyu yanapoanza imekuwa jambo la kawaida nchi hii; sio jana tu; ni tatizo la miaka na miaka. How long does it take kuzivalisha hizo nyaya nguo ili kuondokana na tatizo? CCM ni wapuuzi sana; imefika mahali wamehalalisha upuuzi wao uonekane kawaida maisha yanaendelea.
January kaongea ukweli sio tuu wanambana bali Wana chuki binafsi ,huo ndio ukweli.Waziri Makamba umeonyesha kiwango kidogo cha ukomavu, kwa kusema wabunge wanakubana kwa sababu ya uwaziri wako.
Hii ni kauli inayopaswa kutolewa na mtu ambae sio msomi, hakuna wabunge wenye shida na uwaziri wako bali wanachofanya ni wajibu wao kwa maana wanawakilisha wananchi.
Wabunge wanarudi majimboni wanaulizwa kuhusu umeme kwa kuwa unaathiri shughuli zao, wao ndio wanakuja bungeni kueleza kero hiyo. Wewe hutaki uulizwe.
Pia waziri unapaswa kufahamu sio wewe tu ambae unabanwa kwenye utendaji hasa Jambo fulani likienda vibaya. Ni mawaziri wote hubanwa hivyo, waziri wa afya amekuwa akibanwa kuhusu vituo vya afya.
Waziri wa maji juma aweso amekuwa akibanwa sana bungeni kuhusu upatikanaji wa maji, waziri wa ujenzi amekua akibanwa kuhusu ubovu wa miundombinu Ila wote hao hawakuwahi kusema tatizo ni uwaziri wao.
Majibu yako mh.makamba ni ya kushangaza, sasa unasema waya kwenye substation ya ubungo zipo uchi hivyo upepo ukipuliza tu umeme unakatika.
Kwa majibu ya namna hiyo unategemea watu wataacha kukuuliza maswali?
Kamati ya nishati ya bunge ni haki yao kuhoji na wamesema hakuna sababu za msingi za umeme kukatwa.
Makamba maswali ya kuhusu wizara ya nishati unataka aulizwe nani? Mbona mawaziri wengine wanaulizwa maswali kuhusu wizara zao na wanajibu bila shida, kwa nini wewe uone unaonewa wivu? Hutaki watu/wabunge waulize kuhusu wizara ya nishati?
Wajibu maswali yao kiuweledi na sio kusingizia uwaziri wako.
Jina la mzee wake.Makamba ni mmoja wa mawazir wenye uwezo mdogo sana. Sijuagi ni nn kinafanya mfumo umuone anafaa
Bwana Stroke (Naamini wewe ni Me) inapotokea tension kwenye nchi yoyote inayozalisha mafuta, Kuna hatari ya Bei ya mafuta kupanda au kushuka. Russia ni mzalishaji mkubwa wa mafuta duniani, ikitokea lolote linaloweza kusababisha kuongeza au kupunguza uzalishaji wa mafuta, tegemea athari zake zitaonekana sokon la Dunia na hii hata hapa Tz Bei itabadlika, HATA KAMA TANZANIA HAINUNUI MAFUTA KUTOKA RUSSIA.Waziri anasema eti bei ya mafuta imepanda kwenye soko la Dunia kwakua kuna tension ya vita kule Russia na Russia ni mmoja ya nchi inayouza mafuta kwa wingi.
Toka lini sisi tunanunua mafuta toka Urusi??
Na je hiyo tension ya vita imeathiri vipi production ya oil duniani??
Angezungumzia vita Iraq, Saudi Arabia na nchi nyingine za kiarabu ambazo ni major producers wa oil ningemuelewa ila sio kutudanganya na Urusi.
Russia Ukraine tensions sio reason ya kupanda kwa bei ya mafuta soko la dunia.Bwana Stroke (Naamini wewe ni Me) inapotokea tension kwenye nchi yoyote inayozalisha mafuta, Kuna hatari ya Bei ya mafuta kupanda au kushuka. Russia ni mzalishaji mkubwa wa mafuta duniani, ikitokea lolote linaloweza kusababisha kuongeza au kupunguza uzalishaji wa mafuta, tegemea athari zake zitaonekana sokon la Dunia na hii hata hapa Tz Bei itabadlika, HATA KAMA TANZANIA HAINUNUI MAFUTA KUTOKA RUSSIA.
Bei ya mafuta inazidi kupanda sokoni.View attachment 2121381
Hivi amesema miaka nne na sita? Maneno yanaumba awe makini!Mnataka kumnyima urais
Labda urais Wasafi baada ya PlatnuzMakamba for presidency 2025
Kwa hiyo wizara yake haitakiwi kuulizwa maswali bungeni?January kaongea ukweli sio tuu wanambana bali Wana chuki binafsi ,huo ndio ukweli.
Kamati Ya nishati ina fursa zote za kuhoji yeyote ikiwemo kumuita mtendaji mkuu.
Mbaya zaidi kila siku anabadili majibu ya tatizo la kukatika kwa umemeMkuu wababayangu!
Kuhusu makamba kukagua vina vya mito na mabwawa ya maji kwa kutumia HELIKOPTA!
Mimi binafsi niliwahi kujiuliza sana bila majibu.
Utawezaje kujua kina cha maji ukiwa Angani.
Anashambuliwa kama yeye binafsi,hata akitoa majibu ya serikali watu hawaelewi.Kwa hiyo wizara yake haitakiwi kuulizwa maswali bungeni?
Basi wafute kipindi Cha maswali na majibu.
Empty kabisa huyo