Waziri Makamba: Tanzania kuanza kuuza gesi nje "labda" baada ya miaka 6 kuanzia sasa

Ileje

JF-Expert Member
Dec 20, 2011
8,796
12,239
Akihojiwa na BBC leo kuhusu uwezekano wa Tanzania kuchukua fursa hii ya vita baina ya Russia na Ukraine kuuza gesi yake nje ya nchi Waziri wa Nishati Mhe. Makamba amesema uwezekano huo haupo labda baada ya miaka 6 kuanzia sasa ndiyo miundombinu wezeshi inaweza kukamilika na kuanza kazi.

Watanzania bado tuna safari ndefu kuanza kutumia na kufaidi uchumi wa gesi.
 
Mwambie asihangaike na hiyo gesi kwanza pesa ya kuchimba wanayo? Au ndio wanasubiri "mikopo nafuu"?

Atuambie ile winchi ya tani 26 aliyoagiza kwa ajili ya Nyerere Dam toka nje iko wapi?
 
BAADA YA Miaka 6, sawa...

Pre-FEED about 2 years

FEED... at least 2 years

Project Execution... about 5 years

Kuna uwezekano kama SSH atarudi tena madarakani 2025 basi anaweza kuondoka huku akiacha tukiwa hatujauza hata tone moja!!
Kwa kawaida, conceptual design and feasibility study (Pre- Front End Engineering Design alias Pre-FEED) inachukua miezi 18 hadi 24...
 
Akihojiwa na BBC leo kuhusu uwezekano wa Tanzania kuchukua fursa hii ya vita baina ya Russia na Ukraine kuuza gesi yake nje ya nchi Waziri wa Nishati Mhe. Makamba amesema uwezekano huo haupo labda baada ya miaka 6 kuanzia sasa ndiyo miundombinu wezeshi inaweza kukamilika na kuanza kazi.

Watanzania bado tuna safari ndefu kuanza kutumia na kufaidi uchumi wa gesi.
Eee Mungu ee. Mungu ee jibu gani yaani mimi CCM nimechoka. Chadema nipeni pole na vyama vyote vya upinzani nipeni pole nisije kufa kwa Pressure huyu Waziri Makamba Mama Samia uwe serious kwa mambo mazito huyo mtoe

Mama Samia kaongea vizuri mno kuwa pale ambapo Serikali haiwezi sekta binafsi ataipa nafasi wafanye

Mama Samia umemsikia Waziri wako huyo wewe ndie ulimpa uWaziri

Kote unavyoenda nje umekosa watu wa kushirikirikiana na Serikali kwa mfumo wa PPP?

Huyu Waziri wako mhujumu uchumi toa tupilia mbali fursa imefunguka anaongea ujinga matajiri kibao wa nje waweza kuja hata Kesho wakawekeza uwekezaji wa uhakika wana mipesa na teknolojia

E Mungu nini hiki kaongea Makamba
 
Mama Please kuna vitu unatakiwa seriousness sio uswahili

Hatuna miundombinu agiza wawekezaji upesi kwa win win situation achana na ushauri wa kipumbabu wa Makamba alioongea na BBC

Kama kuna waziri haienei iweke wizara chini ya ofisi ya Rais au Waziri

Makamba majibu ujinga anatoka simple answer kwenye tough question
 
Back
Top Bottom