Ileje
JF-Expert Member
- Dec 20, 2011
- 8,796
- 12,239
Akihojiwa na BBC leo kuhusu uwezekano wa Tanzania kuchukua fursa hii ya vita baina ya Russia na Ukraine kuuza gesi yake nje ya nchi Waziri wa Nishati Mhe. Makamba amesema uwezekano huo haupo labda baada ya miaka 6 kuanzia sasa ndiyo miundombinu wezeshi inaweza kukamilika na kuanza kazi.
Watanzania bado tuna safari ndefu kuanza kutumia na kufaidi uchumi wa gesi.
Watanzania bado tuna safari ndefu kuanza kutumia na kufaidi uchumi wa gesi.