Waziri Makamba: Siku mbili zijazo nitatoa Suluhisho la kudumu la Umeme nchini na tatizo tunalolipitia sasa halitajirudia tena!

It’s just an internal system of sharing information kama vile ilivyo SAGE kwenye accounting, mifumo ya medical system ambayo inatumiwa interproffesional working kila mtu awe kwenye page moja, ardhi, uamiaji and other systems zinazotumiwa for admin purposes for sharing information purposes and improving efficient or continuation of work.

Quality ya mafanikio ya hiyo mifumo ni watu wanaotumia if someone doesn’t record information no one gets it sio mwarobaini kabisa especially when there is no physical evidence to audit the quality of performance.

Ni hivi mie sijui watu inakuwaje wanapanda mpaka kufikia kuwa CEO Tanzania, ila yule mkurugenzi wa TANESCO ukimsikiliza unaona hatoshi he lacks awareness on HR strategies to improve services to begin with; let alone understanding priorities za shirika kwa wateja kipindi hiki.

Ni hivi January na Mwambe wote wamepewa specific tasks na raisi; approach zao zimeonyesha difference in leadership qualities za kufikia azma ya raisi.

Mwambe katumia muda mwingi kujifunza kutoka kwa walioanza kazi, kaelewa technical issues za kazi aliyopewa na kujua hao watu wanafanya kazi vipi kabla ya kuamua anaenda vipi mbele kwa ku analyse speech yake.

January na genge lake wameingia na ujuaji likely to piss off some technocrats ndani ya mashirika yaliyo chini ya wizara na ndani ya wizara. Naona wakasema ngoja tuwaone na ujuaji ndio kinachowakuta sasa wanaenda tu kama headless chicken.
Bila kujua HR issues zilizopo kwenye hili shirika, hakuna namna kutakuwa na ufumbuzi wa matatizo yaliyopo
 
Tatizo kubwa kuliko yote katika kutatua changamoto kama hizi za umeme na maji ni kutegemea suluhu zinazotolewa na wageni.
Siku zote wageni huwinda viongozi na kuwatongoza ili wawasikilize na kukubali njia zao za kutatua matatizo ya dharura kama haya. Mawaziri wa wizara muhimu kama ya Makamba Jr wanatakiwa wawe makini katika hilo. Naamini yupo smart.
Kwa sasa, balozi zote za nchi zilizoendelea au zile zenye fikra za kibiashara nchini, na watu wao wanaofanya shughuli za kiuchumi nchini, mjadala ni mmoja tu, namna ya kufanya lobbying serikalini watumie fursa hii kutupiga.
Uchunguzi rasmi ukifanyika utathibitisha hili
Siku zote nimekuwa nikitafuta unaosemwa u smart wa makamba sijawahi kuuona.
U smart wa makamba Ni upi? Smart katika kuiba kura au smart katika ku solve changamoto za watanzania...??

Km ni changamoto za taifa,zipi tangu amekuwa kiongozi alishawahi kuzi solve?

Au hata jimboni kwake ,alishasolve changamoto gani??

Mnao msifia ebu orodhesheni nasi tuanze ku recognize usmart wa makamba...

Au usmart wa kuiba bila kukamatwa??

Hivi nchi hii nape na makamba wasipokuwa mawaziri mambo hayaendi??
 
Siku zote nimekuwa nikitafuta unaosemwa u smart wa makamba sijawahi kuuona.
U smart wa makamba Ni upi? Smart katika kuiba kura au smart katika ku solve changamoto za watanzania...??

Km ni changamoto za taifa,zipi tangu amekuwa kiongozi alishawahi kuzi solve?

Au hata jimboni kwake ,alishasolve changamoto gani??

Mnao msifia ebu orodhesheni nasi tuanze ku recognize usmart wa makamba...

Au usmart wa kuiba bila kukamatwa??

Hivi nchi hii nape na makamba wasipokuwa mawaziri mambo hayaendi??
Wakikujibu nitag.. labda usmart wa kukunja mashati kama obama
 
Siku zote tunaambiwa matatizo haya yatakuwa historia. Ila historia hujirudia na ukweli ni kuwa matatizo hayo bado yanajirudia na bado yapo na sisi. Tumechoka kusikia kauli hizo ambazo hazina ukweli ndani yake.
 
Mbona badoo na mtatoa suluhisho la umeme kuwaka hrs24 after the show sex

Nina mambo mengi ya kufanya kuliko kuwasikiliza viongozi wa bara hili
LiSquare_2021112922222967.jpg


Sent from my TECNO-N2 using JamiiForums mobile app
 
Haya maneno... "na itabaki kuwa historia".... huwa nikiyaona tuu najua tumeliwa tena...
 
Waziri wa nishati January Makamba amesema kama wizara wamejipanga na katika siku mbili zijazo atatoa Suluhisho la kudumu la matatizo ya umeme nchini

Makamba amesema wamejipanga vya kutosha na suluhisho walilonalo ni la kudumu na kwamba baada ya kufanya study ya kutosha wanaamini tatizo la umeme halitajirudia tena na litabaki kuwa historia.

Makamba amewaomba radhi wateja wa Tanesco kwa usumbufu walioupata.

Source: ITV habari
Nitakuwa wa mwisho kumwamini huyu jamaa

Sent from my Infinix X626 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom