Memento
JF-Expert Member
- Jun 13, 2021
- 4,423
- 9,962
Muda bado? Au tumhukumu sasaMuda ndio msema kweli.
Muda bado? Au tumhukumu sasaMuda ndio msema kweli.
Muhukumu tuuu mkuu hana maana hata.Muda bado? Au tumhukumu sasa
Muda umeongeaMuda ndio msema kweli.
Umeuona ubunifu wa waziri wetu ulipotufikisha.Mimi nikipewa neno mmoja tu la kumuongelea January Makamba hakuna zaidi ya neno MUONGO.Habari nzuri sana hii.Huu ndio ubunifu.Huyu Waziri wetu,ni mchapakazi na mbunifu.
Ulifanikiwa?Jamani, binafsi namuelewa sana huyu broo japo sijawahai hata kutana naye.
Ngoja niombe kuhamia wizarsni kwake nimsaidie utendaji ktk senior post.
Hongera bado inafanya kazi?Hongera kwa Waziri Makamba. So far ni jitihada nzuri sana kama zitashusha bei ya mafuta maana hali si hali.
Watu wanaobeza nashindwa kuwaelewa kwenye hili.
Hahahahaaa...ngoja tu nimpe muda tena kidogo.Hongera bado inafanya kazi?